#COVID19 Ifike mahali Askofu Gwajima na wengine wa jinsi yake wadhibitiwe kiserikali na kichama kuhusu chanjo ya UVIKO-19

Hili ndo suala la msingi kiasi wamenza kuwashtua watu wengi sana kuwa kwa nini inatumika nguvu hivi? Si ajibiwe kwa hoja ili aonekane mjinga. Kwa nini hajajibuwa mpaka sasa ila anapigwa vita?
Gwajima ana hoja gani ya kumjibu wakati anabwabwaja upuuzi tu? Hamna chochote cha maana anachozungumza, mtu anasema wataochanjwa watakuwa mazombie, sasa hapo utajibu nini? Cha muhimu uhuru wake wa kuongea uheshimiwe na apuuzwe tu
 
Site
gemei a lawyer aandike kitu kama hiki. Kweli watanzania wamelogwa. Msomi mzima unaona mtu kutoa mawazo yake ni kosa, serikali can do mistakes and people have to make an alarm!
 
Site

gemei a lawyer aandike kitu kama hiki. Kweli watanzania wamelogwa. Msomi mzima unaona mtu kutoa mawazo yake ni kosa, serikali can do mistakes and people have to make an alarm!
Yaani kama chuo kinaweza kutoa lawyer wa aina hii, haishangazi kusikia panaitwa jalalani...
 
Mwanasheria msoni Mselewa, kwa kuwa suala la chanjo ni la hiyari, Je! Inamlazimu pia Askofu naye akubaliane nalo eti tu ni kwa sababu ya viongozi wa chama chake wametumia hiyari yao wenyewe kuliridhia?

Je! Kwa kuwa hiyari ya Rais imeonekana juu ya kukubali kwake kuchanjwa mbele ya hadhara. Je! Hiyari yake ni kiashiria kuwa ni lazima kwa watu wengine ikiwemo wana CCM kufanya hivyo hata kama wao wenyewe hawana hiyari ya kufanya hivyo?
 
Umeandika kitu cha ajubu sana.
Umejishushia hadhi yako kama mwanasheria.
Haya uliyo shauri hayazuwii haki za kikatiba za Gwajima na wasiotaka chanjo?

Kwa hivyo wanaotaka chanjo wanaruhusiwa kutoa elimu watu wapate chanjo na wale wasiotaka chanjo hawaruhusiwi kutoa elimu kuhusu hatari zinazoza weza kutokea sababu ya hizi chanjo?
 
Wewe ni mwanasheria kweli?
Sheria inasemaji juu ya Uhuru wa wananchi kutoa maoni yao?

Eti anaisema serikali nayeye ni sehemu yake? Ulikuwa mdogo wakati Nyerere anasema CCM Ina nuka rushwa?, Wakati JPM anasema Kuna watu wanasafiri nje kuliko hata kwa wazazi wao,hukujua alimlenga Nani?.

Au Gwajima ni wa Kwanza kusema chanjo hazifai? JPM si ndo alikuwa wa Kwanza kusema chanjo hazifai?

JPM nchi ilimuelewa Sana,Gwajima ni kivuri tu.
Mtahangaika Sana.
 

Mkuu uchoshauri ni primitive ideas zinazotutafuna watanzania. Tumekuwa wanafiki kwa kuwaona viongozi malaika wasiokosea wakiwa madarakana. Wakitoka madarakana, mnahamia kwa mgeni. Mfano wakati wa hayati Magu na wenzake mliwasifu na kuwatukuza kama malaika. Leo mmewageuka nyote, sasa mnasema hakuna kama wewe mama! Kwa tabia hizi hatuwezi kuendelea na kwa kuzingatia kuwa hawa malaika wenu wa muda mmewapa madaraka makubwa kupita kiasi. Tuwakosowe au tuwaunge mkono inapobidi, tuwe wakweli.
 
Tatizo Gwajima ni muongo, ANASEMA anafanya maongezi na super speciality drs, zungumzia chanjo,

Sasa unajiuliza hivi Gwajima anafikili ni kila super speciality dr anaweza dadavua VIZURI Mambo ya chanjo,

Je anajua Gwajima duniani katika afya Kuna super speciality za aina ngapi, ?

Alitakiwa atwambie anazungumza super speciality dr katika kitengo kipi?

Nimshauri atafute na kuongea super speciality upande wa immunology, tropic infection, angalau atapata elim ya kuwalisha kondoo wake,

SIJAWAI ONA ASKOFU MUONGO KAMA GWAJIMA, NA GWAJIMA ANA AKILI ,AYA ANAFANYA MAIGIZO LABDA KWA MAELEKEZO
KUAMISHA MIJADALA KATIBA, MH MBOWE, MAKATO YA KWENYE MIAMALA N.K , BUT AMEBUMA,NA WANAENDELEA KUBUMA ,ASANTE CHADEMA KWA AKILI KUBWA KUWASOMA ,WALITAKA TUTOA KWENYE RAMANI ILA MOTO UNAANZA KUWAKA ,TUKUTANE tarehe 5/8/2021,
 
wewe ni mjinga sana,unajua maana ya hiyari ?GWAJIMA kaamua hiyari ya kutochanjwa na katoa sababu.unafikiri serikali inaongozwa na malaika? GWAJIMA apingwe kwa hoja sio maguvu ya kumnyamazisha,unajua madhara ya muda mrefu ya hii chanjo ya mwendokasi?,fi
cha upumbavu wako
 
Kichwa kibovu
 
Matusi ya Gwajima Kwa utawala ni zaidi ya terrorism
 
Ameshawahi kujiweka JUU ZAIDI....

Askofu Gwajima ameshawahi kusema YEYE ni zaidi ya SERIKALI....

Hivi Sasa ameamua Kudhihirisha kwa VITENDO.....

#GwajimaAfukuzweCCM
 
Wa kati mkisema hovyo hovyo, gonjwa linazidi kufyeka. Kwani lazima kupinga kila kitu?
 

Serikali ya majizi ya kura iheshimiwe kivipi?
 
Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.
Kudhibitiana unakokutaka wewe ni dalili nzuri za kuua demokrasia na uhuru wa kutoa maoni; ni kutaka kuisukuma nchi yetu kuelekea kwenye udikiteta. Kama tunataka kuijenga demokrasia yetu ambayo ni changa, ni lazima tujifunze kuvumiliana, kuheshimu mawazo kinzani, kujadiliana kwa hoja (bila kutumia mabavu), na kueleweshana badala ya kufungana midomo.
 
Ameshawahi kujiweka JUU ZAIDI....

Askofu Gwajima ameshawahi kusema YEYE ni zaidi ya SERIKALI....

Hivi Sasa ameamua Kudhihirisha kwa VITENDO.....

#GwajimaAfukuzweCCM

Mkimfukuza mnamuonea maana amebaki na ule ujinga wa dhalimu, na mkimuacha mnamuogopa maana nyie ni majizi ya kura, hata Gwajima anaujua vizuri huo uchafu wenu. Hivyo hamna la kumfanya.
 
Mi nadhani tuanze na wewe kwanza,ambaye huwazi chochote Wala ku reason vizuri Mambo! tuambie ile chanjo inayotolewa ni ya nini,!? Ikiwa
1.ukichanjwa bado unaambiwa usiache kuchukua tahadhari za kujikinga

2.ukichanjwa unaweza pia kuambukiza Kama hutachukua tahadhari za kujikinga na maambukizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…