Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
I mean sisterš¤£Hilo jina vipi kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I mean sisterš¤£Hilo jina vipi kaka
Hatari sana, but maandiko husema "Mungu ameumba jambo jipya duniani, mwanamke atamlinda mume wake" Kwa maombi) sasa kama huna mke mcha Mungu hivyo vilipuzi lazima vikupate kwa accuracy ya 100%.wanawake wamekuwa warogi sana hasa nyakati hzi..
Mlituona wapi?Mlipuliwe tuu maana hamsikii, mtu una mke kutwa kucha kuneng'eneka na michepuko. TULIENI KHAAAA š”
Basi tulieni dawa iwaingie ...! tena mlipuliwe hadi mkomeMlituona wapi?
Michepuko yenyewe si ndio ninyi pia?š
[emoji1787][emoji1787]Ndio maana mirembe idadi kubwa ni wanaume. Unalishwa limbwata na mke na michepuko. Bado kazini wakuloge na huku mizimu ya kwenu nayo inakuandama.
Hapo walioko kwenye risk ni wahongaji š¤£Yote ni sababu tu ya FEDHA
Kama una uzuri wa kawaida ni DM tufanye jambo.Eeh tulieni dawa iwaingie, mngechagua wenye uzuri wa kawaida yasingewakuta, mnachagua akina sanchoka , wacha wawanyooshe.
Hahahahahah tumeishaaaa𤣠sema namimi ngoja nitafte mnyonge wangu humu nimlipue!Hatuna muda wa kuwaombea mkuu. Ni kuwalipua tu.
𤣠Mzee unawapelekea ukuni.Ndyo maana mm sina huruma na mwanamke wakati wa Sex
Viksi lotion putululu lazima viusike hapo na tigo kwa mbali
Lakin majanga meng mnayachuma wenyewe jamani. Hivi mngetulia mngeyapata wapi haya majanga?? Hata kama ni mechi za nje chezeni mara moja moja ikiwabidi...lakin mmegeuza sheria. Mmepafanya ibada huko nje. Na mbaya zaidi mnajisifu wazi wazi. Kazi mnayo..Huu ni ukweli unaoumiza ,ila ni kukomaa tu. Japo kama Mwanaume unaweza ukawa ushakufa at age ndogo lkn ukasubiria miaka mingi kuja kuzikwa.
Hio huruma unayo waomba kaka sahau tu, tuendelee tu kuishi nao ki akili. Wanawake wana huruma kwa watoto wao tu. OVER!Muda mchache uliopita nimesikia mambo ambayo yamenistaajabisha sana. Nilienda salun kwa ajili ya kunyoa, kwavile palikuwa na foleni, nikawa nimekaa kwenye benchi nje, nachezea simu huku nasubiria zamu yangu ifike. Pale pembeni palikuwa na salun ya kike, yaliyokuwa yanazungumzwa humo ndio yaliniacha mdomo wazi.
Walikuwa wanapiga story za waganga na kuelekezana dawa.
Maongezi yao sasa "Shoga wala sio ngumu, ww unajifukiza dawa huku unanuiza tu, tena hakikisha unapata mlipu, huo mlipu ndio kiboko, unamlipua mlengwa wako popote alipo,chochote utakachoomba, lazima akutimizie"
Walitaja na dawa zingine kama 3 au 4 hivi, ambazo sikuzisikia vizuri.
Kiuhalisia, wanaume wengi hatuna Kinga yoyote, kwa Mungu hatupo, kwa waganga hatupo, hizi dawa kama zinafanyakazi kweli siwatatupa ukichaa? Imagine mabinti watatu kila mmoja aamue kukulipua??
Dah, kumbe ndio wamedhamiria kiasi hiki??
Mke hafanyi haya, shida ni hawa tunaokutana nao barabarani,michepukoDawa ni kuwakataa tu,tafuta mke asiyekuwa na mambo mengi form four au six owa muhimu msikilizane ndani ya nyumba.
Mke anayekusikiliza hawezi kukuendea kwa waganga kutafuta namna ya kula vyako zaidi atakuwa anakushauri cha kufanya maisha yenu na watoto yasogee hata akidokoa ni kwa ajili ya watoto siyo vinginevyo.
Tunatulia, ila dawa zenu ndio hazitutulizi. Zinazidi kutupeperusha, mnatulipua š šLakin majanga meng mnayachuma wenyewe jamani. Hivi mngetulia mngeyapata wapi haya majanga?? Hata kama ni mechi za nje chezeni mara moja moja ikiwabidi...lakin mmegeuza sheria. Mmepafanya ibada huko nje. Na mbaya zaidi mnajisifu wazi wazi. Kazi mnayo..