Nawaza sijui BAKWATA ya Russia inafanyaje kwenye kutangaza muandamo wa mwezi.Sio kamba View attachment 2136408
Wabongo bana.yani wewe mbongo wa kibaigwa unajua kuwa kuna kitu ambacho ni siri kimefanywa na usa hapo Ukraine ambacho wamarekani wenyewe hawakijui?Sio tamaa ya eneo kuna kitu USA kafanya Ukraine Sasa Urusi anafukua makuburi
Braza punguza roho ya kimasikini.Mada ya kijinga. Mtu yeyote aliyeishia darasa la saba akipewa atlas na kuulizwa maswali haya atayajibu yote!!!
Kipi kipya kuhusu nchi kubwa kuliko zote duniani na mipaka yake???
Na zanzibarTabora ni kubwa kuliko nchi ya Rwanda au Burundi.
Kipi hapo cha ku-appreciate? Mambo ya darasa la 6 na 7 hayo!!Braza punguza roho ya kimasikini.
Wanaume hatuishi hivi.
Try to appreciate small things.
#YNWA
Katika somo la jiografia darasa la 6 na 7 mambo yote yanafundishwa na kusomwa huko.Hongera kwako geneus sio kila mtu anajua haya mambo
Sema BAKWARUNawaza sijui BAKWATA ya Russia inafanyaje kwenye kutangaza muandamo wa mwezi.
😂😂😂😂😅😅😅😅😅Sema BAKWARU
Karibu Tunduma TUNYWE BIA.Kipi hapo cha ku-appreciate? Mambo ya darasa la 6 na 7 hayo!!
Au unadhani ume-hit points kinoma noma??
Hujui unachosema!Mungu endelea Kuipa Nguvu Urusi
Si kwamba ana tamaa kinachomfanya agombane na ukraine ni kuwa karibu na mabeberu wa ulaya kitu ambacho urusi ataki kutokana na sababu za kiusalama anaofua itakuwa raisi kwa maadui zake kujipenyeza kiuraisiYani pamoja na ukubwa wote huo bado ana tamaa na kaeneo kadogo ka ukraine?
Ndio zimepakana kwa kutenganishwa na maji-maritime border
View attachment 2136344
Nipo hapa Mbeya Pazuri Baa nasakata ngano. Karibu!!!Karibu Tunduma TUNYWE BIA.
#YNWA
Hakuna cha ujinisia, ni vitu vya darasa la 6 na 7 hivyo. Ni kujiongeza. Kichwa sio kufugia nywele tu, bali kuwaza pia.Hongera kwako geneus sio kila mtu anajua haya mambo
Umeolewa?Nipo hapa Mbeya Pazuri Baa nasakata ngano. Karibu!!!
Una mume?Hakuna cha ujinisia, ni vitu vya darasa la 6 na 7 hivyo. Ni kujiongeza. Kichwa sio kufugia nywele tu, bali kuwaza pia.
Njoo nikuzawadie dushelele la mla dona.Una mume?
Njoo nikuzawadie dushelele la mla dona.Umeolewa?