Ifike mahali, Wananchi wawakatae Wakuu wa Mikoa wasiofaa. Uteuzi wa Rais siyo msahafu

Ifike mahali, Wananchi wawakatae Wakuu wa Mikoa wasiofaa. Uteuzi wa Rais siyo msahafu

Kididimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
4,153
Reaction score
3,800
Maendeleo ya watu huletwa na watu wenyewe kwa kushirikiana na viongozi bora katka mazingira ya amani, utulivu na upendo.

Kiongozi ambaye siku zote ni kuchochea mpasuko na vurugu hafai hata kidogo.

Nitoe mfano hai kwa kiongozi kama Makonda. Kiongozi huyu ametuhumiwa na kwa ushahidi ulio wazi alipoteuliwa katika nyadhifa mbalimbali kuchochea vurugu ndani ya chama chake, kwa wafanyabiashara na watumishi wa umma. Amehisiwa sana kushiriki uvunjifu wa amani kwa wanasiasa kadhaa na sina haja ya kurudia yaliyosemwa.

Ukisikia lugha anayotumia akiwa jukwaani, siyo ya kimaadili ya kiongozi kwa nchi kama Tanzania. Hata Dr. Nchimbi - Katibu Mkuu CCM alishakemea wazi hadharani hasa matumizi ya lugha za vitisho,matusi kwa watumishi wa Serikali.

Kitendo cha Kiongozi kuhisiwa tu kuwa siyo msafi, muongo [ suala la cheti feki] kilitosha kumwondolea sifa ya uteuzi. Na ndiyo maana tuna vetting.

Swali langu ni je, endapo nia ya kuendelea kuteua watu kama hawa haiko bayana kwa wananchi anaowaongaza nini kifanyike? Je,kuna haja ya Wananchi nao kufanya vetting kwa kuwakataa hadharani viongozi kama hawa?
Ninajua Arusha ni moja ya Mikoa ya kimkakati kwenye tasnia ya utalii. Ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki .

Ni Mkoa unaopokea wageni wengi kutoka ndani na nje ya nchi. Inahitaji Mkuu wa Mkoa anayejitambua kwenye suala la utulivu, ubunifu, diplomasia nk.
Sina uhakika na maneno ya Mzee mmoja mstaafu aliyewahi kuniambia kuwa, "Ukifanikiwa kuivuruga Arusha,kimbilio la Watalii itakuwa ni Zanzibar" mwisho wa kunukuu. Sijajua kwa uteuzi huu ningefanikiwa kumwona huyo mzee angrlisema nini ukizingatia mteuaji ni kutoka ngambo ile.
 
Katiba yetu hii mbovu hairuhusu Hilo maana rais yuko juu ya sheria. Hivyo, rais akiamua kitu hakipingwi na ukimpinga, anaruhusiwa kuwaua wote wanaopinga halafu yeye eti kwa mujibu wa katiba hii mbovu hahojiwi na chombo chochote wala hashitakiwi kwa kosa alilolitenda akiwa anatekeleza kazi zake.
 
Katiba yetu hii mbovu hairuhusu Hilo maana rais yuko juu ya sheria. Hivyo, rais akiamua kitu hakipingwi na ukimpinga, anaruhusiwa kuwaua wote wanaopinga halafu yeye eti kwa mujibu wa katiba hii mbovu hahojiwi na chombo chochote wala hashitakiwi kwa kosa alilolitenda akiwa anatekeleza kazi zake.
Mabadiliko ya katiba ni muhimu.
 
Maendeleo ya watu huletwa na watu wenyewe kwa kushirikiana na viongozi bora katka mazingira ya amani, utulivu na upendo.

Kiongozi ambaye siku zote ni kuchochea mpasuko na vurugu hafai hata kidogo.

Nitoe mfano hai kwa kiongozi kama Makonda. Kiongozi huyu ametuhumiwa na kwa ushahidi ulio wazi alipoteuliwa katika nyadhifa mbalimbali kuchochea vurugu ndani ya chama chake, kwa wafanyabiashara na watumishi wa umma. Amehisiwa sana kushiriki uvunjifu wa amani kwa wanasiasa kadhaa na sina haja ya kurudia yaliyosemwa.

Ukisikia lugha anayotumia akiwa jukwaani, siyo ya kimaadili ya kiongozi kwa nchi kama Tanzania. Hata Dr. Nchimbi - Katibu Mkuu CCM alishakemea wazi hadharani hasa matumizi ya lugha za vitisho,matusi kwa watumishi wa Serikali.

