Ifike kipindi mabinti na wamama mpunguze ubinafsi, tumewachoka

Ifike kipindi mabinti na wamama mpunguze ubinafsi, tumewachoka

Inawezekana upo sawa ila Kutokana maandiko yanasema

"Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini." 1 Tim 5:8

Rejea "Lakini mtu YEYOTE" Hapo haijasema mwanaume atunze walio wake, hata mwanamke pia anahusika.
Bado hujui kutafsiri.

Haiwezekani maneno mtu yeyote yawe na nguvu kushinda neno mwanaume.

Mstari uliomtaja mwanaume ndiyo wenye nguvu kwa sababu upo specific.

Mtu yeyote ni general term!
 
Mwanamke Hajaumbiwa Shida Kwanini Ateseke Nikiwa Around Acha Watoto Wazuri Wapumzike.
Sasa ukisema hivyo ndio wanazidi kupata shida, single mother wamejaa mtaani, wanalea watoto pekee yao.

kwani hizo sio shida?

Na ukiangalia mavurugano moja wapo ya uhusiano kuvunjika ni pamoja na huo ubinafsi, ila kama wangekua na tabia ya kusaidiana na wenza wao, tena wanaume ndo wanapenda wanawake wa dizain hiyo wanawaita wife material 😃
 
Bado hujui kutafsiri.

Haiwezekani maneno mtu yeyote yawe na nguvu kushinda neno mwanaume.

Mstari uliomtaja mwanaume ndiyo wenye nguvu kwa sababu upo specific.

Mtu yeyote ni general term!
Sawa inawezekana nikawa sijui kutafsiri maandiko, labda utusaidie ni sehem gani hapo wameandika wanaume?
 
Sio malalamiko (ni kero), inakera tuu. Na ndio maana wadada pia wa kisasa urafiki wa wiki moja, mara njaa, mara kuna msiba, mara kusuka, mara anaumwa dawa.

Hii inaanzia pale tuu ubinafsi na utegemez, sio kwamba hawawez kupata hela zao kam wengine. Ila ubinafsi tuu kwamb kila kitu kiwe chake ndo kinasumbua kwa kweli
Hivi wadada wa zamanii walikuwa hawaombi???
Au Kwa sababu ya utandawazi...matumizi siku hizi yameongezeka?
 
Ila Haya Mambo Hayana Formula Mkuu.

Pale Unaona Unaweza Kuwasaidia Bila Kujali Msaada Wao Saidia Pita Hivi.
Sasa ukisema hivyo ndio wanazidi kupata shida, single mother wamejaa mtaani, wanalea watoto pekee yao.

kwani hizo sio shida?

Na ukiangalia mavurugano moja wapo ya uhusiano kuvunjika ni pamoja na huo ubinafsi, ila kama wangekua na tabia ya kusaidiana na wenza wao, tena wanaume ndo wanapenda wanawake wa dizain hiyo wanawaita wife material [emoji2]
 
Wanawake ni matapeli, tuzae nao kwa mikataba, azae alipwe apite kushoto.

Kukaa ndani na mwanamke kwasasa ni mateso tu, hakuna faida ya moja kwa moja inayoonekana kwa macho.

Kila anachokifanya mwanamke ndani ya ndoa kwa sasa unaweza kukipata bila ndoa na hutapata usumbufu wowote.
Ronaldo kawasainisha kabisa..zaa sepa zako...na hakuna kutangaza kuwa huyu ni mwanao..
 
Ronaldo kawasainisha kabisa..zaa sepa zako...na hakuna kutangaza kuwa huyu ni mwanao..
Wenzetu wameshafikia mbali kwenye swala la maamuzi sisi tuu ndo tunazengua.

Japo tunaendelea kuumia ila tunaendelea tuu na uoga wa maisha, tunajisahaurisha kuwa maisha yamebadilika inabidi na sisi tubadilike pia.
 
Back
Top Bottom