Ifike kipindi mabinti na wamama mpunguze ubinafsi, tumewachoka

Ifike kipindi mabinti na wamama mpunguze ubinafsi, tumewachoka

Poleni na majukum watanzania wenzangu, Natumai wote tuko poa na tunaendelea kulisukuma hili gurudum la maisha ya kila siku.

Leo nimeona niwape makavu yao baadhi ya mabinti na wamama ambao wana tabia za kibinafsi tena ubinafsi wa maisha.

Yaani unakuta Mtu mwenye jinsia ya kike, akizaliwa analelewa na Baba na Mama yake, akikuwa anakuja kulelewa na Mume wake, akitoka hapo anakuja kulelewa na watoto wake. Heh!! Ni lini basi mtawasaidia hao wanaowalea? ni lini mtaanza kuona na nyinyi pia mna mchango kwenye huu utafutaji wa maisha? Nyie sio viumbe fulani maalum kwamba maisha yenu hayahusiani na maisha ya wengine.

Muda huu taongelea wale wamama au mabinti walioolewa, Unakuta Mmama yupo nyumbani kaolewa kila kitu analetewa na mumewe, hilo linaweza likawa sio tatizo sana ila sasa tuje pale ambapo mumewe kaona sasa badala ya kuangaika pekee yake anaona labda amfungulie biashara huyo mke wake, kero ndio inakuja hapo. Mwanamke anaanza kuona kama hizo biashara alitafuta mwenyew na mtu yoyote hatakiwa kutumia hela yake inayotoka kwenye hiyo biashara. Ukimwambia changia matumizi ya nyumbani, utaona anaanza kusema mume si yupo atalipia kila kitu cha nyumbani.

Yaani kwenye manyumba ya siku hizi Baba anatoa kuanzia Ada za watoto Shule, mpaka hela ndogo ndogo kama za ushuru wa taka (3000), unakuta mwanamke kafunguliwa biashara anaingiza zaidi ya 300k kwa siku ila 3000 ya ushuru wa taka anataka bado mume atoe, mshahara wa mfanya kazi wa ndani 50k tuu bado mume ndo atoe, Mume katoa Ada ila mtoto akiwa kapungukiwa Viatu utasikia “Kamwambie Baba yako” mnakera bana.

Kuna Familia naifaham yaani wakati mume yupo vizuri alikuwa akipata hela anahudumia familia na mke wake anamfungulia maduka, ila sasa mambo ya mwanaume sio mazuri sana, kinachokuja kushangaza ni kuwa mwanaume anaweza kufeli 2m akaanza kuangaika kuazima kwa ndugu zake wakati muda huo huo mke wake anasafiri kwenda maulaya kununua mizigo ya dukani. Sasa swali la kujiuliza yale maduka yalifunguliwa kwa ajili ya nani haswa ni kwa hiyo Familia yote Baba mama na watoto ama huyo mwanamke pekee yake? Em achane hizi tabia wanawake wa leo, mkimuangalia Mwanaume mmuone kama ni Mtu ambae unaeenda kufanya nae maisha, sio daraja la kuvuka kwako kimaisha.

Halafu kuna hawa wengine ndio balaa zaidi, muda wote anataka aonekane mwema kwa watoto, mtoto akifanya kosa kila saa utasikia tamwambia baba yako, halafu mfano mtoto akiwa na Uhitaji wa kitu fulani cha hela, ataenda kwa mumewe apewe hela yeye halafu ndio akampe huyo mtoto, rengo amkalilishe mtoto kuwa Baba ni mkatiri sana na yeye ni mtu mpole na mwenye upendo mwingi, mtoto akihitaji hela au kitu chochote atampa ila Baba ni pale mtoto anapokosea tuu ndo atamuona rangi yake, basi na hizo hela pia muwe mnawaambia kamwambieni Baba yenu ili waje wachukue mikononi mwa Baba zao.

