Ifike mahala Watanzania tuache kusomea ualimu, supply imekuwa kubwa mno kuliko demand

Una uhakika demand ni ndogo kuliko supply????...uliza walimu ujibiwe watu wapo na masomo wasiyosomea kufundisha
Tunaposema demand ni ndogo, tunamaanisha uwezo wa soko kuwafyonza walimu wanaozalishwa vyuoni ni dogo kuliko idadi ya walimu wanaozalishwa, kwenye sekta ya ualimu imefikia critical level.
 
VETA sio ufundi tu, tunazungumzia skills za aina mbali mbali, mfano BAKERY, ni SKILL, ila sio UFUNDI.
 
Wazo zuri sana, mtu akifeli awe na back up skills za kusonga mbele.
 
Ni kweli, Lakini kwa standard za kimataifa walimu bado hawatoshi kabisa. Ni kama madaktari tu, Tanzania ipo chini sana kwenye uwiano wa daktari kwa mgonjwa lakini bado madaktari wanakosa kazi.
Hakuna fani yenye uhaba wa watendaji hapa duniani, bali kuna uhaba wa pesa za kuajiri hao watendaji. Hivyo tunaposema supply imezidi demand, ni kwamba supply imezidi uwezo wa kuajiri.
 
Kule tunafata boom
 
VETA sio ufundi tu, tunazungumzia skills za aina mbali mbali, mfano BAKERY, ni SKILL, ila sio UFUNDI.
Kama unatolewa na VETA basi ni ufundi, kazi ya veta ni kusambaza ufund hata upishi ni ufundi, kusuka nywele ni ufundi, kinyozi ni fundi.
Usikariri kuwa fundi kazima abebe nyundo, bisibisi, koleo nk.
Kupika mkate ni ufundi.
Skill maana yake ni ujuzi.
 
Kama unatolewa na VETA basi ni ufundi, kazi ya veta ni kusambaza ufund hata upishi ni ufundi, kusuka nywele ni ufundi, kinyozi ni fundi.
Usikariri kuwa fundi kazima abebe nyundo, bisibisi, koleo nk.
Kupika mkate ni ufundi.
Skill maana yake ni ujuzi.
Mi naita SKILL, itoshe kusema hivyo, we ita UFUNDI. Kazi iendelee.
 
VETA sio ufundi tu, tunazungumzia skills za aina mbali mbali, mfano BAKERY, ni SKILL, ila sio UFUNDI.
Nimeiggogo jf maana ya fundi.
Ufundi nu ujuzi hasa wa kazi za mikono. Usichanganye ukafikiri skill ni neno la kipekee.
Skill linatumika mahala pengi sana.

 
Napingana na wewe kwa data. Mfano uhitaji wa walimu shule za msi ngi kwa wilaya ya mpwapwa ni wastani wa walimu 2200 ilihali walimu waliopo ni 1300 hv kwa hiyo kuna upungufu wa walimu 900

Shule za awali zinauhitaji wa wastani wa walimu 240 hv lakini Cha kuchekesha wilaya nzima haina mwalimu aliyeajiriwa ili afundishe elimu awali tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa hiyo wilaya moja tuu ina uhaba wa walimu wa msingi na awali 1140 hv .. je Tanzania nzima????

Tatizo lililopo ni kwamba serikali ya ccm inaona kuwekeza kwenye ajira za walimu ni dhambi ya mauti....

Aiseee kazi iendeleee,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi naita SKILL, itoshe kusema hivyo, we ita UFUNDI. Kazi iendelee.
Haya ila usije kuropoka mbele ya wasomi utaonekana kilaza.
Inawezekana wewe ni mmoja wa wale wanaolalamikia kutoimudu vizuri lugha ya kingereza, inaonesga hauimudu english vizuri. Ufindi ni kiswahili,skill ni kingereza, huwezi linganisha mneno hayo kimaana.
 
Acha ubishi wa kijinga.
 
Nimeiggogo jf maana ya fundi.
Ufundi nu ujuzi hasa wa kazi za mikono. Usichanganye ukafikiri skill ni neno la kipekee.
Skill linatumika mahala pengi sana.

View attachment 1972400
Lugha ni maelewano, naamini naeleweka zaidi kwa hadhira yangu nikitofautisha ufundi na ‘SKILL’, hadhira yangu inachukulia Fundi kama mtu anaerekebisha kilichoharibika au kuunda kitu kipya, hata kama si sahihi, ila huo ndio uelewa wao. Kwa upande mwingine, ‘SKILL’ inachukuliwa kama taaluma yeyote including ‘UFUNDI’. Naomba sana itoshe kusema hivyo.
 
Umepaisha mpira ndugu. Tunaposema uhaba wa ajira tunamaanisha uhaba wa pesa za kuajiri taaluma husika, na sio uhaba wa wataalam wa kada husika.
 
Post yangu na.54 itakufaa pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…