Ifahamu SIRI hii kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa faida yako maishani

Ifahamu SIRI hii kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa faida yako maishani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ukiona popote pale (Mitandaoni pia Kunahusika) Unachukiwa na Wanaokujua, Wasiokujua hadi wale ambao kamwe hawajawahi Kuishi nawe ila Wanaamini mabaya yako ya Uwongo na Kufitinishwa na Maadui zako jua haya yafuatayo:

1. Umebarikiwa mno na Mwenyezi Mungu kuliko Walivyobarikiwa Wao na Shetani.

2. Una Akili Kubwa kuliko Upumbavu Waliotunukiwa nao na ambao Utawatesa mpaka Kufa Kwao.

3. Nyota yako ni Kali halafu inang'aa 24/7 na Wanahangaika Kuizima ila wanashindwa kwakuwa Swichi yake ameishika Yesu Kristo / Mtume Mohammed SW anayekupigania, anayekulinda na anayekupenda kuliko Wanavyokuchukia.

4. Ulizaliwa Siku ya Jumanne ambayo Kiimani ndiyo Siku ambayo Baba Muumba Mwenyezi Mungu huwa anagawa Baraka, Shani na Tunu zake kwa Wale Wanadamu aliowaumba na anaowapenda na pia ana Kazi nao njema hapa duniani.

5. Umaarufu wako uliopata Kibali kutoka Mbinguni kwa Baba Mola ni Tishio Kwao.

6. Huna Unafiki kama Wao halafu hujui Kujikomba wala Kujipendekeza Kwao hata kama Wanakuumiza, Wanakutesa na Wanakusumbua kwa Makusudi ili Kukuvunja Nguvu na Moyo.

7. Una Thamani ya Kipekee kwa Wanadamu Wenzako na Taifa lako na mara nyingi Mwenyezi Mungu hukutumia kama ngazi ya (daraja la) Mafanikio kwa Wanadamu wengine tena wengi Wao wakiwa ni hao hao Maadui zako huku akiwa amekupa Zawadi Kubwa ya Maono na Machale ya kuweza Kuwaepuka ili Wasikudhuru kwa namna yoyote ile.

Hivyo basi GENTAMYCINE nakuasa Ewe Mwanadamu unayechukiwa, unayeandamwa na hata Kukomolewa kwa kila namna kuwa ifurahie na ikiwezekana jivunie hiyo (hii) hali kwani ina Mafanikio yako mengi ambayo yatakuja Kushuhudiwa na hawa hawa (hao hao) Maadui zako na pia ni Makusudi yake Mwenyezi Mungu katika Kukujenga na kukufanya uwe Imara zaidi.
 
Ukiona popote pale (Mitandaoni pia Kunahusika) Unachukiwa na Wanaokujua, Wasiokujua hadi wale ambao kamwe hawajawahi Kuishi nawe ila Wanaamini mabaya yako ya Uwongo na Kufitinishwa na Maadui zako jua haya yafuatayo:

1. Umebarikiwa mno na Mwenyezi Mungu kuliko Walivyobarikiwa Wao na Shetani.

2. Una Akili Kubwa kuliko Upumbavu Waliotunukiwa nao na ambao Utawatesa mpaka Kufa Kwao.

3. Nyota yako ni Kali halafu inang'aa 24/7 na Wanahangaika Kuizima ila wanashindwa kwakuwa Swichi yake ameishika Yesu Kristo anayekupigania, anayekulinda na anayekupenda kuliko Wanavyokuchukia.

4. Ulizaliwa Siku ya Jumanne ambayo Kiimani ndiyo Siku ambayo Baba Muumba Mwenyezi Mungu huwa anagawa Baraka, Shani na Tunu zake kwa Wale Wanadamu aliowaumba na anaowapenda na pia ana Kazi nao njema hapa duniani.

5. Umaarufu wako uliopata Kibali kutoka Mbinguni kwa Baba Mola ni Tishio Kwao.

6. Huna Unafiki kama Wao halafu hujui Kujikomba wala Kujipendekeza Kwao hata kama Wanakuumiza, Wanakutesa na Wanakusumbua kwa Makusudi ili Kukuvunja Nguvu na Moyo.

7. Una Thamani ya Kipekee kwa Wanadamu Wenzako na Taifa lako na mara nyingi Mwenyezi Mungu hukutumia kama ngazi ya (daraja la) Mafanikio kwa Wanadamu wengine tena wengi Wao wakiwa ni hao hao Maadui zako huku akiwa amekupa Zawadi Kubwa ya Maono na Machale ya kuweza Kuwaepuka ili Wasikudhuru kwa namna yoyote ile.

