Ifahamu nchi kubwa kuliko zote duniani

Ifahamu nchi kubwa kuliko zote duniani

ongeza na Hii,
Waliuza Jimbo la Alaska wakiwa wamewaka yaani wamepiga mavitu Yao Ugimbi aina ya Vodka
Wakauza Kwa vijisent
(in Chenge voices )
Pesa ikatumika kumcheza ngoma mwali aliyekwisha tolewa bikra na wahuni

Wakaja shtuka pombe ilivyoisha wapo na Hangover Ndio wanaona
Bendera Yenye manyota nyota Inapepea
Walipiga yowe lakini haikusaidia

Tsar:Hawa American wamevamia nchi yetu na kuweka bendera Yao!

Yktak kolochev:Mweshimiwa mfalme mbona umeuza Alaska Jana usiku!

Tsar:Nimeuza Alaska Jana hii inawezekanaje?

Yktak kolochev:Ulikua umelewa sana Mweshimiwa mfalme na Bolishev alipotaka kukuzuia ulimpiga risasi ya kichwa binamu Yako Ndio kafa hivyo!
Tsar:Ati niniiiiii,uwiiiiiii uwiiiii inawezekanaje?

Yktak kolochev:Mkataba wa kuuza Alaska huu hapa Kuanzia Leo kule ni Marekani yaani Tena Jana ulivyolewa Ulikua na furaha sana kiasi Kwamba ulimtoa mke wako Kwa Mr Washington Jr kama zawadi amtumie apendavyo na Kwa taarifa za chini chini alimpa 076...yaani

Tsar:mamaaaa weeeee uwiiiiiii Vodka vodka vodka
Imenitendea Nini Mimi Leo ni msiba mkubwaaaaa,najutaaaaa!

😁😁😁😁😁🔥🔥🔥
Ndiko twendako na mikataba tunayoisaini huko ughaibuni ipo siku tutaomba Marekani watunusuru kumbe tunajichomeka
 
Ni sawa na Dwarf ...denoting something, especially an animal or plant, that is much smaller than the usual size for its type or species.

Hivi sasa kiswahili ni kigumu kuliko kijapani
kibete ni dwarf au mbilikimo
 
IJUE NCHI KUBWA KULIKO ZOTE.

Je, unafahamu kuwa Urusi (Russia)/ USSR Ndio nchi inayo shika rekodi ya kua nchi kubwa kuliko nchi yeyote duniani?

Basi fahamu Kuhusu ukubwa wake, eneo lake kwa ukubwa ni 17,075,400km² za mraba (million17.1km²), ambayo sawa na 12,577mile kwa urefu.

Pia Urusi inachukua 11% ya eneo lote la nchi kavu duniani.

Na imepakana na nchi 14 ambazo ni North Korea, China, Norway, Finland, Ukraine, Georgia, Mongolia, Latvia, Estonia, Azerbaijan, Belarus, Lithuania, Abkhazia na South Ossetia.

Lakini pia nchi hii imepakana na Taifa la Marekani ikiwa imetenganishwa na Bahari.

Urusi Pia inajumla ya wakazi 145,934,000 yaani Wanaume wakiwa 67,640,000 ambao sawa na 47% ya wakazi Wake na wanawake wakiwa 78,294,000 sawa na 53% ya wakazi wake wote.

Lakini pia Russia ni nchi ambayo imeingia (inapatikana) katika mabara mawili tofauti yaani Asia na Ulaya licha ya kuwa Russia rasmi hupatikana Bara la Asia
Pia maajabu yaliyopo ndani ya Russia ni kwamba kuna baadhi ya maeneo yanatofautiana hadi masaa 11. Yaani eneo moja la Russia linaweza kua saa 12 asubuhi wakati huo huo eneo jingine ni saa 10 jioni.

Hiyo ndo Russia na hayo ni machache kuhusu Urusi

Kwa ufupi, nchi ya Urusi/ Russia ni sawasawa na Nchi ya Tanzania ziwe 19!
 
Tabora ni kubwa kuliko nchi ya Rwanda au Burundi.
Siyo tabora tu, kifupi nchi za Rwanda au Burundi ni ndogo kwa mkoa wowote ule wa Tanzania (Bara)
Nchi ya Burundi ina eneo dogo ukilinganisha na wilaya mbili tu za Kasulu na Kibondo mkoani Kigoma!
 
kibete ni dwarf au mbilikimo
What is the biggest dwarf planet?


