mipangoMikubwa
Member
- Oct 24, 2019
- 34
- 32
hii inatokana na demand ya pesa yao katika soko la duniaKwa leo 1 Tsh ni sawa 21.69 Yen, unaweza kutuambia ni kwa nini thamani ya fedha ya Japan ipo chini sana licha ya kuwa na uchumi mkubwa sana wa viwanda na pia naimani exportation ni kubwa kuliko importation?
Sent using Jamii Forums mobile app
(if demand is less then value of money inakua propotional hence vice versa
Sent using Jamii Forums mobile app