Kitendo cha Kiongozi kuhisiwa tu kuwa siyo msafi, muongo [ suala la cheti feki] kilitosha kumwondolea sifa ya uteuzi. Na ndiyo maana tuna vetting.

Swali langu ni je, endapo nia ya kuendelea kuteua watu kama hawa haiko bayana kwa wananchi anaowaongaza nini kifanyike? Je,kuna haja ya Wananchi nao kufanya vetting kwa kuwakataa hadharani viongozi kama hawa?
Ninajua Arusha ni moja ya Mikoa ya kimkakati kwenye tasnia ya utalii. Ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki .

Ni Mkoa unaopokea wageni wengi kutoka ndani na nje ya nchi. Inahitaji Mkuu wa Mkoa anayejitambua kwenye suala la utulivu, ubunifu, diplomasia nk.
Sina uhakika na maneno ya Mzee mmoja mstaafu aliyewahi kuniambia kuwa, "Ukifanikiwa kuivuruga Arusha,kimbilio la Watalii itakuwa ni Zanzibar" mwisho wa kunukuu. Sijajua kwa uteuzi huu ningefanikiwa kumwona huyo mzee angrlisema nini ukizingatia mteuaji ni kutoka ngambo ile.
ni maoni na mtazamo mzuri japo si muhimu, kwakua kuna kila ishara za chuki binafsi ndani yake, na kwahiyo najizuia kununua chuki binafsi au kua miongoni mwa wenye chuki binafsi🐒
 
Maendeleo ya watu huletwa na watu wenyewe kwa kushirikiana na viongozi bora katka mazingira ya amani, utulivu na upendo.

Kiongozi ambaye siku zote ni kuchochea mpasuko na vurugu hafai hata kidogo.

Nitoe mfano hai kwa kiongozi kama Makonda. Kiongozi huyu ametuhumiwa na kwa ushahidi ulio wazi alipoteuliwa katika nyadhifa mbalimbali kuchochea vurugu ndani ya chama chake, kwa wafanyabiashara na watumishi wa umma. Amehisiwa sana kushiriki uvunjifu wa amani kwa wanasiasa kadhaa na sina haja ya kurudia yaliyosemwa.

Ukisikia lugha anayotumia akiwa jukwaani, siyo ya kimaadili ya kiongozi kwa nchi kama Tanzania. Hata Dr. Nchimbi - Katibu Mkuu CCM alishakemea wazi hadharani hasa matumizi ya lugha za vitisho,matusi kwa watumishi wa Serikali.

Kitendo cha Kiongozi kuhisiwa tu kuwa siyo msafi, muongo [ suala la cheti feki] kilitosha kumwondolea sifa ya uteuzi. Na ndiyo maana tuna vetting.

Swali langu ni je, endapo nia ya kuendelea kuteua watu kama hawa haiko bayana kwa wananchi anaowaongaza nini kifanyike? Je,kuna haja ya Wananchi nao kufanya vetting kwa kuwakataa hadharani viongozi kama hawa?
Ninajua Arusha ni moja ya Mikoa ya kimkakati kwenye tasnia ya utalii. Ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki .

Ni Mkoa unaopokea wageni wengi kutoka ndani na nje ya nchi. Inahitaji Mkuu wa Mkoa anayejitambua kwenye suala la utulivu, ubunifu, diplomasia nk.
Sina uhakika na maneno ya Mzee mmoja mstaafu aliyewahi kuniambia kuwa, "Ukifanikiwa kuivuruga Arusha,kimbilio la Watalii itakuwa ni Zanzibar" mwisho wa kunukuu. Sijajua kwa uteuzi huu ningefanikiwa kumwona huyo mzee angrlisema nini ukizingatia mteuaji ni kutoka ngambo ile.
Ovyo sana!
Utamkataaje ambaye hujamchagua??

Kwanini wananchi wa mkoa husika wasipewe fursa kikatiba kuwachagua hao wakuu wa mikoa?
 
Maendeleo ya watu huletwa na watu wenyewe kwa kushirikiana na viongozi bora katka mazingira ya amani, utulivu na upendo.

Kiongozi ambaye siku zote ni kuchochea mpasuko na vurugu hafai hata kidogo.

Nitoe mfano hai kwa kiongozi kama Makonda. Kiongozi huyu ametuhumiwa na kwa ushahidi ulio wazi alipoteuliwa katika nyadhifa mbalimbali kuchochea vurugu ndani ya chama chake, kwa wafanyabiashara na watumishi wa umma. Amehisiwa sana kushiriki uvunjifu wa amani kwa wanasiasa kadhaa na sina haja ya kurudia yaliyosemwa.

