Ifahamu nchi kubwa kuliko zote duniani

Sio tamaa ya eneo kuna kitu USA kafanya Ukraine Sasa Urusi anafukua makuburi
Wabongo bana.yani wewe mbongo wa kibaigwa unajua kuwa kuna kitu ambacho ni siri kimefanywa na usa hapo Ukraine ambacho wamarekani wenyewe hawakijui?
 
Yani pamoja na ukubwa wote huo bado ana tamaa na kaeneo kadogo ka ukraine?
Si kwamba ana tamaa kinachomfanya agombane na ukraine ni kuwa karibu na mabeberu wa ulaya kitu ambacho urusi ataki kutokana na sababu za kiusalama anaofua itakuwa raisi kwa maadui zake kujipenyeza kiuraisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…