Ifike wakati vyuo vikuu viwanyang'anye awards watu wanao aibisha taaluma zao

Ifike wakati vyuo vikuu viwanyang'anye awards watu wanao aibisha taaluma zao

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka takribani 10 hivi tumeona wimbi la wasomi waki behave na ku-perform kwa namna inayoaibisha taaluma zao, kushusha thamani na integrity ya awards za taaluma walizopata na kuvitia aibu vyuo walivyosoma.

Mifano ni mingi sana ila kwa uchache, wapo ma Prof na ma Dr walioshindwa kuongea ata sentensi mbili za kiingereza kwa ufasaha, wapo ma-professor waliokiri kutolewa jalalani, yupo medical doctor aliyekataa chanjo ya covid 19 kwenye utawala mmoja na kuikubali kwenye utawala mwingine na sasa tunaye Dr. wa uchumi aisiyejua taxable transactions.

Haya yote yanayotokea vyuo vyetu viko kimya yaani kwa maana nyingine vinakiri kwamba hayo ndiyo mambo waliyokua wanawafundisha hao watu.

Kwa kulinda heshima na hadhi ya kitaaluma, vyuo vyetu vinapaswa kujitenga na huo upuuzi. na upumbavu. Vyuo vifanye maamuzi magumu ya kuwanyang'anya hao watu academic awards walizowapa.

Hii itakua fundisho kwa watu wote kwamba unapopewa academic award unapaswa kuishi kwa namna itakayokidhi matarajio ya hiyo award.
 
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka takribani 10 hivi iliyopita tumeona wimbi la wasomi waki behave na ku-perform kwa namna inayoaibisha taaluma zao, integrity ya awards za taaluma walizopata kutoka kwenye vyuo walivyosoma. na kuvitia aibu vyuo walivyosoma.

Mifano ni mingi sana ila kwa uchache, wapo ma Prof na ma Dr walioshindwa kuongea ata sentensi mbili za kiingereza kwa ufasaha, wapo ma-professor waliokiri kutolewa jalalani na sasa tunaye Dr. wa uchumi aisiyejua taxable transactions.

Haya yote yanayotokea vyuo vyetu viko kimya yaani kwa maana nyingine vinakiri kwamba hayo ndiyo mambo waliyokua wanawafundisha hao watu. Kwa kulinda heshima na hadhi ya kitaaluma, vyuo vyetu vinapaswa kujitenga na huo upuuzi. Vyuo vifanye maamuzi magumu ya kuwanyang'anya hao watu academic awards walizowapa.

Hii itakua fundisho kwa watu wote kwamba unapopewa academic award unapswa kuishi kwa namna itakayokidhi matarajio ya hiyo award.
Mimi mwanasiasa tu maisha naona nyota nyota tu

Sasa wewe mwezangu unapata wapi nguvu za kujadili maisha ya watu huku ukijua kila mtu anabeba zigo lake mwenyewe

Huyo mkuu wa chuo Yeye mwenyewe hicho cheo amesaidiwa ili kupunguza ukali wa maisha, Mkuu wa chuo atatoa wapi nguvu za kuwafuta mabosi zake

Mbwa akianza Kumtishia na kubwekea bosi na watoto wake huwa anapigwa Risasi au hufahamu?

Tambua njaa, Njaa a, Njaa a
Njaa mbaya sana hasa inayoanzia kichwani kuelekea tumboni inakufanya kukosa nguvu na kupoteza heshima na kumbukumbu

Tambua kukariri mambo sio kipimo cha utendaji

Mtu alikariri vitabu akafaulu ni jambo la kawaida hata wewe ungekesha sana ungeweza, Tambua hao hawakulala walipokuwa shule, Muda wote walitumia kukariri mambo na kusoma masaa ishirini na nne,

Kukariri sio kuelewa mambo, Lengo ni kujibu Mtihani na walifanikiwa

Ni wangapi wamekariri biblia yote na quran yote lakini ndio watu wa kwanza kubaka na kulawiti watoto, Hujaona hayo?


Dear Sir/Madam
Reference is made as per your concerned titled above

Kindly be notified that you have to deal with matters concerning your family and not otherwise

Strictly measures will be undertaken if paragraph two not adhered

Yoursfaithfully

...............
Minister of Hunger and Anger
 
Kabudi alikuwa na GPA ya 4.9
2862842_2393187_20200508_170418 (1).jpg

Hapa akinywa kitu cha Madagascar
 
Mimi mwanasiasa tu maisha naona nyota nyota tu

Sasa wewe mwezangu unapata wapi nguvu za kujadili maisha ya watu huku ukijua kila mtu anabeba zigo lake mwenyewe

Huyo mkuu wa chuo Yeye mwenyewe hicho cheo amesaidiwa ili kupunguza ukali wa maisha, Mkuu wa chuo atatoa wapi nguvu za kuwafuta mabosi zake

Mbwa akianza Kumtishia na kubwekea bosi na watoto wake huwa anapigwa Risasi au hufahamu?