Yapo mambo mengi sana ambayo wanawake au mabinti wa sasa wanafanya kibinafsi sana, kwa leo niishie hapo ila rengo wajifunze basi, wawe wasaidizi wa kwenye familia kama inavopaswa kuwa, sio kumuona mwanamme ndio njia ya kutoboa kimaisha.

POVU LINARUHUSIWA.
Nyie hao wanawake wa ajabu huwa mnawatoa wapi?
 
Poleni na majukum watanzania wenzangu, Natumai wote tuko poa na tunaendelea kulisukuma hili gurudum la maisha ya kila siku.

Leo nimeona niwape makavu yao baadhi ya mabinti na wamama ambao wana tabia za kibinafsi tena ubinafsi wa maisha.

Yaani unakuta Mtu mwenye jinsia ya kike, akizaliwa analelewa na Baba na Mama yake, akikuwa anakuja kulelewa na Mume wake, akitoka hapo anakuja kulelewa na watoto wake. Heh!! Ni lini basi mtawasaidia hao wanaowalea? ni lini mtaanza kuona na nyinyi pia mna mchango kwenye huu utafutaji wa maisha? Nyie sio viumbe fulani maalum kwamba maisha yenu hayahusiani na maisha ya wengine.

Muda huu taongelea wale wamama au mabinti walioolewa, Unakuta Mmama yupo nyumbani kaolewa kila kitu analetewa na mumewe, hilo linaweza likawa sio tatizo sana ila sasa tuje pale ambapo mumewe kaona sasa badala ya kuangaika pekee yake anaona labda amfungulie biashara huyo mke wake, kero ndio inakuja hapo. Mwanamke anaanza kuona kama hizo biashara alitafuta mwenyew na mtu yoyote hatakiwa kutumia hela yake inayotoka kwenye hiyo biashara. Ukimwambia changia matumizi ya nyumbani, utaona anaanza kusema mume si yupo atalipia kila kitu cha nyumbani.

Yaani kwenye manyumba ya siku hizi Baba anatoa kuanzia Ada za watoto Shule, mpaka hela ndogo ndogo kama za ushuru wa taka (3000), unakuta mwanamke kafunguliwa biashara anaingiza zaidi ya 300k kwa siku ila 3000 ya ushuru wa taka anataka bado mume atoe, mshahara wa mfanya kazi wa ndani 50k tuu bado mume ndo atoe, Mume katoa Ada ila mtoto akiwa kapungukiwa Viatu utasikia “Kamwambie Baba yako” mnakera bana.

Kuna Familia naifaham yaani wakati mume yupo vizuri alikuwa akipata hela anahudumia familia na mke wake anamfungulia maduka, ila sasa mambo ya mwanaume sio mazuri sana, kinachokuja kushangaza ni kuwa mwanaume anaweza kufeli 2m akaanza kuangaika kuazima kwa ndugu zake wakati muda huo huo mke wake anasafiri kwenda maulaya kununua mizigo ya dukani. Sasa swali la kujiuliza yale maduka yalifunguliwa kwa ajili ya nani haswa ni kwa hiyo Familia yote Baba mama na watoto ama huyo mwanamke pekee yake? Em achane hizi tabia wanawake wa leo, mkimuangalia Mwanaume mmuone kama ni Mtu ambae unaeenda kufanya nae maisha, sio daraja la kuvuka kwako kimaisha.

Halafu kuna hawa wengine ndio balaa zaidi, muda wote anataka aonekane mwema kwa watoto, mtoto akifanya kosa kila saa utasikia tamwambia baba yako, halafu mfano mtoto akiwa na Uhitaji wa kitu fulani cha hela, ataenda kwa mumewe apewe hela yeye halafu ndio akampe huyo mtoto, rengo amkalilishe mtoto kuwa Baba ni mkatiri sana na yeye ni mtu mpole na mwenye upendo mwingi, mtoto akihitaji hela au kitu chochote atampa ila Baba ni pale mtoto anapokosea tuu ndo atamuona rangi yake, basi na hizo hela pia muwe mnawaambia kamwambieni Baba yenu ili waje wachukue mikononi mwa Baba zao.

