Ifike mahala Zuchu aambiwe ukweli nyimbo zake za Utoto utoto aache. Kwa mwendo huu naamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu

Ifike mahala Zuchu aambiwe ukweli nyimbo zake za Utoto utoto aache. Kwa mwendo huu naamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu

Zuchu tumekuchoka mara sukari, mara honey,mara kwikwi sasa katuletea Chapati 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kiukweli Zuchu anapuyanga na naanza kuamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu.

Kinachombeba Zuchu ni ile kuwa karibu na Simba la Masimba Dangote kwa hiyo inakuwa rahisi ngoma zake kupenya kirahisi.

Kifupi Zuchu aache kuimba nyimbo zenye utoto utoto kinyume na hapo asahau kuwa msanii mkubwa wa kimataifa.
Honey honey!!! Very interesting. Ukiwakuta watoto wanaimba huo wimbo na kuucheza, unaweza ukafikiri wanaelewa maana yake. 😁
 
Eeeh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
Nasame mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Maftaaa taa mafta taa mafta taaa
Yamemwagika yamemwagika yamemwagikaaa
Mpaka chini mpaka chini mpaka chiniii
Yamemwagika, yamemwagika, yamemwagika [emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Q

Kuna mwingine hivi nilisikia mtoto anaimba
Anszunguka,anapiga liga mikono kwapani
Sijui kwi kwi kwi

Aisee dunia ipo kasi
Zuchu fundii anatuharibia watoto wetu sana
120135285_450894855872558_821174641544287445_n-768x960.jpg
 
Shighuli ipo😂
Huo wa honey nimeujulia kwa watoto.
Nikashangaa mtoto amepata wapi majina ya ajabu, kumbe ni wimbo.
Hata mimi nilikuwa siujui nikamsikia binti yangu kwenye gari mda nampeleka shule naskia anapiga makelele honey honey nikamuuliza nani kakufundisha akaniambia baba mwalimu alituekea nyimbo ya honey ya zuchu🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom