Ifike kipindi mabinti na wamama mpunguze ubinafsi, tumewachoka

💪💪💪
 
Z generation hakuna wanaume kamili.

Waliopo hawajielewi kabisa.

Wanaume rijali wanaojielewa wanatoweka kwa kasi kubwa!

Full kulalama!
Sio kulalamika ni kero hiyo soma vizuri uzi.

Kama unaona wanaume wenye hela wako sawa kutoa tuu bila kurudishiwa fadhila basi tunaweza kusema pia ni halali single mother kuongezeka maana Mkomoa hukomolewa
 
Wanaume wa Sasa, wanakwepa sana majukumu, ndo maana hata wanaona Kama Wanawake Wana take cover. Baba simama kama baba. Timiza majukumu yako. Ukiamua kusema mke naye achange, ndo mwanzo wa kugawa madaraka, jambo ambalo hamlipendi. Tumika ktk majukum yako baba....
Na Kusema watoto wataegemea kwa mama, inategemeana na wewe mwenyewe, wafanyie watoto kwa vitendo, Wana akili, na wanaona.... Hawawezi kulishwa maneno na mama Yao, iwapo baba anasimama ktk zamu yake...
 
Soma uzi
Majukumu yapi ni ya mwanaume?

Vipi kuhusu majukumu ya mwanamke yeye hana kabisa ama?

Ukisoma uzi vizuri nimesema wanaume wanaghalamia kila kitu ila akimfungulia biashara mke wake, mke ndio hachangii, sasa hapo mwanaume anakwepa majukumu gani kusaidiwa?

Madaraka gani ya kugawana, kwani wanaposema mwanamke nimsaidizi unaelewa nini hasa?
 
Jomba kama hujataka kuwa Mwanaume, usiwe Baba wa familia, Haijawahi kuwa lelemama. Iko hivi


Mwanaume Timiza Majukumu yako ipasavyo na itakiwavyo, usitake kuonewa huruma ama kupongezwa. Timiza Wajib wako
 
Jomba kama hujataka kuwa Mwanaume, usiwe Baba wa familia, Haijawahi kuwa lelemama. Iko hivi


Mwanaume Timiza Majukumu yako ipasavyo na itakiwavyo, usitake kuonewa huruma ama kupongezwa. Timiza Wajib wako
Soma uzi vizuri,

Hamna jukumu ambalo halitimizwi, ubinafsi ndio unaokera

Kama mimi nampa hela anafungua biashara anashindwaje kutoa hela ya Taka 3000, anasubiri mpaka mimi nitoe?

Labda wew utaje majukumu ya mwanamke kwanza tuyajue
 
Uliambiwa usioe ukaoa,ukaambiwa manzi hasomeshwi ukasomesha,ukaambiwa manzi hafunguliwi biashara ukamfungulia,ghafla unastuka manzi kashakukalia kichwani unaanza kulia lia.Nani aliyekutuma?
Basi huo ndio ubinafsi ninao ongelea kwenye uzi ukiwa na rengo la kuwarekebisha hawa viumbe,

Wakiolewa waolewe basi, wakisomeshwa waelimike sasa, na wakifunguliwa mianya ya kupata hela kama biashara kazi n.k wakumbuke fadhila.

Kama Wazazi wao waliwasomesha na wakawarudishia fadhila inashindikana vipi kwa mtu ambae sio mzazi wake (Mume wake) huo ndio unaitwa ubinafsi boss.

Em chukulia mdada yupo tayari kurudisha fadhila (kwichi kwichi) kwa boss wake akipata kazi, kwanin hua inakua ngumu kwa mume wake kabisa

Huoni tatizo hapo la ubinafsi boss?
 
Yote hiyo sababu huna cha kufanya kazi kufatilia maisha ya watu..!!! Ww balance shobo uone km utaandika nyuzi ndefu km msafara wa siafu
Kwamba wale mababa wasiohudumiwa na watoto zao sababu ya sumu za wake zao ni shobo zao?

#YNWA
 
Tutatoa ila na nyinyi mkishapata changieni kununua vitu vidogo vidogo vya nyumbani sio kila hela inaenda huko mnakopeleka (sijui mnapelekaga ata wap)
Yani acha tuu mtuombeee...mm sijui hela nayopewaga inashaje jamani...dah wanawake na hela sijui kuna shida gani..hatuna bajet yani tunanunua vitu hata hatukupangilia...mtusamehe kwakweli...
 
Yani acha tuu mtuombeee...mm sijui hela nayopewaga inashaje jamani...dah wanawake na hela sijui kuna shida gani..hatuna bajet yani tunanunua vitu hata hatukupangilia...mtusamehe kwakweli...
Hee kumbe hata hela haijulikan inaenda wapi. Duuu simchezo. Me nikajua mnapeleka kwa wazaz wenu uko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…