Wa koroni au wakoloni,shule umesomea ujinga. poor you!Naona sio IQ kubwa ni suala la accessibility ya miundombinu ya elimu na kua na uchumi mzuri pamoja na muamuko wa elimu, wa koroni walitusaidia sana pamoja na kanisa ya RC,
kutoa mwamko wa elimu, watu wa kagera wana uwezo wa kuhudumia watoto wao kielimu, mimi ni mesoma nyumbani tukiwa na shamba la kahawa, suala ada aijakua shida baba alikua nauwezo wa kukupeleka shule yoyote upendao ili mradi umefaulu
We Bwana we, shomile mpaka embwa yasheka!!Wahaya bado hamjaacha haya mambo mpaka leo hii😮
Maji dah.....umeharibu.Tusimung'unye mung'unye maneno.
Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo.
Ukiangalia % kubwa ya maprofesa bongo ni wahaya.
Zile ndizi zina nini?
Nadhani zile ndizi zinaongeza maji na IQ
Mwambie mhaya atofautishe kati ya asubuhi na hasubuhiHiyo dharura sasa, IQ kubwa kwao kungechoka vile, kagera ina tofauti gani Lindi?
Uzi umeuandika Saa 1 na dakika 2 na sasa ni Saa 6 Kasoro dakika 11 bado hauna hata Like Moja ( 1 ) tu ikimaanisha kuwa umetuandikia Utopolo mtupu.
Ha ha,,,enzi zetu tulikua tunasoma kitabu mada zake ;
-Gulio la katerero[emoji13][emoji13][emoji13](kutera)
-Kibanga ampiga mkoloni.
-Sikili Mimi masikini
@Sikilimimimasikini
-Ahadi za mwana TANU.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 Asiye na kabila alikua kabila gani mkuu?Sie darasani kwetu top ten wahaya 2, wachagga 5, mmasai 1, mnyakyusa 1, na mwanafunz asiye na kabila 1
Professor ni MWALIMU WA NGAZI YA JUU WA cHUO kIKUU.Tusimung'unye mung'unye maneno.
Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo.
Ukiangalia % kubwa ya maprofesa bongo ni wahaya.
Zile ndizi zina nini?
Nadhani zile ndizi zinaongeza maji na IQ
Nimetumia falsafa kidogo.Huyu mwamba sio mhaya yuko Tunduru huko
Wewe ukishakuwa mjinga unaamini kila mmoja ni mjinga kama wewe.Tusimung'unye mung'unye maneno.
Kama ulikuwa makini kipindi unasoma, lazima uligundua kuwa kwenye kundi la wale wanafunzi smart darasani lazima mhaya alikuwepo.
Ukiangalia % kubwa ya maprofesa bongo ni wahaya.
Zile ndizi zina nini?
Nadhani zile ndizi zinaongeza maji na IQ
Dili ambayo haina mchagga achana nayo, mwisho wa siku mtakamatwa kama ile ya akinia Tibaijuka na akina Kilaini.It's natural, kuna mchaga mmoja misheni town anakwambia deal ambayo haina muhaya hafanyi! Hiyo sio deal.
Muhaya darasa la saba ukikutana nae na asiseme elimu yake utajua ni graduate! Its natural tu!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Labda ni WA Singida😂😂 Asiye na kabila alikua kabila gani mkuu?
Kwako mleta mada, kuna kitu kinaitwa "first mover advantage" Binafsi nilikuja kugundua sisi watu wa singida tuna akili sana tatizo tulichelewa sana kwenda shule.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]muelezeHiyo dharura sasa, IQ kubwa kwao kungechoka vile, kagera ina tofauti gani Lindi?