Tambua njaa, Njaa a, Njaa a
Njaa mbaya sana hasa inayoanzia kichwani kuelekea tumboni inakufanya kukosa nguvu na kupoteza heshima na kumbukumbu

Tambua kukariri mambo sio kipimo cha utendaji

Mtu alikariri vitabu akafaulu ni jambo la kawaida hata wewe ungekesha sana ungeweza, Tambua hao hawakulala walipokuwa shule, Muda wote walitumia kukariri mambo na kusoma masaa ishirini na nne,

Kukariri sio kuelewa mambo, Lengo ni kujibu Mtihani na walifanikiwa

Ni wangapi wamekariri biblia yote na quran yote lakini ndio watu wa kwanza kubaka na kulawiti watoto, Hujaona hayo?
Tukifanya shughuli zetu kwa namna hii, maendeleo ya nchi yetu yatachelewa sana. Upumbavu ni kitu cha kupigana nacho usiku na mchana.
 
Tukifanya shughuli zetu kwa namna hii, maendeleo ya nchi yetu yatachelewa sana. Upumbavu ni kitu cha kupigana nacho usiku na mchana.
Maendeleo yanaanzia kwa wewe kwanza binafsi halafu yanaelekea Taifani

Hawa viongozi unaowalaumu hawajashushwa toka mawinguni ni watoto waliolelewa na sisi wenyewe, Wewe na Mimi

Kama wewe na Mimi tuliwalea vibaya nyumbani Unategemea wakiwa viongozi watakuwa na maadili na uchungu wa nchi

Unaowalaumu mapadri na Mashehe kuwa wanabaka na kulawiti, Je hao mapadri na mashehe si wametoka kwenye Familia zetu wenyewe na tabia hizo si tuliiziona lakini hatukuchukua hatua mapema kwenye familia

Elimu ya vyuo vyetu si inajulikana ni mbovu sana lakini watu bado mnasema watoto wetu wakajifunze kwa kiswahili chuo kikuu

Kiswahili chenyewe hakina maneno ya kutosha kinasubiri watu wavumbue kitu Halafu waokoteze jina la kutoa

Huwezi pigana na upumbavu wakati hufahamu maana ya upumbavu na wala hujawahi kuona upumbavu

Huwezi pigana na Maendeleo wakati huna kipimo cha Maendeleo na wala hujui maana ya maendeleo

Lazima uweke na uwe na kipimo chako cha Maendeleo Halafu ndio uanze kudeal na Maendeleo, Tanzania tuna kipimo cha Maendeleo yetu?

Lazima uwe na kipimo cha upumbavu na ujinga ndio tutafute njia za kuwatoa watu upumbavu

Zamani upumbavu na ujinga wakati wa Nyerere mpaka Kikwete ulipimwa kwa watu wasiojua kusoma na kuandika tu? Je kwa sasa ni kipimo sahihi?
 
Maendeleo yanaanzia kwa wewe kwanza binafsi halafu yanaelekea Taifani

Hawa viongozi unaowalaumu hawajashushwa toka mawinguni ni watoto waliolelewa na sisi wenyewe, Wewe na Mimi

Kama wewe na Mimi tuliwalea vibaya nyumbani Unategemea wakiwa viongozi watakuwa na maadili na uchungu wa nchi

Unaowalaumu mapadri na Mashehe kuwa wanabaka na kulawiti, Je hao mapadri na mashehe si wametoka kwenye Familia zetu wenyewe na tabia hizo si tuliiziona lakini hatukuchukua hatua mapema kwenye familia

Elimu ya vyuo vyetu si inajulikana ni mbovu sana lakini watu bado mnasema watoto wetu wakajifunze kwa kiswahili chuo kikuu

Kiswahili chenyewe hakina maneno ya kutosha kinasubiri watu wavumbue kitu Halafu waokoteze jina la kutoa
Je wakati yanatokea hayo yote, tukae tu bila ya kuchukua hatua rekebu?
 
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka takribani 10 hivi tumeona wimbi la wasomi waki behave na ku-perform kwa namna inayoaibisha taaluma zao, kushusha thamani na integrity ya awards za taaluma walizopata na kuvitia aibu vyuo walivyosoma.

