Ifike mahali, Wananchi wawakatae Wakuu wa Mikoa wasiofaa. Uteuzi wa Rais siyo msahafu

Acha wivu wa kimalaya malaya nyuma ya keyboard
 
Kumekucha.....mutu anapoporewa kila mahali bado USA EMBASSY
 
Hapo bado Makonda hajafika Arusha umeanza kuumwa. Atafika Arusha na Punda atapokelewa na maelfu ya wanaarusha.
 
Ungenijua usingeniandikia comment kama hii. Uliwahi kufika Arusha?
Mkuu mimi naongea uhalisia hakuna asiyejua kwamba Makonda ana ushawishi. Hakuna mtu asiyejua kwamba Makonda atakua maarufu Arusha. Yaani ni sawa na kusema Diamond akitoa nyimbo itakosa views kwenye mitandao ya kijamii.
 
Mama anachojali ni kumdhibiti lema asiingie bungeni hayo mengine hayamuhusu sijui viongozi wa kimataifa,maendeleo ya wananchi nk.
Lengo kumdhibiti Lema.
 
Mkuu mimi naongea uhalisia hakuna asiyejua kwamba Makonda ana ushawishi. Hakuna mtu asiyejua kwamba Makonda atakua maarufu Arusha. Yaani ni sawa na kusema Diamond akitoa nyimbo itakosa views kwenye mitandao ya kijamii.
Ana ushawishi kwenye nini? Na je, watu wa Arusha wanauhitaji huo ushawishi kwenye maendeleo yao?
Anachotaka kushawishi Arusha alishindwaje kufanya hivyo akiwa kwenye cheo alichotoka? Na kwa nini iwe Arusha?
 
Ana ushawishi kwenye nini? Na je, watu wa Arusha wanauhitaji huo ushawishi kwenye maendeleo yao?
Anachotaka kushawishi Arusha alishindwaje kufanya hivyo akiwa kwenye cheo alichotoka? Na kwa nini iwe Arusha?
Sema wewe unachuki binafsi na Makonda alafu unabisha uhalisia. Usiifundishe akili yako kuukata ukweli tengeneza hoja nyingine lakini sio kupinga kwamba Makonda hana ushawishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…