Yapo mambo mengi sana ambayo wanawake au mabinti wa sasa wanafanya kibinafsi sana, kwa leo niishie hapo ila rengo wajifunze basi, wawe wasaidizi wa kwenye familia kama inavopaswa kuwa, sio kumuona mwanamme ndio njia ya kutoboa kimaisha.

POVU LINARUHUSIWA.
Brother!! Mwanamke mjinga, mbinafsi HASTAHILI kula pesa yako. Thamani ya mwanaume inakuja condition, hatupendwi BURE, hakikisha unapata RETURN kwa yule anayekula pesa yako.

Mwanaume naive, mjinga wa HISIA ni mtaji wa wanawake wahuni, wabinafsi.

Mwanaume peke yake ndie akufundishe how to be a man, ukimskiza mwanamke kukufundisha hilo [ Shwaaaaa ] hawezi kusaliti Sisterhood yao. Kunguru atamfundisha panzi kuwa kiumbe bora???.

Umetengenezwa mfumo hybrid, ambao umechukua zile codes zinazo wapatia faida wanawake , lakin wanazikataa zile zinazo wataka uwajibikaji.
1.Wanataka kuhudumiwa, lakin kutawalika hawataki, wataimba haki sawa.
2. Wewe ndio baba wa mtoto unatoa huduma na everything, mkizinguana anasema watoto wake anakimbia nao😁.
3. Watakupa mifano mingi kuwa wanaume wa zamani walikuwa hivi na vile [ Kama aliwahi kudate na wanaume wa zamani vile ], lakin hawajioni kuwa hawako sawa kama wanawake wa zamani.
4. Wanaume wote mbwa, Ukimuuliza Nyororo ya baba yako ipo wapi, ugomvi.😁
5. Wanawake wanachagua lini washike mimba, harafu kisha wanakuona wewe ndio uwe responsible, bila kukushirikisha kuhusu kuleta kiumbe.

Kama ilivyo kwa mwanamke, MUNGU kampa uzuri kama baraka na ata tawala kwa nguvu ya uzuri nani atamfaidisha. Wewe mwanaume umepewa Pesa kama baraka, So kuwa na machaguzi nani ale pesa yako, Uzur ukiisha mwanamke anaachwa ,Pesa zikiisha Mwanaume huna thamani.
Heshim pesa yako,acheni kulialia.
IMG_20250125_215208.jpg
 
Labda nianzie mbali kidogo.

Mwanamke akiwa na mwanae wa kiume hata wa miaka mitatu tu ana imani kwamba ana ulinzi wa kutosha pale alipo.

Biblia inamuagiza mwanaume ampende mwanamke.

Sheria za ndoa zinamuagiza mwanaume kumuhudumia mwanamke.

Style Takatifu ya kufanya mapenzi mwanaume anakaa juu ya mwanamke na mwanaume**ndiye anatoa uume kumuingizia **mwanamke.

Mwanaume atatoa mbegu zake anamuwekea mwanamke na kuwezesha mimba kutungwa.

Hivyo mwanaume* kiasili ni mtu wa kutoa na **mwanamke asili yake ni kupokea.

Hiyo ndiyo kanuni. Kama unabisha utateseka sana!
Hongera kwa kutuliza kichwa na kuleta mawazo fikirishi.
 
Poleni na majukum watanzania wenzangu, Natumai wote tuko poa na tunaendelea kulisukuma hili gurudum la maisha ya kila siku.

Leo nimeona niwape makavu yao baadhi ya mabinti na wamama ambao wana tabia za kibinafsi tena ubinafsi wa maisha.