Mifano ni mingi sana ila kwa uchache, wapo ma Prof na ma Dr walioshindwa kuongea ata sentensi mbili za kiingereza kwa ufasaha, wapo ma-professor waliokiri kutolewa jalalani, yupo medical doctor aliyekataa chanjo ya covid 19 kwenye utawala mmoja na kuikubali kwenye utawala mwingine na sasa tunaye Dr. wa uchumi aisiyejua taxable transactions.

Haya yote yanayotokea vyuo vyetu viko kimya yaani kwa maana nyingine vinakiri kwamba hayo ndiyo mambo waliyokua wanawafundisha hao watu.

Kwa kulinda heshima na hadhi ya kitaaluma, vyuo vyetu vinapaswa kujitenga na huo upuuzi. na upumbavu. Vyuo vifanye maamuzi magumu ya kuwanyang'anya hao watu academic awards walizowapa.

Hii itakua fundisho kwa watu wote kwamba unapopewa academic award unapaswa kuishi kwa namna itakayokidhi matarajio ya hiyo award.
Hii ya inafanyika sana Germany kwendana na baadhi ya circumstances .
 
Hii ya inafanyika sana Germany kwendana na baadhi ya circumstances .
Hata hapa Tanzania, Sheria za University of Dar es Salaam zinasema hivyo na vyuo vingi duniani

Mtu yeyote akienda kinyume na maadili ya taaluma atapokonywa cheti chake cha chuo kikuu alichotunukiwa

Sasa ni mkuu gani wa chuo ana nguvu Tanzania ya kumpokanya cheti mfano Jakaya Mrisho Kikwete wa Udsm

Mkuu wa chuo anateuliwa na Rais wa nchi na mwenyekiti wa Bodi ya chuo anachaguliwa na Rais pia

Jibu lako ni!

Hakuna Taasisi imara na zinazojitegemea Tanzania
 
Hata hapa Tanzania, Sheria za University of Dar es Salaam zinasema hivyo na vyuo vingi duniani

Mtu yeyote akienda kinyume na maadili ya taaluma atapokonywa cheti chake cha chuo kikuu alichotunukiwa

Sasa ni mkuu gani wa chuo ana nguvu Tanzania ya kumpokanya cheti mfano Jakaya Mrisho Kikwete wa Udsm

Mkuu wa chuo anateuliwa na Rais wa nchi na mwenyekiti wa Bodi ya chuo anachaguliwa na Rais pia

Jibu lako ni!

Hakuna Taasisi imara na zinazojitegemea Tanzania
Sheria ikifuata mkondo wake kuna wanasiasa watabakia na cheti cha chekechea
 
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka takribani 10 hivi tumeona wimbi la wasomi waki behave na ku-perform kwa namna inayoaibisha taaluma zao, kushusha thamani na integrity ya awards za taaluma walizopata na kuvitia aibu vyuo walivyosoma.

Mifano ni mingi sana ila kwa uchache, wapo ma Prof na ma Dr walioshindwa kuongea ata sentensi mbili za kiingereza kwa ufasaha, wapo ma-professor waliokiri kutolewa jalalani, yupo medical doctor aliyekataa chanjo ya covid 19 kwenye utawala mmoja na kuikubali kwenye utawala mwingine na sasa tunaye Dr. wa uchumi aisiyejua taxable transactions.

Haya yote yanayotokea vyuo vyetu viko kimya yaani kwa maana nyingine vinakiri kwamba hayo ndiyo mambo waliyokua wanawafundisha hao watu.

Kwa kulinda heshima na hadhi ya kitaaluma, vyuo vyetu vinapaswa kujitenga na huo upuuzi. na upumbavu. Vyuo vifanye maamuzi magumu ya kuwanyang'anya hao watu academic awards walizowapa.

Hii itakua fundisho kwa watu wote kwamba unapopewa academic award unapaswa kuishi kwa namna itakayokidhi matarajio ya hiyo award.
In baniani voice
Kamba PhD
Gulu PhD
Ngwangwala Dr
Veve naveli wapi bana..[emoji23]
 
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka takribani 10 hivi tumeona wimbi la wasomi waki behave na ku-perform kwa namna inayoaibisha taaluma zao, kushusha thamani na integrity ya awards za taaluma walizopata na kuvitia aibu vyuo walivyosoma.

Mifano ni mingi sana ila kwa uchache, wapo ma Prof na ma Dr walioshindwa kuongea ata sentensi mbili za kiingereza kwa ufasaha, wapo ma-professor waliokiri kutolewa jalalani, yupo medical doctor aliyekataa chanjo ya covid 19 kwenye utawala mmoja na kuikubali kwenye utawala mwingine na sasa tunaye Dr. wa uchumi aisiyejua taxable transactions.