Pluto

Eris is one of the largest known dwarf planets in our solar system. It's about the same size as Pluto but is three times farther from the Sun. At first, Eris appeared to be larger than Pluto.
 
Siyo tabora tu, kifupi nchi za Rwanda au Burundi ni ndogo kwa mkoa wowote ule wa Tanzania (Bara)
Nchi ya Burundi ina eneo dogo ukilinganisha na wilaya mbili tu za Kasulu na Kibondo mkoani Kigoma!
Hivi kwa nn tz tusiivamie burundi na rwandwa?
Hivi vinchi ni vidogo mnoo na mara nyingi vimekuwa vikitusumbua sana kuwahifadhi raia wake kama wakimbizi'

Tukimalizana na vinchi hivi tuwaonye wakongomani juu ya vurugu zao zisizoisha'
 
Bando langu leo limenifanya nijifunze mambo kadhaa katika huu uzi.

1.russia ndiyo nchi kubwa duniani.

2.mashariki na magharibi ya russia inatofautiana kwa masaa 11.

3.russia ukubwa wake imepakana ana marekani huku boundary yao ikiwa ni maji ya bahari ambayo wakati wa baridi kali maji hayo huganda na kugeuka barafu kiasi kwwmba unaweza kutembea juu kutoka russia mpaka marekani.

Kumbe mrusi jirani yake ni marekani tena wametenganishwa na bahari tu.

Nashkuru Mungu kwa kunifanya nijiunge JF
JF ni kisima cha Maarifa ndio maana wakasema ni Nyumbani kwa Wenye fikira kuu(home of greater Thinkers).

Na wadau wakashindilia kwamba JF njoo mwenye akili utazikuta huku. Hivyo JF kutoka kapa hilo sahau

Kwa kusema hivyo hongera nyingi zimuendelee JF Founder Bwana Maxence Melo kwa kutengeneza jukwaa na jamii iliyo tukutanisha pamoja
 
ongeza na Hii,
Waliuza Jimbo la Alaska wakiwa wamewaka yaani wamepiga mavitu Yao Ugimbi aina ya Vodka
Wakauza Kwa vijisent
(in Chenge voices )
Pesa ikatumika kumcheza ngoma mwali aliyekwisha tolewa bikra na wahuni

Wakaja shtuka pombe ilivyoisha wapo na Hangover Ndio wanaona
Bendera Yenye manyota nyota Inapepea
Walipiga yowe lakini haikusaidia

Tsar:Hawa American wamevamia nchi yetu na kuweka bendera Yao!

Yktak kolochev:Mweshimiwa mfalme mbona umeuza Alaska Jana usiku!

Tsar:Nimeuza Alaska Jana hii inawezekanaje?

Yktak kolochev:Ulikua umelewa sana Mweshimiwa mfalme na Bolishev alipotaka kukuzuia ulimpiga risasi ya kichwa binamu Yako Ndio kafa hivyo!
Tsar:Ati niniiiiii,uwiiiiiii uwiiiii inawezekanaje?

Yktak kolochev:Mkataba wa kuuza Alaska huu hapa Kuanzia Leo kule ni Marekani yaani Tena Jana ulivyolewa Ulikua na furaha sana kiasi Kwamba ulimtoa mke wako Kwa Mr Washington Jr kama zawadi amtumie apendavyo na Kwa taarifa za chini chini alimpa 076...yaani

Tsar:mamaaaa weeeee uwiiiiiii Vodka vodka vodka
Imenitendea Nini Mimi Leo ni msiba mkubwaaaaa,najutaaaaa!

😁😁😁😁😁🔥🔥🔥
JF bwana dah
 
Wamewezaji kuendelea kuliko Tanzagiza?
Ukisikia kisima cha gas basi na Russia ipo hivyo wana vyanzo vingi wamepata kuwa na bahati ya kumiliki na madini.

Hao hao ndio moja ya Mataifa yenye nguvu Zaidi Duniani wamesimama kama nafasi ya pili kwa mataifa yenye nguvu kama sikosei.
 
Maji yanayotenganisha US(Alaska) na Russia yana upana ya 2.5 miles na yanaganda kipindi cha baridi, hivyo unaweza tembea kwa miguu toka US mpka Russia
Inatakiwa wawe wanaweka na usafiri kabisa.
 
Back
Top Bottom