IFFHS yatoa timu 10 bora za CAF, Simba ya 9

IFFHS yatoa timu 10 bora za CAF, Simba ya 9

Timu no 9 Kwa u Bora isiyo na kombe lolote hata la uji Mwaka wa pili huu[emoji23][emoji23][emoji23]

Na washabiki wake hao wanafurahi[emoji23][emoji23]
Ni sawa na CCM kuwaambia Wananchi wake kuwa Pato la mtanzania limekuwa wakati Wananchi hata Milo miwili hawawezi kuimudu[emoji848][emoji848]
Waambie jamaa waandae orodha nyingine ya timu zenye makombe ili Simba SC isiwemo.
 
Takwimu za kimbumbumbu hizi,huyo anaeshika namba moja ndio huyu aliekula goal nyingi Jana?
Ubora wa aliyepigwa goli 7 juzi Uingereza ni sawa na anayeshika mkia ligi kuu na hajawahi fungwa 7!?
 
Timu zote lazima zipitie hali hiyo, ukiwa na timu nzuri kuna kipindi timu yako naishiwa makali kutokana na wachezaji kuzeeka au wachezaji wapya unaosajili kushindwa kuziba nafasi zilizoachwa wazi na wachezaji wa zamani.
Hawa wajinga hawakosekani kokote kule wapo. Wanasahau Liverpool hii ya sasa sio ile ya mwaka juzi. Wanasahau Barcelona alivyo_struggle hapa kati.
 
Ni kweli, but usipumbazike na takwimu, timu yetu inacheza mpira mbovu sana, nimewaona Mamelod jana, mh, tema mate chini
 
View attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points

Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
kwa hio list timu ya simba imepanda au imeshuka?
 
View attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points

Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
umeisahau Petro Luanda
 
Simba haipo hapo kwa bahati imepambana sana kufika hapo ila kuna vibwengo watukuja kubeza..
 
View attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points

Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
VP jirani yuko kwenye 30 bora?
 
Acha makasiriko!!

Hiyo Orodha haijatolewa na Ahmed Ally sasa inakuwaje unawalaumu mashabiki wa Simba. Kwa Afrika unadhani kuna mataifa mangapi. Yapo mataifa 55 na kote huko kuna Ligi na mabingwa wao.

Kwenye hiyo Orodha suala la kuwemo si kuwa na kombe la ligi bali ubora wa timu.
...wana ugiligili vichwani mwao,...[emoji23]
 
Back
Top Bottom