Haya yote yanayotokea vyuo vyetu viko kimya yaani kwa maana nyingine vinakiri kwamba hayo ndiyo mambo waliyokua wanawafundisha hao watu.

Kwa kulinda heshima na hadhi ya kitaaluma, vyuo vyetu vinapaswa kujitenga na huo upuuzi. na upumbavu. Vyuo vifanye maamuzi magumu ya kuwanyang'anya hao watu academic awards walizowapa.

Hii itakua fundisho kwa watu wote kwamba unapopewa academic award unapaswa kuishi kwa namna itakayokidhi matarajio ya hiyo award.


😂😂😂

Sio hivyo vikuu ndio vifungwe Kwa kuzalisha products zisizo nzuri?

Wakati mwingine hivyo vikuu ni utapeli mtupu!

Kingine, mtu amelipia Huduma ya kupata elimu akakidhi vigezo na kupewa cheti cha kumtambulisha, hicho cheti ni Haki yake Kwa sababu akishalipia Huduma.

Hoja yako ingekuwa nzuri Kama ungesema vyuo vinavyozalisha products za hovyo vifungwe.

Mwalimu ndiye anapaswa kulaumiwa pale Mwanafunzi anaposhindwa kufanya vizuri Kwa sababu lilikuwa jukumu lake kumfundisha mpaka aka-master.

Kwenye suala la elimu wakulaumiwa ni Mwalimu Kama alikubali kumfundisha MTU.
 
😂😂😂

Sio hivyo vikuu ndio vifungwe Kwa kuzalisha products zisizo nzuri?

Wakati mwingine hivyo vikuu ni utapeli mtupu!

Kingine, mtu amelipia Huduma ya kupata elimu akakidhi vigezo na kupewa cheti cha kumtambulisha, hicho cheti ni Haki yake Kwa sababu akishalipia Huduma.

Hoja yako ingekuwa nzuri Kama ungesema vyuo vinavyozalisha products za hovyo vifungwe.

Mwalimu ndiye anapaswa kulaumiwa pale Mwanafunzi anaposhindwa kufanya vizuri Kwa sababu lilikuwa jukumu lake kumfundisha mpaka aka-master.

Kwenye suala la elimu wakulaumiwa ni Mwalimu Kama alikubali kumfundisha MTU.
Una hoja ya msingi. Ila kwenye vyuo vikuu hawafundishi (teaching) wanatoa mihadhara. Lengo ni kuchochea udadisi na utafiti. Wataalamu watakuja kutujuza
 
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka takribani 10 hivi tumeona wimbi la wasomi waki behave na ku-perform kwa namna inayoaibisha taaluma zao, kushusha thamani na integrity ya awards za taaluma walizopata na kuvitia aibu vyuo walivyosoma.

Mifano ni mingi sana ila kwa uchache, wapo ma Prof na ma Dr walioshindwa kuongea ata sentensi mbili za kiingereza kwa ufasaha, wapo ma-professor waliokiri kutolewa jalalani, yupo medical doctor aliyekataa chanjo ya covid 19 kwenye utawala mmoja na kuikubali kwenye utawala mwingine na sasa tunaye Dr. wa uchumi aisiyejua taxable transactions.

Haya yote yanayotokea vyuo vyetu viko kimya yaani kwa maana nyingine vinakiri kwamba hayo ndiyo mambo waliyokua wanawafundisha hao watu.

Kwa kulinda heshima na hadhi ya kitaaluma, vyuo vyetu vinapaswa kujitenga na huo upuuzi. na upumbavu. Vyuo vifanye maamuzi magumu ya kuwanyang'anya hao watu academic awards walizowapa.

Hii itakua fundisho kwa watu wote kwamba unapopewa academic award unapaswa kuishi kwa namna itakayokidhi matarajio ya hiyo award.
Na wao vyuo itabidi warudishe pesa walizolipa
 
Na wao vyuo itabidi warudishe pesa walizolipa
Wamrudishie nani?hao viongozi kama siyo serikali wangekua wanachunga mifugo au vibaruai, hawakuwa na wazazi wenye uwezo wa kulipa ada
 
Mfumo wetu wa elimu ndiyo msingi mkuu wa shida zetu.

Wote mmeleta hoja za msingi ila ni muhimu kukumbuka kuwa matatizo ya elimu yetu yanaanzia toka huku ngazi za chini na ndani ya familia. Na tunachokitengeneza huko mashuleni na vyuoni ndiyo tunakuja kukipata serikalini na katika jamii yetu.

Kwa hiyo swali linabaki, upande upi utamrekebisha mwenzake wakati pande zote zina shida?
 
Back
Top Bottom