Ifike mahala Zuchu aambiwe ukweli nyimbo zake za Utoto utoto aache. Kwa mwendo huu naamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu

Ifike mahala Zuchu aambiwe ukweli nyimbo zake za Utoto utoto aache. Kwa mwendo huu naamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu

A
Aminaaa
Amina sijui kafanyaje
Kuna nyimbo nasikiliza nikiwa bar tu.
Amina na mwajuma
Wanaringa hawa kima
Kumbe wanauza .......akaishia hapo😀
Nyimbo nimeijulia dar maana chuga haya makitu huwezi skia kizembe
 
Zuchu tumekuchoka mara sukari, mara honey,mara kwikwi sasa katuletea Chapati [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kiukweli Zuchu anapuyanga na naanza kuamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu.

Kinachombeba Zuchu ni ile kuwa karibu na Simba la Masimba Dangote kwa hiyo inakuwa rahisi ngoma zake kupenya kirahisi.

Kifupi Zuchu aache kuimba nyimbo zenye utoto utoto kinyume na hapo asahau kuwa msanii mkubwa wa kimataifa.
Mkuu soko la muziki ni watoto na wanawake na anafanikiwa kwenye hilo, ukitaka kuvutiwa mimi na wewe hawezi pata maokoto
 
Eeeh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
Nasame mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Maftaaa taa mafta taa mafta taaa
Yamemwagika yamemwagika yamemwagikaaa
Mpaka chini mpaka chini mpaka chiniii
Yamemwagika, yamemwagika, yamemwagika 😁😁😅😅😂😂
😃😃
Tuendelee kizuchu zuchu...!

🎶 Ukuti Ukuti.....
Wa mchanga wa mchanga...
Ukija upepo.... Wapepea..
Pepe apepea .... Pepee Apeeee 🎶🎶
 
[emoji2][emoji2]
Tuendelee kizuchu zuchu...!

[emoji445] Ukuti Ukuti.....
Wa mchanga wa mchanga...
Ukija upepo.... Wapepea..
Pepe apepea .... Pepee Apeeee [emoji445][emoji445]
Dula anataka kulaa,,dula anataka kulaa
Dula hataki andazi anataka chapatii
Kitu flati kitu laini katikati uingize mainii


Msiruhusu watoto wenu waimbe hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mr Nice alitoka na kufahamika na kupata maokoto kwa nyimbo za kitoto kama hizo, nae amekuja anapita humohumo mwacheni.......huku mtaani watoto wote wa sekondari na msingi kila dakika urawasikia 'honeeeey'
 
Kalee kakigoli kanaandikiwaa, hizo ngoma za sukari, na chapati ndio kaandika yeyee. Hizo nyingine sio zakee

Kichwaa chake hakiwezi andika ngoma yenye mashairi matamu kama " UTANIUA" hii ngoma kila nikisikiliza namwona lava lava na mbosso. Hawezi, nakataaa
Mzanzibar yule kumbuka, cha kuandika anacho
 
Tambua huyo Zuchu bado nae ni mtoto,
Lakini jingine kwa nini usikilize nyimbo za kitoto?
 
Back
Top Bottom