Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Huko ni mwendo wa Noah Ifakara - Chita
 
Nimepanda sana fuso maana mabasi yalikuwa hayapandi ule mlima kipindi hicho, sijui ile barabara imeshatengenezwa siku hizi!?
 
Umeandika: "Mahenge ni wilaya inayopatikana kusini mwa mkoa wa Morogoro..."

Hapo kuna makosa ya utangulizi na utambulisho. Kwanza, Mahenge si wilaya bali ni makao makuu ya wilaya iitwayo Ulanga. Pili, haiko kusini mwa mkoa wa Morogoro bali iko "Kusini-Magharibi".

Huko kwa wapogolo ni asili ya sisi Wanyakyusa, wanatuita watoto wao hadi leo!
 
Hapo kwenye Alana za wakoloni zinaonyesha sehemu walikoficha Mali zao wakati wanaondoka nchini baada ya kututawala Kuna Vitu kama madini walificha na kuweka Alana zao ili baadae waje wavichukue


UONGO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…