#COVID19 Ifike mahali Askofu Gwajima na wengine wa jinsi yake wadhibitiwe kiserikali na kichama kuhusu chanjo ya UVIKO-19

#COVID19 Ifike mahali Askofu Gwajima na wengine wa jinsi yake wadhibitiwe kiserikali na kichama kuhusu chanjo ya UVIKO-19

Wewe mwanasheria ni mjinga, samahani kwa kukuita mjinga.
Msimamo wa serikali sio lazima uwe msimamo wa wananchi.
Mfano Magufuli alinunua ndege na ulikuwa msimamo wa serikali, unataka kuniambia wananchi wote tulipaswa kukubaliana nae?
Aah ngoja nikupe mfano mwingine
Msimamo wa serikali ya Sasa ni kuweka tozo kwenye miamala, unataka kusema wote tukubali hizo tozo kisa tu ni msimamo wa serikali?
Aah nakupa mfano mwingine
Serikali kwa msimamo wake wamempa kesi mbowe ya ugaidi, unataka kusema wananchi wote tukubaliane na serikali kumpa kesi mbowe ya ugaidi?
Huu ujinga mnasomea wapi wenzetu?
 
Cheap politics huwa hazina future mada

A serious politician huangalia 10 years ahead sio present!!!

Gwajima will rise up as a hero he is not concerned with the now time like you

Magufuli aliibuka hero dhidi ya Lowasa sababu Lowasa ,Membe Etc walikuwa Short sighted like you mleta mada

gwajima is not your size
 
Mimi napinga fujo, sipingi haki na uhuru wa kuongea. Fujo na uhuru wa kutoa/ kutoa maoni ni vitu viwili tofauti kabisa.
Mfano: Mimi sipingi tindo, Mmawia & co, kutoa maoni yenu, ila napinga matusi mnayorusha hapa jukwaani.
Tutajie fujo ni zipi. Utukanwe na nani ww, utukanwe ili ujipatie umaarufu?
 
Cheap politics huwa hazina future mada

A serious politician huangalia 10 years ahead sio present!!!

Gwajima will rise up as a hero he is not concerned with the now time like you

Magufuli aliibuka hero dhidi ya Lowasa sababu Lowasa ,Membe Etc walikuwa Short sighted like you mleta mada

gwajima is not your size

Ulikuwa jela nini? Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
 
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki. Serikali iheshimiwe!
Umenena vyema.

Gwajima anapata uungwaji mkono kutoka kwa wanazi wa JPM ambao subconsciously wanachuki kubwa na mama Samia kwa sababu wanazozijua wenyewe.

Kupitia msimamo huu wa Gwajima wamepata boti ya kudandia kuwafikisha wanapotaka! Kumkwamisha raisi Samia. Wanataka asifanikiwe. Wanamchonganisha na wananchi.

Vitendo vya Gwajima,yeye kama mbunge wa CCM ni utovu wa nidhamu wa kiwango cha juu. Bahati yake,Mama Samia ni muungwana. Angefanya hivi kwa dikteta Magufuli sasa hivi angekuwa ameshachezea za uso za kutosha!
 
Mtu mwenye akili zake anamwita Gwajima Askofu!!
20210731_213506.jpg
 
Kama unataka Gwajima akamatwe, atishwe au kutekwa kisa haki yake ya kikatiba ya kutetea anachokiamini then you are disgrace to your profession.
 
Gwajima kwa hill ni gaidi serikali imufungulie mashitaka ya kukaidi na kuhamasisha wananchi kupinga chanjo ya covid19 huku yeye akiwa hana njia mbadala kwa maana hiyo ni saws na kuhamasisha wananchi tufe wala tusikimbie hatua hata moja kunusuru maisha yetu
 
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki. Serikali iheshimiwe!
This is a huge thing, usalama washighulikieni Gwajima na Polepole, wanahatarisha usalama wa nchi
 
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki. Serikali iheshimiwe!
Waliotaka chanjo mwaka Jana waliitwa majina kibao na kusemwa kuwa wametumwwa na Mabeberu

Leo Serikali hii hawataki kusema chanjo imetoka kwa Mbeberu au Kondoo?
 
Gwajima tukimzungumzia kwa mitizamo ya kijini jini ni lile zimwi ambalo limetoka nje ya chupa lilipofungiwa, you can't control him.
 
Gwajima kosa lake ni kutumia kanisa lake!!!
Kama kiongozi serikalini angetoa tu mawazo yake na si kuinfluence kanisa zima! Hao wote wakikataa na kesho vikatokea vifo vingi kati yao atafanyaje!!
 
Naona sawa Gwajima kudhibitiwa, hawa wote wanatoka chama kimoja, na wote hukaa kwenye vikao vya chama chao hata kama mmoja hatakuwepo basi naamini atapewa briefings, kwa kawaida makubaliano ya wanachama yanatakiwa kuwa ya aina moja kwa public bila kujali kama ndani ya kikao walitofautiana, mkitoka nje sharti wote muwe na msimamo mmoja.

Hiki anachokifanya Gwajima Askofu mwanasiasa ni sawa na kupiga kelele zinazorudisha nyuma makubaliano ya chama chao, Gwajima Askofu - mwanasiasa kama kweli hakubaliani na msimamo wa chama chake aondoke chamani asisubiri kufukuzwa, lakini kama bado anakumbatia ubunge wa kura za wizi halafu anaendelea kupiga kelele kupingana na maamuzi ya chama chake huyu ni msumbufu, adhibitiwe.
 
Back
Top Bottom