Ukisikia lugha anayotumia akiwa jukwaani, siyo ya kimaadili ya kiongozi kwa nchi kama Tanzania. Hata Dr. Nchimbi - Katibu Mkuu CCM alishakemea wazi hadharani hasa matumizi ya lugha za vitisho,matusi kwa watumishi wa Serikali.

Kitendo cha Kiongozi kuhisiwa tu kuwa siyo msafi, muongo [ suala la cheti feki] kilitosha kumwondolea sifa ya uteuzi. Na ndiyo maana tuna vetting.

Swali langu ni je, endapo nia ya kuendelea kuteua watu kama hawa haiko bayana kwa wananchi anaowaongaza nini kifanyike? Je,kuna haja ya Wananchi nao kufanya vetting kwa kuwakataa hadharani viongozi kama hawa?
Ninajua Arusha ni moja ya Mikoa ya kimkakati kwenye tasnia ya utalii. Ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki .

Ni Mkoa unaopokea wageni wengi kutoka ndani na nje ya nchi. Inahitaji Mkuu wa Mkoa anayejitambua kwenye suala la utulivu, ubunifu, diplomasia nk.
Sina uhakika na maneno ya Mzee mmoja mstaafu aliyewahi kuniambia kuwa, "Ukifanikiwa kuivuruga Arusha,kimbilio la Watalii itakuwa ni Zanzibar" mwisho wa kunukuu. Sijajua kwa uteuzi huu ningefanikiwa kumwona huyo mzee angrlisema nini ukizingatia mteuaji ni kutoka ngambo ile.
Tulia wewe makonda ainyooshe arusha
 
Wanafiki wa mtandaoni ndio wanaokataa. Wananchi wa MTAANI full shangwe!
 
Maendeleo ya watu huletwa na watu wenyewe kwa kushirikiana na viongozi bora katka mazingira ya amani, utulivu na upendo.

Kiongozi ambaye siku zote ni kuchochea mpasuko na vurugu hafai hata kidogo.

Nitoe mfano hai kwa kiongozi kama Makonda. Kiongozi huyu ametuhumiwa na kwa ushahidi ulio wazi alipoteuliwa katika nyadhifa mbalimbali kuchochea vurugu ndani ya chama chake, kwa wafanyabiashara na watumishi wa umma. Amehisiwa sana kushiriki uvunjifu wa amani kwa wanasiasa kadhaa na sina haja ya kurudia yaliyosemwa.

Ukisikia lugha anayotumia akiwa jukwaani, siyo ya kimaadili ya kiongozi kwa nchi kama Tanzania. Hata Dr. Nchimbi - Katibu Mkuu CCM alishakemea wazi hadharani hasa matumizi ya lugha za vitisho,matusi kwa watumishi wa Serikali.

Kitendo cha Kiongozi kuhisiwa tu kuwa siyo msafi, muongo [ suala la cheti feki] kilitosha kumwondolea sifa ya uteuzi. Na ndiyo maana tuna vetting.

Swali langu ni je, endapo nia ya kuendelea kuteua watu kama hawa haiko bayana kwa wananchi anaowaongaza nini kifanyike? Je,kuna haja ya Wananchi nao kufanya vetting kwa kuwakataa hadharani viongozi kama hawa?
Ninajua Arusha ni moja ya Mikoa ya kimkakati kwenye tasnia ya utalii. Ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki .

Ni Mkoa unaopokea wageni wengi kutoka ndani na nje ya nchi. Inahitaji Mkuu wa Mkoa anayejitambua kwenye suala la utulivu, ubunifu, diplomasia nk.
Sina uhakika na maneno ya Mzee mmoja mstaafu aliyewahi kuniambia kuwa, "Ukifanikiwa kuivuruga Arusha,kimbilio la Watalii itakuwa ni Zanzibar" mwisho wa kunukuu. Sijajua kwa uteuzi huu ningefanikiwa kumwona huyo mzee angrlisema nini ukizingatia mteuaji ni kutoka ngambo ile.
Punguzeni chuki kwa Makonda. Pale CCM nani msafi ili tuhalalishe ubaya wa Makonda ?
Kuna viongozi wengi tu wa hovyo kuzidi hata Makonda ila wananchi tunacheza ngoma za wanasiasa pasipo kujua.
Mfikirie mtu aliyepewa Wizara ambapo jambo lake la kwanza ilikua kutangaza mgao wa umeme mpaka leo tatizo halijaisha.
Wafikirie wanaokwapua pesa za Serikali kila kukicha.
Wafikirie viongozi wazembe wanaokaa maofisini pasipo kutoa suluhu ya matatizo ya wananchi.
Mwacheni Makonda maana hakuna aliye msafi katika Uongozi wetu.
 
