Ifahamu nchi kubwa kuliko zote duniani

Ifahamu nchi kubwa kuliko zote duniani

Pia maajabu yaliyopo ndani ya Russia ni kwamba kuna baadhi ya maeneo yanatofautiana hadi masaa 11. Yaani eneo moja la Russia linaweza kua saa 12 asubuhi wakati huo huo eneo jingine ni saa 10 jioni.
Hongera zimuendee rais wao kwa kuliwezesha hilo
 
Mada ya kijinga. Mtu yeyote aliyeishia darasa la saba akipewa atlas na kuulizwa maswali haya atayajibu yote!!!

Kipi kipya kuhusu nchi kubwa kuliko zote duniani na mipaka yake???
We mama kwanini unakuwaga MKUDA sana? Yani unaamini kwamba kila mtu aliyeishia la saba kama wewe alikariri Atlas??

Sent from my TECNO LB7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kuna wengine hawajui kusomaa atlas na c mbaya mleta mada akitujuzaa ,kwan ameyumia bando lako mkuu kuletaa hilii bandiko hapa achaa hasiraa
Stress hizo mkuu maisha yakikupiga sana unajikuta unakasirika bila hata sababu.Binafsi sijaona muanzisha uzi kakosea wapi😅😅
 
Mada ya kijinga. Mtu yeyote aliyeishia darasa la saba akipewa atlas na kuulizwa maswali haya atayajibu yote!!!

Kipi kipya kuhusu nchi kubwa kuliko zote duniani na mipaka yake???
Atlas ndo nini.

Acha walimu waelimishe bana
 
Hiyo issue ya saa kidogo kama unatupiga kamba
Inawezekana ukubwa wake unatokana na kupokonya nchi nyingine ndo utengenezwaji wa Russia ,huko kunakozama nakunakucha utofauti wake zilikua nchi tofauti kuunganishwa nchi moja zenye majiratofauti ukumbuke iko ndani ya mabara mawili....lenn kiboko

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Bando langu leo limenifanya nijifunze mambo kadhaa katika huu uzi.

1.russia ndiyo nchi kubwa duniani.

2.mashariki na magharibi ya russia inatofautiana kwa masaa 11.

3.russia ukubwa wake imepakana ana marekani huku boundary yao ikiwa ni maji ya bahari ambayo wakati wa baridi kali maji hayo huganda na kugeuka barafu kiasi kwwmba unaweza kutembea juu kutoka russia mpaka marekani.

Kumbe mrusi jirani yake ni marekani tena wametenganishwa na bahari tu.

Nashkuru Mungu kwa kunifanya nijiunge JF
 
3.russia ukubwa wake imepakana ana marekani huku boundary yao ikiwa ni maji ya bahari ambayo wakati wa baridi kali maji hayo huganda na kugeuka barafu kiasi kwwmba unaweza kutembea juu kutoka russia mpaka marekani.
Neighbours but enemies
 
Na imepakana na nchi 14 ambazo ni North Korea, China, Norway, Finland, Ukraine, Georgia, Mongolia, Latvia, Estonia, Azerbaijan, Belarus, Lithuania, Abkhazia na South Ossetia.
Mtaalamu tupe dondoo Russia inapakana na Norway katika eneo lipi maana ukitazama ramani utagundua majirani wa Norway ni Denmark, Sweden na UK kwa mbali kabisa
 
Ni sawa na Dwarf ...denoting something, especially an animal or plant, that is much smaller than the usual size for its type or species.

Hivi sasa kiswahili ni kigumu kuliko kijapani
Asante sana mkuu kwa kunipa msamiati mpya
 
Bando langu leo limenifanya nijifunze mambo kadhaa katika huu uzi.

1.russia ndiyo nchi kubwa duniani.

2.mashariki na magharibi ya russia inatofautiana kwa masaa 11.

3.russia ukubwa wake imepakana ana marekani huku boundary yao ikiwa ni maji ya bahari ambayo wakati wa baridi kali maji hayo huganda na kugeuka barafu kiasi kwwmba unaweza kutembea juu kutoka russia mpaka marekani.

Kumbe mrusi jirani yake ni marekani tena wametenganishwa na bahari tu.

Nashkuru Mungu kwa kunifanya nijiunge JF
ongeza na Hii,
Waliuza Jimbo la Alaska wakiwa wamewaka yaani wamepiga mavitu Yao Ugimbi aina ya Vodka
Wakauza Kwa vijisent
(in Chenge voices )
Pesa ikatumika kumcheza ngoma mwali aliyekwisha tolewa bikra na wahuni

Wakaja shtuka pombe ilivyoisha wapo na Hangover Ndio wanaona
Bendera Yenye manyota nyota Inapepea
Walipiga yowe lakini haikusaidia

Tsar:Hawa American wamevamia nchi yetu na kuweka bendera Yao!

Yktak kolochev:Mweshimiwa mfalme mbona umeuza Alaska Jana usiku!

Tsar:Nimeuza Alaska Jana hii inawezekanaje?

Yktak kolochev:Ulikua umelewa sana Mweshimiwa mfalme na Bolishev alipotaka kukuzuia ulimpiga risasi ya kichwa binamu Yako Ndio kafa hivyo!
Tsar:Ati niniiiiii,uwiiiiiii uwiiiii inawezekanaje?

Yktak kolochev:Mkataba wa kuuza Alaska huu hapa Kuanzia Leo kule ni Marekani yaani Tena Jana ulivyolewa Ulikua na furaha sana kiasi Kwamba ulimtoa mke wako Kwa Mr Washington Jr kama zawadi amtumie apendavyo na Kwa taarifa za chini chini alimpa 076...yaani

Tsar:mamaaaa weeeee uwiiiiiii Vodka vodka vodka
Imenitendea Nini Mimi Leo ni msiba mkubwaaaaa,najutaaaaa!

😁😁😁😁😁🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom