Hahaha. Hapo sasa.yaan unamziba masikio mtoto na pamba kwa lengo asikusikie, af unamwita asipokusikia unamchapa (wakati ulimziba masikio mwenyew kwa kusudi asikusikie)
Unamwonea
Hahaha. Hapo sasa.
Halafu Quran yao imeandika hilo wazi kabisa.
Ukiwabana wanalalamika tafsiri. Hawajui kwamba hata tafsiri, kitabu cha Mungu kuwa na matatizo ya tafsiri ni ushahidi huyo Mungu hayupo kiukweli, ni wa hadithi tu.
Angekuwepo angefanya kitabu kieleweke bila hata kuandikwa.
Ukiwabana sana wanasepa hawarudi.
Sasa Allah mwenye rehema zote na upendo wote, kwa nini asiwafanyie huruma wenye kiburi na kuwafungua mioyo yao wapate kumuelewa?Wewe zilete na wajuzi watakutafsiria! AllahSWT atafanya mioyo zile tu zilizojaa kiburi, ujeuri na ubishi ziwe migumu!
Watu wa dunia nzima wakiacha kumwamini Mungu, hakuna kitu kitachomzidishia au kumpunguzia. Yeye atabaki na sifa zake milele na milele.
Ndio kwani Yesu alizaliwa kutoka kabila gani? Alisema yeye ni mwana wa daudiKabila la Yuda Walibaki na fimbo ya Daudi?
Baada wao kumkataa Yesu ndio maana walifanywa wakimbizi duniani tangu mwaka wa 70ad.Kwanini walimuua yesu na kwanini mna waombea wabalikiwe badala ya kuomba nchi yenu ibalikiwe
Ni mbaya sana kujaribu kueleza jambo gumu ambalo hulijui sawa sawa!Salama wana jamii Amani na iwe juu yenu
Nimependa Leo nije na uzi huu juu Sifongo
Na Siki. Jambo ambalo halijazungumziwa Sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji ambapo alipewa sifongo yenye siki utajiuliza ni kwanini alionja tu ile Sifongo alikata roho Luka 23:36 na Mark 15:36 mmoja wao alienda mbio akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha Alipoipokea akakata roho....
Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari. Kama dubu Simba mbwa mwitu pia ilitumiwa na wapiganaji vitani ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache maana sumu Kali sana(wataalumu wa usiku hizi. Wanaifananisha sumu Kali ambayo hupigwa. Kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji) in short Sifongo kwenye siki ni sumu Kali sana tena sana
Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina ya Fulani ya nyoka na mafuta yake na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo crocodile lakini haikujulikana taarifa za 100% kua hii ndio hasa ilitumika kutengenezea Sifongo iliotiwa Siki sumu kali sana
Muwe na mchana Mwema
Kuthibitisha uwepo wa Mungu si kazi yangu. Ila imani ya Mungu unahitaji unyenyekevu, subira na contemplation. In the grand scale of the Universe, our power of reasoning has still not yet reached its peak, and because of our limitations wa fail to see the Glory of God. That limitation has been intentionally imposed on us, to ignite curiousity in us and generate a need for a learning process. As our knowledge increases, perhaps in time we will be able to tear apart the curtains shrouding the mysteries of God.Sasa Allah mwenye rehema zote na upendo wote, kwa nini asiwafanyie huruma wenye kiburi na kuwafungua mioyo yao wapate kumuelewa?
Unaelewa Allah, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote, kuumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na kiburi, wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na kiburi, ni contradiction?
Huyo Allah yupo kweli au ni uzushi tu?
Unaweza kuthibitisha yupo na si stories za watu tu?
Sihoji imani, nahoji fact.Kuthibitisha uwepo wa Mungu si kazi yangu. Ila imani ya Mungu unahitaji unyenyekevu, subira na contemplation. In the grand scale of the Universe, our power of reasoning has still not yet reached its peak, and because of our limitations wa fail to see the Glory of God. That limitation has been intentionally imposed on us, to ignite curiousity in us and generate a need for a learning process. As our knowledge increases, perhaps in time we will be able to tear apart the curtains shrouding the mysteries of God.
Life is all a matter of choices and as you choose so you become. Your arguments about kwa nini Mungu kawa fanyia watu fulani hivi na watu wengine vile haina mshiko. Ni juu ya watu KUCHAGUA nini kufanya baada ya kukutwa na situation fulani. Unaweza kuchagua kuangamia while fighting to keep the faith or to choose to loose it and become an aethist. It is as YOU CHOOSE that you grow or perish.
Mimi sina interest in convincing you or anybody else for that matter juu ya kuwepo kwa Mungu. Uthibitisho huu haiji kwa hoja, mantiki, or other wordly instruments. Sometimes it is just the sight of a brilliant sunset or the Milky Way, a mother and a baby, or a beautiful vista that pulls the strings in your heart and draws you towards God! Two different people might see the same sight but experience totally different reactions based on their outlook. This is where the deafness, dumbness and blindness comes in!.
Kwa hiyo, based on your experiences, outlook and choices, ni sawa kabisa ikiwa umechagua kutoamini uwepo wa Mungu. Ila inakera pale unapoleta kejeli, dhihaka na attitudes kwa wale wanaoamini kwenye uwepo Wake. The world is still large enough to accommodate all sorts of people, it is we who need to learn how to respect the spaces created by its people!
Na Mungu hachunguziki1 ya vitu najiuliza sana na sijawahi kupata majib ni hili, KWANINI MUNGU ALIAMUA KUMTUPIA SHETANI DUNIANI PALIPO/ATAKAPOWAWEKA WATOTO WAKE (sisi wanadamu) ANAOTAKA WASIMKOSEE NA WAMWABUDU, NA SIYO KWENYE SAYARI NYINGNE AU HATA GALAXY ZINGNE KABISA ILI SISI TUSIMKOSEE MWENYEZI MUNGU??? na anajua kabisa shetani ana nguv na ushawish mkubwa kias cha wanadam kutochomoka mbele yake.
KWANINI DUNIANI NA SIYO SAYARI/GALAXY ZINGINE??????????
Sihoji imani, nahoji fact.
Hivi ni vitu viwili tofauti.
Unachojibu si nilichouliza.
Pingamizi langu kuhusu hoja ya kuwepo kwa Mungu haliishi kwenye ukweli kwamba huwezi kuthibitisha yupo.Kuna mambo mengi hayawezi kuthibitika because of the limits on our physical and mental capacities, and that's where the realm of belief begins. For example in our current bodies we cannot cross into Space and need suits to endure the conditions there. Its same with spiritual matters, our minds are not fully evolved to understand God and his many attributes!
Kwako wewe ikitokea kitu kibaya basi unauliza ni Mungu gani anayeleta mateso namna hii kwa waja wake? Lakini kwa waumini, hayo si mateso bali ni fursa ya kuchukua mafundisho (ibraa)! Ni ishara ya kuanza kujirekebisha na kujitahidi kubadilisha the final outcome! Waislamu kwenye sala zao ya kuaga maiti, wanatamka kwamba marehemu ametutangulia, na sisi tuliobaki tuchukue tahadhari kwamba kuna mauti mbele na tujirekebishe!!! Wengi wetu tunapoteza hii fursa kwa kujifanya deaf, dumb and blind!
Ulichouliza yote yamejibiwa hapa juu na post iliyotangulia. Ni style yako - ukibanwa, unaleta ubishi usiyo na msingi. I've better things to do then waste time on baseless arguments! Kama huna la maana ya kuongeza, silence might prove to be gold!!
Pingamizi langu kuhusu hoja ya kuwepo kwa Mungu haliishi kwenye ukweli kwamba huwezi kuthibitisha yupo.
Nimezama zaidi kwenye contradictions zilizopo katika dhana ya kuwepo huyo Mungu.
Unaelewa hilo?
Umezielewa contradictiond? Unaelewa contradiction ni kitu gani? Unaweza kuziondoa?
Hujaondoa contradictions nilizotaja kuwemo katika habari za kuwepo Mungu.
Sina hakika hata kama umezielewa.
Unayataja mateso, halafu unasema haya si mateso. Unajua hata wewe mwenyewe umesimama wapi?
Mungu wako alishindwa kuumba ulimwengu wenye mafundidho bila mateso?
Pingamizi langu kuhusu hoja ya kuwepo kwa Mungu haliishi kwenye ukweli kwamba huwezi kuthibitisha yupo.
Nimezama zaidi kwenye contradictions zilizopo katika dhana ya kuwepo huyo Mungu.
Unaelewa hilo?
Umezielewa contradictiond? Unaelewa contradiction ni kitu gani? Unaweza kuziondoa?
Hujaondoa contradictions nilizotaja kuwemo katika habari za kuwepo Mungu.
Sina hakika hata kama umezielewa.
Unayataja mateso, halafu unasema haya si mateso. Unajua hata wewe mwenyewe umesimama wapi?
Mungu wako alishindwa kuumba ulimwengu wenye mafundidho bila mateso?
Salama wana jamii Amani na iwe juu yenu
Nimependa Leo nije na uzi huu juu Sifongo
Na Siki. Jambo ambalo halijazungumziwa Sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji ambapo alipewa sifongo yenye siki utajiuliza ni kwanini alionja tu ile Sifongo alikata roho Luka 23:36 na Mark 15:36 mmoja wao alienda mbio akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha Alipoipokea akakata roho....
Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari. Kama dubu Simba mbwa mwitu pia ilitumiwa na wapiganaji vitani ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache maana sumu Kali sana(wataalumu wa usiku hizi. Wanaifananisha sumu Kali ambayo hupigwa. Kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji) in short Sifongo kwenye siki ni sumu Kali sana tena sana
Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina ya Fulani ya nyoka na mafuta yake na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo crocodile lakini haikujulikana taarifa za 100% kua hii ndio hasa ilitumika kutengenezea Sifongo iliotiwa Siki sumu kali sana
Muwe na mchana Mwema
daudi alikua na fimbo ngapiWaisraeli ni kabila 12 ya wana wa yakobo. Mojawapo ni kabila la wayuda, ambalo lilibaki na fimbo ya daudi