Ifike hatua tukubali wahaya wana IQ kubwa sana

Ifike hatua tukubali wahaya wana IQ kubwa sana

Naona sio IQ kubwa ni suala la accessibility ya miundombinu ya elimu na kua na uchumi mzuri pamoja na muamuko wa elimu, wa koroni walitusaidia sana pamoja na kanisa ya RC,

kutoa mwamko wa elimu, watu wa kagera wana uwezo wa kuhudumia watoto wao kielimu, mimi ni mesoma nyumbani tukiwa na shamba la kahawa, suala ada aijakua shida baba alikua nauwezo wa kukupeleka shule yoyote upendao ili mradi umefaulu
Wa koroni au wakoloni,shule umesomea ujinga. poor you!
 
Kanda ya ziwa yote ni ya wasomi kuanzia watani zetu wa Mara mpaka kwetu Kagera. Tatizo hatuwekezi mikoa yetu ndio maana imechoka. Ukienda Kagera au Mara ni dhoofu hali.
 
Tusimung'unye mung'unye maneno.

Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo.

Ukiangalia % kubwa ya maprofesa bongo ni wahaya.

Zile ndizi zina nini?

Nadhani zile ndizi zinaongeza maji na IQ
Maji dah.....umeharibu.
 
Hiyo dharura sasa, IQ kubwa kwao kungechoka vile, kagera ina tofauti gani Lindi?
Mwambie mhaya atofautishe kati ya asubuhi na hasubuhi

Pili wamegundua Nini? IQ ya kukariri au misifa na umalaya
 
Soma hii[emoji116]
20221212_055841.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sie darasani kwetu top ten wahaya 2, wachagga 5, mmasai 1, mnyakyusa 1, na mwanafunz asiye na kabila 1
😂😂 Asiye na kabila alikua kabila gani mkuu?

Kwako mleta mada, kuna kitu kinaitwa "first mover advantage" Binafsi nilikuja kugundua sisi watu wa singida tuna akili sana tatizo tulichelewa sana kwenda shule.
 
Tusimung'unye mung'unye maneno.

Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo.

Ukiangalia % kubwa ya maprofesa bongo ni wahaya.

Zile ndizi zina nini?

Nadhani zile ndizi zinaongeza maji na IQ
Professor ni MWALIMU WA NGAZI YA JUU WA cHUO kIKUU.

Siyo mtu mwenye akili kuliko wasio maprofesa.

Tumia akili.
 
Sio kweli kabisa, ondoa uwongo wako hapa[emoji35]
Idiot!
 
Umesahau sifa yao moja kuu hujaitaja
 
Kuna ukokotozi pori uliofanyika kilingeni jibu lililopatikana!
Walao ndizi kwa wingi!, ref!; Wachaga, Wanyakyusa, Wahaya hawa watu ukikaa nao darasani patachimbika!

Wala nyama sana kwa wingi, ref!; wanyambwa, wakurya, wamasai ni watu wa hasira sana kama unavyoona nyama buchani inatikisika kwa hasira!

Wala samaki!
Samaki yupo majini anaona hhhh...
Kifupi anacho ongea domoni sicho kilicho rohoni!....
Hicho kikokotoo sio rasmi wana jamvi...
 
Tusimung'unye mung'unye maneno.

Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo.

Ukiangalia % kubwa ya maprofesa bongo ni wahaya.

Zile ndizi zina nini?

Nadhani zile ndizi zinaongeza maji na IQ
Wewe ukishakuwa mjinga unaamini kila mmoja ni mjinga kama wewe.
 
It's natural, kuna mchaga mmoja misheni town anakwambia deal ambayo haina muhaya hafanyi! Hiyo sio deal.

Muhaya darasa la saba ukikutana nae na asiseme elimu yake utajua ni graduate! Its natural tu!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Dili ambayo haina mchagga achana nayo, mwisho wa siku mtakamatwa kama ile ya akinia Tibaijuka na akina Kilaini.
 
😂😂 Asiye na kabila alikua kabila gani mkuu?

Kwako mleta mada, kuna kitu kinaitwa "first mover advantage" Binafsi nilikuja kugundua sisi watu wa singida tuna akili sana tatizo tulichelewa sana kwenda shule.
Labda ni WA Singida
 
sisi wazaramu tunawaza shuguli na vigoma akili tutazitoa wapi
 
Back
Top Bottom