Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Aiseeh!🤣Si ndiyo kupendana hukohuko mama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeh!🤣Si ndiyo kupendana hukohuko mama?
Kwamba hujui tunafunga ndoa?Ooh, kumbe...bas nimechelewa kujua
Huyo mshkaji ni mtotoSiyo unambanaaa, mpaka anakosa hamu ya mahusiano kabisa. Sawa upo nae lakini kuna muda anapaswa apate wakati wa kuwa peke yake. Kuna muda mtu anakuwa na mambo yake binafsi, mawazo yake binafsi na huwezi kutaka kilakitu chake ukijue. Kila mtu ana private yake (mtakataa ila ndiyo ukweli).
Sasa ndugu, dk 2 nyingi mara video call, simu muda wote, mara hujibu sms Kwa wakati😳 nyiee, tena bora kidogo mwanamke akichungwa kidogo (nimesema kidogo kwa sababu tuna majukumu pia hivyo isiwe too much) lakini si mwanaume. Waweza dhani ndo waimarisha penzi kumbe ndiyo wamkimbiza.
Haya sasa msije sema sijawaambia.
Huyo hujampenda full stop!! Ndio maana akikutafuta unaona kero.🤣Si ndiyo kupendana hukohuko mama?
Mawasiliano imara ndio nguzo kuu ya mapenzi yalio hai. Ukiona mawasiliano baina yenu yamekufa bila sababu ya msingi ama unatumia nguvu sasa kumtafuta mwenzio yeye hakutafti jua hamna common goal tena. 🤣🤣🤣Binafsi sielewi Kwa Nini mtu anakasirika akipewa attention na bby wake🤣🤣🤣🤣mi napenda mapenzi ya mawasiliano Kwa sababu Nina experience ya mapenzi ya kutojuana ratiba yanakufaga natural death.....Kikubwa ni kujua ratiba za mwenzio basi
🤣 Atalalamika tuNgoja akuache wiki bila sms moja uone utakavyopagawa. Mtu akionyesha kukujali hata kwa sms tu, appreciate back, mpe ratiba yako ajue mda gani mnaweza kuongea..
..kuna namna mkiandika hivi ni kama sisi tunajigonga sana kweny(sie wenye mapenzi ya kukabana)
Naunga mkono hiiMawasiliano imara ndio nguzo kuu ya mapenzi yalio hai. Ukiona mawasiliano baina yenu yamekufa bila sababu ya msingi ama unatumia nguvu sasa kumtafuta mwenzio yeye hakutafti jua hamna common goal tena. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uko sahihi kuhusu mawasiliano. Pia napenda mawasiliano imara.
Na huo ndio ukweli.Mawasiliano imara ndio nguzo kuu ya mapenzi yalio hai. Ukiona mawasiliano baina yenu yamekufa bila sababu ya msingi ama unatumia nguvu sasa kumtafuta mwenzio yeye hakutafti jua hamna common goal tena. 🤣🤣🤣
Uko sahihi kuhusu mawasiliano. Pia napenda mawasiliano imara.
Uje uniambie kwenye ofisi yangu PM. Nina mambo ya kukushauriMdogo tu
🤣 Jifunze kujiheshimu vya kutosha kiasi cha kusema hapana kama hauna hisia na mtu. Usijilazimishe kuwa na mtu ikiwa nafsini hujamridhia hata awe Ginimbi au BhakresaMahisiano mapya hata bado sijampenda… ndio najitafuta ili nimpendee halafu ananiganda
Unakutana na mwanaume anakutafuta mara moja kwa wiki, si hutaki kero mkuu!! Ukiona kutafutwa ni kero, ujue kuna namna hujapenda tu.
Nakupa 🌷yako .....we learn from mistakesMaua yako haya hapa chukua 🌹🌷
Experiences ndio zinatuboresha, wenye kujitambua vyema kwenye mahusiano wengi wamepitia magumu mno wakabaki na somo linalowasaidia kwenye maisha ya mahusiano.
Nishatoa maoni yangu bebe, yaani mawasiliano is key!!
Dah afadhali umeelewa ninachomaanisha...Kikubwa tuingie kwenye.mahusiano na watu tuwapendao pasi na shaka itatuondolea kero ndogondogoHamna mtu ambaye hapendi kufanya hivyo ila je unayemfanyia hivyo amekushiba kiasi gani. Mtu kama hajakupenda vizuri lazma aone kero. Hata wewe kama mtu humfeel simu yake ni kero tu. Ila unayempenda asipokutafta lazma ujiskie vibaya ila akikucheki burudani ya nafsi 😀
Kumbe hata wewe nyanya tu, siku mbili unaanza kulalama huku unasema hutaki kubanwa🤣🤣Haha kama hatujawasiliana sku 2 nakuwa single