Punguzeni chuki kwa Makonda. Pale CCM nani msafi ili tuhalalishe ubaya wa Makonda ?
Kuna viongozi wengi tu wa hovyo kuzidi hata Makonda ila wananchi tunacheza ngoma za wanasiasa pasipo kujua.
Mfikirie mtu aliyepewa Wizara ambapo jambo lake la kwanza ilikua kutangaza mgao wa umeme mpaka leo tatizo halijaisha.
Wafikirie wanaokwapua pesa za Serikali kila kukicha.
Wafikirie viongozi wazembe wanaokaa maofisini pasipo kutoa suluhu ya matatizo ya wananchi.
Mwacheni Makonda maana hakuna aliye msafi katika Uongozi wetu.
Mkuu, umesoma vizuri ulichokiandika?
 
Serikali hii ambayo makampuni/taasisi zake kuubwa zimeingia hasara za mabilioni na hakuna hatuna za makusudi na za haraka zilizochukuliwa unaona ni serikali inayojitambua??
Badala ya kuchukuwa hatuna fasta Kwa kampuni husika mabilioni yanatumika kuhamisha ofisi watu wasio na effect kuubwaa!!
Ni dhahiri serikali haijui inaipeleka nchi wapi na yanayotokea nikama ajali tuu ama kukurupuka Kwa mtu mmoja!!
NIDHAHIRI RAIS TULIYENAYE HAJUI AMTEUE NANI WAPI ILI KUSIMAMIA MASLAHI YA TAIFA KATIKA KUCHAGIZA MAENDELEO!!!
Kama kweli mtu alotishia kuuwa ndiyo kaletwa Jiji la kitalii AR hii ni mwendelezo wa chuki za watawala kwa mikoa ya kaskazini...Kwamba huko wauwawe tuu hamna shida!!!!!!
HIVI WAZENJI MBONA HAWAGUSWI KWENYE MABADILIKOO?? MFANO TTCL,TRC NK. WANAHASARA KUUBWA ZA MABILIONI LAKINI WAZIRI WA UCHUKUZI YUPO TEELEEE OFISINI?? WHAT IS THIS? HUYU NIDHAHIRI KAKOSA UBUNIFU NA UMAHIRI KATIKA WIZARA HUSIKA.
 
Maendeleo ya watu huletwa na watu wenyewe kwa kushirikiana na viongozi bora katka mazingira ya amani, utulivu na upendo.

Kiongozi ambaye siku zote ni kuchochea mpasuko na vurugu hafai hata kidogo.

Nitoe mfano hai kwa kiongozi kama Makonda. Kiongozi huyu ametuhumiwa na kwa ushahidi ulio wazi alipoteuliwa katika nyadhifa mbalimbali kuchochea vurugu ndani ya chama chake, kwa wafanyabiashara na watumishi wa umma. Amehisiwa sana kushiriki uvunjifu wa amani kwa wanasiasa kadhaa na sina haja ya kurudia yaliyosemwa.

Ukisikia lugha anayotumia akiwa jukwaani, siyo ya kimaadili ya kiongozi kwa nchi kama Tanzania. Hata Dr. Nchimbi - Katibu Mkuu CCM alishakemea wazi hadharani hasa matumizi ya lugha za vitisho,matusi kwa watumishi wa Serikali.

Kitendo cha Kiongozi kuhisiwa tu kuwa siyo msafi, muongo [ suala la cheti feki] kilitosha kumwondolea sifa ya uteuzi. Na ndiyo maana tuna vetting.

Swali langu ni je, endapo nia ya kuendelea kuteua watu kama hawa haiko bayana kwa wananchi anaowaongaza nini kifanyike? Je,kuna haja ya Wananchi nao kufanya vetting kwa kuwakataa hadharani viongozi kama hawa?
Ninajua Arusha ni moja ya Mikoa ya kimkakati kwenye tasnia ya utalii. Ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki .

Ni Mkoa unaopokea wageni wengi kutoka ndani na nje ya nchi. Inahitaji Mkuu wa Mkoa anayejitambua kwenye suala la utulivu, ubunifu, diplomasia nk.
Sina uhakika na maneno ya Mzee mmoja mstaafu aliyewahi kuniambia kuwa, "Ukifanikiwa kuivuruga Arusha,kimbilio la Watalii itakuwa ni Zanzibar" mwisho wa kunukuu. Sijajua kwa uteuzi huu ningefanikiwa kumwona huyo mzee angrlisema nini ukizingatia mteuaji ni kutoka ngambo ile.
Kama mnaushahidi nendeni mahakamani
 
Back
Top Bottom