Mbogo_beichee
JF-Expert Member
- Mar 31, 2021
- 224
- 608
- Thread starter
- #41
Umenena hapo.. na ni kujiendekeza tuuWanwake ni kundi maalumu kama walemavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena hapo.. na ni kujiendekeza tuuWanwake ni kundi maalumu kama walemavu
😃 😃 😃 😃 mie team nyeto mzee, memba kindakindaki kabisa wa UWABATAAhhahahahahaa ila hata hao unaowaweka ndani bila kuwaoa si bado wanakua wabinafsi?
Bado hujui kutafsiri.Inawezekana upo sawa ila Kutokana maandiko yanasema
"Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini." 1 Tim 5:8
Rejea "Lakini mtu YEYOTE" Hapo haijasema mwanaume atunze walio wake, hata mwanamke pia anahusika.
Sasa ukisema hivyo ndio wanazidi kupata shida, single mother wamejaa mtaani, wanalea watoto pekee yao.Mwanamke Hajaumbiwa Shida Kwanini Ateseke Nikiwa Around Acha Watoto Wazuri Wapumzike.
Sawa inawezekana nikawa sijui kutafsiri maandiko, labda utusaidie ni sehem gani hapo wameandika wanaume?Bado hujui kutafsiri.
Haiwezekani maneno mtu yeyote yawe na nguvu kushinda neno mwanaume.
Mstari uliomtaja mwanaume ndiyo wenye nguvu kwa sababu upo specific.
Mtu yeyote ni general term!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanatamani wawe na kaka kama Hakimi lakini hawataki wawe na mume kama Hakimi.
Hivi wadada wa zamanii walikuwa hawaombi???Sio malalamiko (ni kero), inakera tuu. Na ndio maana wadada pia wa kisasa urafiki wa wiki moja, mara njaa, mara kuna msiba, mara kusuka, mara anaumwa dawa.
Hii inaanzia pale tuu ubinafsi na utegemez, sio kwamba hawawez kupata hela zao kam wengine. Ila ubinafsi tuu kwamb kila kitu kiwe chake ndo kinasumbua kwa kweli
Sasa ukisema hivyo ndio wanazidi kupata shida, single mother wamejaa mtaani, wanalea watoto pekee yao.
kwani hizo sio shida?
Na ukiangalia mavurugano moja wapo ya uhusiano kuvunjika ni pamoja na huo ubinafsi, ila kama wangekua na tabia ya kusaidiana na wenza wao, tena wanaume ndo wanapenda wanawake wa dizain hiyo wanawaita wife material [emoji2]
Uzi ufungwe tu, wale tunaokwichi basi tukwichi tulale.....Ukiandika uzi wa lawama kama huu unatakiwa uzi uwe mfupi manake hata sisi tumewachoka
Ronaldo kawasainisha kabisa..zaa sepa zako...na hakuna kutangaza kuwa huyu ni mwanao..Wanawake ni matapeli, tuzae nao kwa mikataba, azae alipwe apite kushoto.
Kukaa ndani na mwanamke kwasasa ni mateso tu, hakuna faida ya moja kwa moja inayoonekana kwa macho.
Kila anachokifanya mwanamke ndani ya ndoa kwa sasa unaweza kukipata bila ndoa na hutapata usumbufu wowote.
Mmh. Kwa tafsiri hiyo inawezekana iko sawa.Imeandikwa mwanamke atazaa kwa uchungu ,mwanaume atakula kwa jasho.
Mwanamke kazi yake ni kukaa tu nyumbani kumstarehesha mume wake .
🤣🤣🤣🤣🤣Uzi ufungwe tu, wale tunaokwichi basi tukwichi tulale.....
Ni changamoto yaani.Hii THread ukiisoma kwa umakini unaweza ogopa kukaa na hawa mbwa
Wenzetu wameshafikia mbali kwenye swala la maamuzi sisi tuu ndo tunazengua.Ronaldo kawasainisha kabisa..zaa sepa zako...na hakuna kutangaza kuwa huyu ni mwanao..
Rengo ni usaidizi kama yeye namsaidia kwanini na yeye asinisaidie.Ila Haya Mambo Hayana Formula Mkuu.
Pale Unaona Unaweza Kuwasaidia Bila Kujali Msaada Wao Saidia Pita Hivi.