Pre GE2025 Ifike mahali tuache Kudanganyana, Mbowe hashindi, Mpaka Sasa hakuna Mkoa au Jimbo hata Moja lililosema linamuunga Mkono Mbowe, Kura Zake Ziko Wapi?

Pre GE2025 Ifike mahali tuache Kudanganyana, Mbowe hashindi, Mpaka Sasa hakuna Mkoa au Jimbo hata Moja lililosema linamuunga Mkono Mbowe, Kura Zake Ziko Wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wapiga kura wapo 1000 sasa watu 50 au 60 watawasemeaje watu zaidi ya 900. Saa nyingine vijana wa chadema muwe mtafakari mambo kabla ya kuandika.
 
Ziko tayari kwa box la kura mtakazopiga zenu jiandaeni pa kuzipeleka maana hazitahesabiwa zaidi ya kwenye mitandao ya kijamii
 
Mikoa mingapi imesema?

Mbowe anashughulika na wapiga kura huku Lissu akishughulika na mashabiki.

Kwani Mbowe angeamua kualika wa watu waseme si tungechanganyikiwa tumsikilize nani?. Wakuu wa Kanda na Mikoa wote wanamtaka Mbowe. Wewe huogopi?
Nafikili hadi sasa swali lako limeshapata jawabu sahihi
 
Lissu ni Mropokaji na wafuasi wake ni waropokaji. Mbowe anawajua wapiga kura sio wa mitandaoni. Anajua namna ya kuwafikia na kuwaomba kura bila kupiga kelele!
Kumbe wewe mtoto wa shule rudi darasani acha kupayuka humu
 
Wapiga kura wapo 1000 sasa watu 50 au 60 watawasemeaje watu zaidi ya 900. Saa nyingine vijana wa chadema muwe mtafakari mambo kabla ya kuandika.
Hesabu yako haieleweki

Changanua tuone hao 50 au 60

Kifupi LISSU anaungwa mkono na wajumbe wengi zaidi kuliko MBOWE

Trh 21 ni kesho kutwa tu utajorizisha kwa matendo na kura za kutosha kwa LISSU
 
Wataalamu wa siasa wanasema "Politics is all about numbers and influence"

Taifa limeshuhudia matamko ya Viongozi wa CHADEMA kutoka katika kila Kona ya nchi wakisema wao watasimama na Lissu,

HOJA YANGU,

1. KURA ZA MBOWE ZIKO WAPI?

2. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI MABUBU?

3. JE, WANAOGOPA NINI KUJITOKEZA KWA UMMA?

4. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI WASIRI?

5. JE, KAMA SIASA NI NAMBA NA USHAWISHI KWA MBOWE VIKO WAPI?

NASISITIZA, LISSU AMESHINDA KWA ZAIDI YA 80% NA KAMA MBOWE ATASHINDA JUENI KABISA KAIBA KURA AU KAHONGA WAJUMBE HAWA HAWA WA LISSU.
Kama haya si siku zote mnaimba kwa ccm.
 
Huu uchaguzi umefanya tuwajueutafiti wajinga wengi!! Halafu Lissu alivyokosa hekima anasema kabisa kagombea uenyekiti sababu wenje kaitaka nafasi yake!! Hapo katangaza shari na sikuwahi jua ana akili Za kitoto namna hii!!!
Twende na Lissu acha kelele.
 
Wataalamu wa siasa wanasema "Politics is all about numbers and influence"

Taifa limeshuhudia matamko ya Viongozi wa CHADEMA kutoka katika kila Kona ya nchi wakisema wao watasimama na Lissu,

HOJA YANGU,

1. KURA ZA MBOWE ZIKO WAPI?

2. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI MABUBU?

3. JE, WANAOGOPA NINI KUJITOKEZA KWA UMMA?

4. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI WASIRI?

5. JE, KAMA SIASA NI NAMBA NA USHAWISHI KWA MBOWE VIKO WAPI?

NASISITIZA, LISSU AMESHINDA KWA ZAIDI YA 80% NA KAMA MBOWE ATASHINDA JUENI KABISA KAIBA KURA AU KAHONGA WAJUMBE HAWA HAWA WA LISSU.
Mwenyewe anasema hao ni AI
 
Kuna teeth watakao jifanya chadema wakiwa na mavazi ya chadema.wataratibu kuharibu uchaguzi aidha kwa kuja na kura feki aidha za lisu au mbowe hii yote ni kutokee taharuki na ionekane kwamba uchaguzi umeharibika.

So chadema hasa wapenda mabadiliko wawe macho ktk hili,
 
Wataalamu wa siasa wanasema "Politics is all about numbers and influence"

Taifa limeshuhudia matamko ya Viongozi wa CHADEMA kutoka katika kila Kona ya nchi wakisema wao watasimama na Lissu,

HOJA YANGU,

1. KURA ZA MBOWE ZIKO WAPI?

2. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI MABUBU?

3. JE, WANAOGOPA NINI KUJITOKEZA KWA UMMA?

4. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI WASIRI?

5. JE, KAMA SIASA NI NAMBA NA USHAWISHI KWA MBOWE VIKO WAPI?

NASISITIZA, LISSU AMESHINDA KWA ZAIDI YA 80% NA KAMA MBOWE ATASHINDA JUENI KABISA KAIBA KURA AU KAHONGA WAJUMBE HAWA HAWA WA LISSU.
..Bado anawashawishi huko kwenye malodge....mbowe bwana, Bado anaamini yaleyale ya ccm kuwapa pesa wajumbe😂😂
 
Hakuna uchaguzi! Mbowe ataendelea hadi hapo uchaguzi utaka potangazwa Tena!
 
Back
Top Bottom