February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Hakuna kitu Kama hichoTusimung'unye mung'unye maneno.
Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo...
Hiyo dharura sasa, IQ kubwa kwao kungechoka vile, kagera ina tofauti gani Lindi?Tusimung'unye mung'unye maneno.
Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo...
Mimi sio mhaya mkuu...hata bukoba sijawahi kanyagaWahaya bado hamjaacha haya mambo mpaka leo hii😮
Ukiwa na akili ni ngumu sana kujijua unazoHakuna kitu Kama hicho
Ili kuwa na IQ kubwa au akili haina uhusiano na uhaya nk
Mimi muhaya so ni uongo
Wanaogopa wivu na kurogwaHiyo dharura sasa, IQ kubwa kwao kungechoka vile, kagera ina tofauti gani Lindi?
🤣🤣Sie darasani kwetu top ten wahaya 2, wachagga 5, mmasai 1, mnyakyusa 1, na mwanafunz asiye na kabila 1
Hakuna kitu Kama hicho
Ili kuwa na IQ kubwa au akili haina uhusiano na uhaya nk
Mimi muhaya so ni uongo
Wivu tuPunguani wahed
Eeeh,,,nyegeraa waitu!!![emoji52]Mkuu kumbe wew ndugu yangu kabisa wa karagwe
Wahaya nao wachawiana wasipate maendeleo?Wanaogopa wivu na kurogwa
Wahaya wengi wamejenga sana mikoani, Dar na kwingineko.