Ifikie hatua tuachiane nafasi

Ifikie hatua tuachiane nafasi

Siyo unambanaaa, mpaka anakosa hamu ya mahusiano kabisa. Sawa upo nae lakini kuna muda anapaswa apate wakati wa kuwa peke yake. Kuna muda mtu anakuwa na mambo yake binafsi, mawazo yake binafsi na huwezi kutaka kilakitu chake ukijue. Kila mtu ana private yake (mtakataa ila ndiyo ukweli).

Sasa ndugu, dk 2 nyingi mara video call, simu muda wote, mara hujibu sms Kwa wakati😳 nyiee, tena bora kidogo mwanamke akichungwa kidogo (nimesema kidogo kwa sababu tuna majukumu pia hivyo isiwe too much) lakini si mwanaume. Waweza dhani ndo waimarisha penzi kumbe ndiyo wamkimbiza.

Haya sasa msije sema sijawaambia.
Huyo mshkaji ni mtoto
 
Binafsi sielewi Kwa Nini mtu anakasirika akipewa attention na bby wake🤣🤣🤣🤣mi napenda mapenzi ya mawasiliano Kwa sababu Nina experience ya mapenzi ya kutojuana ratiba yanakufaga natural death.....Kikubwa ni kujua ratiba za mwenzio basi
Mawasiliano imara ndio nguzo kuu ya mapenzi yalio hai. Ukiona mawasiliano baina yenu yamekufa bila sababu ya msingi ama unatumia nguvu sasa kumtafuta mwenzio yeye hakutafti jua hamna common goal tena. 🤣🤣🤣

Uko sahihi kuhusu mawasiliano. Pia napenda mawasiliano imara.
 
Ngoja akuache wiki bila sms moja uone utakavyopagawa. Mtu akionyesha kukujali hata kwa sms tu, appreciate back, mpe ratiba yako ajue mda gani mnaweza kuongea..
..kuna namna mkiandika hivi ni kama sisi tunajigonga sana kweny(sie wenye mapenzi ya kukabana)
🤣 Atalalamika tu
 
Mawasiliano imara ndio nguzo kuu ya mapenzi yalio hai. Ukiona mawasiliano baina yenu yamekufa bila sababu ya msingi ama unatumia nguvu sasa kumtafuta mwenzio yeye hakutafti jua hamna common goal tena. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Uko sahihi kuhusu mawasiliano. Pia napenda mawasiliano imara.
Naunga mkono hii
 
Mawasiliano imara ndio nguzo kuu ya mapenzi yalio hai. Ukiona mawasiliano baina yenu yamekufa bila sababu ya msingi ama unatumia nguvu sasa kumtafuta mwenzio yeye hakutafti jua hamna common goal tena. 🤣🤣🤣

Uko sahihi kuhusu mawasiliano. Pia napenda mawasiliano imara.
Na huo ndio ukweli.

ERoni kuja utoe maoni😂😂
 
Mahisiano mapya hata bado sijampenda… ndio najitafuta ili nimpendee halafu ananiganda
🤣 Jifunze kujiheshimu vya kutosha kiasi cha kusema hapana kama hauna hisia na mtu. Usijilazimishe kuwa na mtu ikiwa nafsini hujamridhia hata awe Ginimbi au Bhakresa
 
Maua yako haya hapa chukua 🌹🌷

Experiences ndio zinatuboresha, wenye kujitambua vyema kwenye mahusiano wengi wamepitia magumu mno wakabaki na somo linalowasaidia kwenye maisha ya mahusiano.
Nakupa 🌷yako .....we learn from mistakes

Kinachowafelisha watu ni kurudia njia zile zile zilizowaangusha badala ya kukaa chini,kutafakari na kurekebisha makosa ya mahusiano ya nyuma
 
Hamna mtu ambaye hapendi kufanya hivyo ila je unayemfanyia hivyo amekushiba kiasi gani. Mtu kama hajakupenda vizuri lazma aone kero. Hata wewe kama mtu humfeel simu yake ni kero tu. Ila unayempenda asipokutafta lazma ujiskie vibaya ila akikucheki burudani ya nafsi 😀
Dah afadhali umeelewa ninachomaanisha...Kikubwa tuingie kwenye.mahusiano na watu tuwapendao pasi na shaka itatuondolea kero ndogondogo
 
Back
Top Bottom