Hivyo basi GENTAMYCINE nakuasa Ewe Mwanadamu unayechukiwa, unayeandamwa na hata Kukomolewa kwa kila namna kuwa ifurahie na ikiwezekana jivunie hiyo (hii) hali kwani ina Mafanikio yako mengi ambayo yatakuja Kushuhudiwa na hawa hawa (hao hao) Maadui zako na pia ni Makusudi yake Mwenyezi Mungu katika Kukujenga na kukufanya uwe Imara zaidi.
MAKOLO wasipokuja kukupa madongo hapa kwa jinsi unavyowapigaga za uso basi huu uzi ni ubatili mtupu
 
Hujawahi kujiuliza kwa nini uchukiwe wewe tuu?

Hizi Kanuni na Miongozo ya Jf huwa unazisoma mara kwa mara na kuzielewa sawa sawa?​

IMG_20220811_101752.jpg


IMG_20220730_230233.jpg
 
Hujawahi kujiuliza kwa nini uchukiwe wewe tuu?

Hizi Kanuni na Miongozo ya Jf huwa unazisoma mara kwa mara na kuzielewa sawa sawa?​

View attachment 2353511

View attachment 2353510
Naomba Logical Connection ya huu Uzi wangu na Maudhui yake dhidi ya Mimi kuwa BANNED.

Msanii Mmoja wa Muziki aliwahi kusema ukiona unaimba Wimbo wenye Ujumbe fulani kisha ukaona Watu wanahoji au wanajishtukia basi jua umeenda mahala pake na sasa Sindano yenye Dawa imeshawaingia.

Nimeanzisha Uzi wa Kiimani na sijaanzisha Uzi wa Kulaumu Mtu au Watu na sina muda huo Mchafu na kama GENTAMYCINE kulalamika kuhusu BAN zangu nilishaandika hivyo several times hapa JamiiForums na sijawahi pia Kuziogopa hata hizo BAN zenyewe ila ningekuwa BANNED na Mwenyezi Mungu ndiyo ningeumia zaidi na hata kwenda Kitubioni Kutubu.

Kama wamekutuma wafikishie huu Ujumbe ( Mrejesho ) wangu tafadhali sawa? Na wala hukuwa na haja ya kupoteza muda wako kunianikia hapa Orodha za Kanuni za JF kwani nilizijua tokea naingia hapa mwaka 2013 na leo ni mwaka 2022.

Nimemaliza.
 
Ukiona popote pale (Mitandaoni pia Kunahusika) Unachukiwa na Wanaokujua, Wasiokujua hadi wale ambao kamwe hawajawahi Kuishi nawe ila Wanaamini mabaya yako ya Uwongo na Kufitinishwa na Maadui zako jua haya yafuatayo:

1. Umebarikiwa mno na Mwenyezi Mungu kuliko Walivyobarikiwa Wao na Shetani.

2. Una Akili Kubwa kuliko Upumbavu Waliotunukiwa nao na ambao Utawatesa mpaka Kufa Kwao.

3. Nyota yako ni Kali halafu inang'aa 24/7 na Wanahangaika Kuizima ila wanashindwa kwakuwa Swichi yake ameishika Yesu Kristo anayekupigania, anayekulinda na anayekupenda kuliko Wanavyokuchukia.

4. Ulizaliwa Siku ya Jumanne ambayo Kiimani ndiyo Siku ambayo Baba Muumba Mwenyezi Mungu huwa anagawa Baraka, Shani na Tunu zake kwa Wale Wanadamu aliowaumba na anaowapenda na pia ana Kazi nao njema hapa duniani.

5. Umaarufu wako uliopata Kibali kutoka Mbinguni kwa Baba Mola ni Tishio Kwao.

6. Huna Unafiki kama Wao halafu hujui Kujikomba wala Kujipendekeza Kwao hata kama Wanakuumiza, Wanakutesa na Wanakusumbua kwa Makusudi ili Kukuvunja Nguvu na Moyo.

7. Una Thamani ya Kipekee kwa Wanadamu Wenzako na Taifa lako na mara nyingi Mwenyezi Mungu hukutumia kama ngazi ya (daraja la) Mafanikio kwa Wanadamu wengine tena wengi Wao wakiwa ni hao hao Maadui zako huku akiwa amekupa Zawadi Kubwa ya Maono na Machale ya kuweza Kuwaepuka ili Wasikudhuru kwa namna yoyote ile.

Hivyo basi GENTAMYCINE nakuasa Ewe Mwanadamu unayechukiwa, unayeandamwa na hata Kukomolewa kwa kila namna kuwa ifurahie na ikiwezekana jivunie hiyo (hii) hali kwani ina Mafanikio yako mengi ambayo yatakuja Kushuhudiwa na hawa hawa (hao hao) Maadui zako na pia ni Makusudi yake Mwenyezi Mungu katika Kukujenga na kukufanya uwe Imara zaidi.
Ujio mpya wa popoma
 
Upo lkn hpo #2 sjui nini na nini yesu ndo umeharibu.

Ila uzi mkali sana wa ki-motivation spika
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Purely Talented, Blessed man and very intelligent Fella, nakukubali sana kiongozi!
 
Back
Top Bottom