February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Tusimung'unye mung'unye maneno.
Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo.
Ukiangalia % kubwa ya maprofesa bongo ni wahaya.
Zile ndizi zina nini?
Nadhani zile ndizi zinaongeza maji na IQ
Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo.
Ukiangalia % kubwa ya maprofesa bongo ni wahaya.
Zile ndizi zina nini?
Nadhani zile ndizi zinaongeza maji na IQ