Yaani unakuta Mtu mwenye jinsia ya kike, akizaliwa analelewa na Baba na Mama yake, akikuwa anakuja kulelewa na Mume wake, akitoka hapo anakuja kulelewa na watoto wake. Heh!! Ni lini basi mtawasaidia hao wanaowalea? ni lini mtaanza kuona na nyinyi pia mna mchango kwenye huu utafutaji wa maisha? Nyie sio viumbe fulani maalum kwamba maisha yenu hayahusiani na maisha ya wengine.

Muda huu taongelea wale wamama au mabinti walioolewa, Unakuta Mmama yupo nyumbani kaolewa kila kitu analetewa na mumewe, hilo linaweza likawa sio tatizo sana ila sasa tuje pale ambapo mumewe kaona sasa badala ya kuangaika pekee yake anaona labda amfungulie biashara huyo mke wake, kero ndio inakuja hapo. Mwanamke anaanza kuona kama hizo biashara alitafuta mwenyew na mtu yoyote hatakiwa kutumia hela yake inayotoka kwenye hiyo biashara. Ukimwambia changia matumizi ya nyumbani, utaona anaanza kusema mume si yupo atalipia kila kitu cha nyumbani.

Yaani kwenye manyumba ya siku hizi Baba anatoa kuanzia Ada za watoto Shule, mpaka hela ndogo ndogo kama za ushuru wa taka (3000), unakuta mwanamke kafunguliwa biashara anaingiza zaidi ya 300k kwa siku ila 3000 ya ushuru wa taka anataka bado mume atoe, mshahara wa mfanya kazi wa ndani 50k tuu bado mume ndo atoe, Mume katoa Ada ila mtoto akiwa kapungukiwa Viatu utasikia “Kamwambie Baba yako” mnakera bana.

Kuna Familia naifaham yaani wakati mume yupo vizuri alikuwa akipata hela anahudumia familia na mke wake anamfungulia maduka, ila sasa mambo ya mwanaume sio mazuri sana, kinachokuja kushangaza ni kuwa mwanaume anaweza kufeli 2m akaanza kuangaika kuazima kwa ndugu zake wakati muda huo huo mke wake anasafiri kwenda maulaya kununua mizigo ya dukani. Sasa swali la kujiuliza yale maduka yalifunguliwa kwa ajili ya nani haswa ni kwa hiyo Familia yote Baba mama na watoto ama huyo mwanamke pekee yake? Em achane hizi tabia wanawake wa leo, mkimuangalia Mwanaume mmuone kama ni Mtu ambae unaeenda kufanya nae maisha, sio daraja la kuvuka kwako kimaisha.

Halafu kuna hawa wengine ndio balaa zaidi, muda wote anataka aonekane mwema kwa watoto, mtoto akifanya kosa kila saa utasikia tamwambia baba yako, halafu mfano mtoto akiwa na Uhitaji wa kitu fulani cha hela, ataenda kwa mumewe apewe hela yeye halafu ndio akampe huyo mtoto, rengo amkalilishe mtoto kuwa Baba ni mkatiri sana na yeye ni mtu mpole na mwenye upendo mwingi, mtoto akihitaji hela au kitu chochote atampa ila Baba ni pale mtoto anapokosea tuu ndo atamuona rangi yake, basi na hizo hela pia muwe mnawaambia kamwambieni Baba yenu ili waje wachukue mikononi mwa Baba zao.

Yapo mambo mengi sana ambayo wanawake au mabinti wa sasa wanafanya kibinafsi sana, kwa leo niishie hapo ila rengo wajifunze basi, wawe wasaidizi wa kwenye familia kama inavopaswa kuwa, sio kumuona mwanamme ndio njia ya kutoboa kimaisha.

POVU LINARUHUSIWA.
PESA ZAO SIKU HIZI WANAHONGA ILI WASUGULIWE PANDE ZOTE.UTAPIGA KELELE HADI UFE HAWASIKII
 
Back
Top Bottom