February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
- Thread starter
- #21
Dah mim mkuu nmeanzisha uzi hata hiyo namba sijaiona dah....The world is not fair aiseeDaah uzi wa sigara dawa umefutwa Ila nimeambulia namba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mim mkuu nmeanzisha uzi hata hiyo namba sijaiona dah....The world is not fair aiseeDaah uzi wa sigara dawa umefutwa Ila nimeambulia namba
WamesikiaWaambie nshomile wapunguze majigambo, hatuhitaji IQ za kupandisha mabega juu bali tunahitaji mabadiliko chanya...
inye inye kasinge
Tusimung'unye mung'unye maneno.
Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo.
Ukiangalia % kubwa ya maprofesa bongo ni wahaya.
Zile ndizi zina nini?
Nadhani zile ndizi zinaongeza maji na IQ
Huyu mwamba sio mhaya yuko Tunduru hukoKIpimo cha akili ni kuyamudu vyema mazingira yako! Turudi kwenye hoja..wahaya wana akili au hawana akili?
Uzi umeuandika Saa 1 na dakika 2 na sasa ni Saa 6 Kasoro dakika 11 bado hauna hata Like Moja ( 1 ) tu ikimaanisha kuwa umetuandikia Utopolo mtupu.Tusimung'unye mung'unye maneno.
Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo.
Ukiangalia % kubwa ya maprofesa bongo ni wahaya.
Zile ndizi zina nini?
Nadhani zile ndizi zinaongeza maji na IQ
Mhaya sio Genius at all yuko kwenye intelligent category, on account of being a prestigious ethnic group,
They are empty on basics or the needed things. They lack common knowledge na ndiomana ni ngumu kuendana na wasio wahaya, wahaya ni islandic community.
Umemaliza 💯Mhaya sio Genius at all yuko kwenye intelligent category, on account of being a prestigious ethnic group,
They are empty on basics or the needed things. They lack common knowledge na ndiomana ni ngumu kuendana na wasio wahaya, wahaya ni islandic community.
Uongo. Wahaya sio wasomi wengi. Hawajazidi wachaga, then wasukuma., then wanyakyusa..wahaya wanajua kujibaraguza tu.Tusimung'unye mung'unye maneno.
Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo.
Ukiangalia % kubwa ya maprofesa bongo ni wahaya.
Zile ndizi zina nini?
Nadhani zile ndizi zinaongeza maji na IQ
Ha ha,,,enzi zetu tulikua tunasoma kitabu mada zake ;Oh mimi ni muhaya wa dar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kilugha kilikimbia