Honey honey!!! Very interesting. Ukiwakuta watoto wanaimba huo wimbo na kuucheza, unaweza ukafikiri wanaelewa maana yake. 😁Zuchu tumekuchoka mara sukari, mara honey,mara kwikwi sasa katuletea Chapati 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kiukweli Zuchu anapuyanga na naanza kuamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu.
Kinachombeba Zuchu ni ile kuwa karibu na Simba la Masimba Dangote kwa hiyo inakuwa rahisi ngoma zake kupenya kirahisi.
Kifupi Zuchu aache kuimba nyimbo zenye utoto utoto kinyume na hapo asahau kuwa msanii mkubwa wa kimataifa.
Hivi kwenye maisha yako halisi huwa Unakuwa serious kweliii 😁😁Watu hawataki kuitwa age go....[emoji23]
Kiukweli hua sipo serious, wanaonizunguka wanacheka sana, nisipokuwepo hupoozaHivi kwenye maisha yako halisi huwa Unakuwa serious kweliii [emoji16][emoji16]
Comments zako huwa zinafurahisha sana [emoji16][emoji16]
Hili nakubali maana huwa una majibu ya chap sana ambayo ni tabia ya watu wale comedy comedy mtaani 😁 ila ndo vizuri, sio kila kitu unaweka u_seriousKiukweli hua sipo serious, wanaonizunguka wanacheka sana, nisipokuwepo hupooza
[emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zuchu ana miaka 30+ acha maneno mengi,
Kwenye suala la miaka wabongo mnakuaga very sensitive wakati kuzeeka ni lazima, lol
Pia nenda kaangalie interview ya Salama na Zuchu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eeeh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
Nasame mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Maftaaa taa mafta taa mafta taaa
Yamemwagika yamemwagika yamemwagikaaa
Mpaka chini mpaka chini mpaka chiniii
Yamemwagika, yamemwagika, yamemwagika [emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata zuchu mwenyewe huoni bado mtoto?!
😅😂😂😂😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani nimecheka😅😂😂😂😁
Zuchu fundii sanaYaani nimecheka
Kuna mwingine hivi nilisikia mtoto anaimbaZuchu fundii sana
Honey honey
Honey honey
Honey honey
Honey honey
Zuchu fundii anatuharibia watoto wetu sanaQ
Kuna mwingine hivi nilisikia mtoto anaimba
Anszunguka,anapiga liga mikono kwapani
Sijui kwi kwi kwi
Aisee dunia ipo kasi
Mie wanangu nimewapiga marufuku kufuatilia nyimbo za ajabuZuchu fundii anatuharibia watoto wetu sanaView attachment 2758702
Exactly walimu wanawawekea halafu wanashindasha atakaye cheza vizur anapata pipi mimi mwanangu jana nimeona anapiga kelele honey honey 🤣🤣Mie wanangu nimewapiga marufuku kufuatilia nyimbo za ajabu
Ila nimegundua shuleni wanawasikilizisha.
Shighuli ipo😂Exactly walimu wanawawekea halafu wanashindasha atakaye cheza vizur anapata pipi mimi mwanangu jana nimeona anapiga kelele honey honey 🤣🤣
Hata mimi nilikuwa siujui nikamsikia binti yangu kwenye gari mda nampeleka shule naskia anapiga makelele honey honey nikamuuliza nani kakufundisha akaniambia baba mwalimu alituekea nyimbo ya honey ya zuchu🤣🤣🤣🤣Shighuli ipo😂
Huo wa honey nimeujulia kwa watoto.
Nikashangaa mtoto amepata wapi majina ya ajabu, kumbe ni wimbo.