Ifahamu nchi kubwa kuliko zote duniani

Ifahamu nchi kubwa kuliko zote duniani

Kuna uzi mmoja pia nimeoana humu ndani jmaa wanabishana kuwa urusi nayo imepakana na marekani


Sas wakifanikiwa kuitwa urkraen s ndio itakuwa kubwa zaid
Hahah kumbe ulitufuatilia?
 
Rassia waliiiuza Alaska kwa usa ili imperror wakipindi hicho afanye harusi
Nani kakwambia? Waliiuza kipindi kile kwa kuwa haikuwa na watu, haina resources na ni barafu tu. Walikuwa na vita na Uingereza wamekaa chonjo ila kuweka kambi Alaska wakashindwa wakaona waiuze kwa nchi nyingine yenye ugomvi na Uingereza, Marekani kupindi kile hapatani kabisa na Uingereza wakamuuzia
 
Nani kakwambia? Waliiuza kipindi kile kwa kuwa haikuwa na watu, haina resources na ni barafu tu. Walikuwa na vita na Uingereza wamekaa chonjo ila kuweka kambi Alaska wakashindwa wakaona waiuze kwa nchi nyingine yenye ugomvi na Uingereza, Marekani kupindi kile hapatani kabisa na Uingereza wakamuuzia
Naona Vita ya kuidhibiti Ukraine imekuwa ngumu.

Huenda wapanga mikakati wa Urusi walipuuza nguvu za Ukraine kijeshi.
 
Hapo kwenye Mipaka yake, ondoa Norway weka Tanzania
 
Kumbe Urusi inapakana na US kwa ukaribu kiasi hicho,sasa nimejua kwanini US kaogopa kupeleka jeshi Ukreine.
 
Kumbe Urusi inapakana na US kwa ukaribu kiasi hicho,sasa nimejua kwanini US kaogopa kupeleka jeshi Ukreine.
🤣🤣
Kutoka hapo makutano( border) yaitwayo BERING mpaka Moscow ni kilomita zaidi ya 6000.....

Na kutoka hapo mpakani mpaka Washington ni zaidi ya kilomita 3000......
 
Kumbe Urusi inapakana na US kwa ukaribu kiasi hicho,sasa nimejua kwanini US kaogopa kupeleka jeshi Ukreine.
Hapo muda wowote kinaumana maana vitu vitaanza kurushwa kwa mbali.
 
Hawa warusi hatari....

Zile silaha zao mathalani THERMOBARIC ROCKET LAUNCHERS zinazotoa moto ambao huichemsha hewa iliyoko ndani ya eneo la kilomita 6 kutoka yalipofyatuliwa huwa yana uwezo wa kuunguza sana na hapo bado zile CLUSTER BOMBS zinazolipukia angani na kuangusha vipande vipande vyenye kufanya uharibifu mkubwa.....
 
Hawa warusi hatari....

Zile silaha zao mathalani THERMOBARIC ROCKET LAUNCHERS zinazotoa moto ambao huichemsha hewa iliyoko ndani ya eneo la kilomita 6 kutoka yalipofyatuliwa huwa yana uwezo wa kuunguza sana na hapo bado zile CLUSTER BOMBS zinazolipukia angani na kuangusha vipande vipande vyenye kufanya uharibifu mkubwa.....
Hizi silaha hatari sana
 
Kuna uzi mmoja pia nimeoana humu ndani jmaa wanabishana kuwa urusi nayo imepakana na marekani


Sas wakifanikiwa kuitwa urkraen s ndio itakuwa kubwa zaid
Iko karibu vilevile na maeneo ya Marekani (jimbo la Alaska liko ng'ambo ya mlango wa Bering) na Japani (kisiwa cha Hokkaido kiko ng'ambo ya mlango wa La Pérouse.
 
Maji yanayotenganisha US(Alaska) na Russia yana upana ya 2.5 miles na yanaganda kipindi cha baridi, hivyo unaweza tembea kwa miguu toka US mpka Russia
fact ni kwamba alaska iliuzwa miaka iyo na urusi kwa mmarekani
 
Siyo tabora tu, kifupi nchi za Rwanda au Burundi ni ndogo kwa mkoa wowote ule wa Tanzania (Bara)
Nchi ya Burundi ina eneo dogo ukilinganisha na wilaya mbili tu za Kasulu na Kibondo mkoani Kigoma!

Mkuu hapana,

Rwanda ina km za mraba karibu 26,000 hivyo sio mikoa yote inayolingana na Rwanda, ilikuwepo mikoa michache kama Arusha kabla ya kugawanywa na Manyara, Tabora , Mbeya kabla ya kugawanywa na Songwe, na mikoa mingine,


Lakini sio kweli kwamba Rwanda au Burundi ni ndogo kuliko mkoa wowote wa Tanzania Bara, mfano kuna mikoa mingi sana midogo kama Mtwara, Kilimanjaro, Dar es salaam, Njombe, Geita, nk.
 
Back
Top Bottom