Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh kumbe ni kijitu kizima!!! Ujeba tu ule eeh[emoji3]32 ni mtoto au unahadaishwa na ule ukavu kama kuti la mnazi?
Kabisa mtoto kajaaliwa yuleSema kabarikiwa uzuri
Ana Akili za Maisha na uzuri wa umbo na sura
Hicho tu anatukosha wanaume wote wa Tz.
Kazaliwa 93Acha uongo ana miaka 23 tu
Huyo kakaake wa kwanza ukiacha marehemu OMARY ndo kwanza ana 34 now
ZUCHU kazariwa mwaka 2000
Hao wabishi achana nao
Aise miziki ya sahv [emoji1]Eeeh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
Nasame mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Maftaaa taa mafta taa mafta taaa
Yamemwagika yamemwagika yamemwagikaaa
Mpaka chini mpaka chini mpaka chiniii
Yamemwagika, yamemwagika, yamemwagika [emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
Na mziki wa sasa we imba ujingujingMfanyabiashara mzuri ni yule anayengalia soko linataka nini
Zuchu anacheza na kile fans wanataka.
Muziki biashara mkuu
Wa vibuno anavyomkatia Dee?? 🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁Sema fundii sana yule anafanya ubunifu sana
😁🤣😂😂Aise miziki ya sahv [emoji1]
Ukisoma verse unacheka tu
Ova
Anafaidi sanaWa vibuno anavyomkatia Dee?? 🤣🤣
Wazanzibar ndo vitu wanapenda yakhee 🤣Anafaidi sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hii kubwa kuliko dada angu.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]32 ni mtoto au unahadaishwa na ule ukavu kama kuti la mnazi?
Umesema vyemaNa mziki wa sasa we imba ujingujing
Soko ndiyo linapenda
Ova
Hizi nyimbo za kitoto ndio zilimtoa Mr Nice na nyimbo zake za KUKU KAPANDA BAISKELI kama unakumbuka vizuri,ache bint apige hela atiZuchu tumekuchoka mara sukari, mara honey,mara kwikwi sasa katuletea Chapati [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kiukweli Zuchu anapuyanga na naanza kuamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu.
Kinachombeba Zuchu ni ile kuwa karibu na Simba la Masimba Dangote kwa hiyo inakuwa rahisi ngoma zake kupenya kirahisi.
Kifupi Zuchu aache kuimba nyimbo zenye utoto utoto kinyume na hapo asahau kuwa msanii mkubwa wa kimataifa.
Acha ubishi huyo demu amesoma na mdogo wangu LORD BURDEN shule ya Canal Kipingu darasa moja namjua vizuri na mdogo wangu ni around 34 now..Ukiprove zuchu ana30 kuna ten ya vocha.
🤣🤣😂Wazanzibar ndo vitu wanapenda yakhee 🤣
Naunga mkono hojaHizi nyimbo za kitoto ndio zilimtoa Mr Nice na nyimbo zake za KUKU KAPANDA BAISKELI kama unakumbuka vizuri,ache bint apige hela ati
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Watu hawataki kuitwa age go....[emoji23]Hao wabishi achana nao
Huyo da zuu mkubwa wako age sawa na hani wake Simba la masimba dangote [emoji1787][emoji1787]