Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Mi naamini kitu kimoja, wanawake wako vice versa haswa walioko kweny umri kuanzia 15-35....kuanzia 35 wanakuwaga waelewa hata ukimwoneshea interest wanaelewa, ila hawa wa huku chini ukimwoneshea interest bac ushampoteza anakuona kama fala hivi, kama Huna mambo ya kufanya, she will see you as a loser trying so hard to get her attention.Watu wamepinga
Zambi izo aseee!!Bwana Kwa hii comment Yako wadada wote kumbe tunaenjoy tu kupigiwa simu...Sasa Kuna intervaygani kati ya kuamka mpaka breakfast [emoji1787][emoji1787][emoji1787]?
Sema ukidate mtu ambaye humpendi na sio type Yako ndio atakuwa mzigo kwako,,,Kwa mfano huyo Xaxa inakuwajekuwaje mpaka uwe nae si atakuchosha sana....Au ndio kama shemeji yetu Shebby wa Zamaradi "Wanakuonea wivu mke wangu umekuza nyumba ya ULISI achana nao Wana ZALAU sana,wanataka niwatukane nipate ZAMBI"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ya kiutu uzima ndio ya kukaa siku mbili bila kuwasiliana au ipoje , kuwasiliana Kama Kuna mambo ya muhimu tuHivi mapenzi ya hivyo yapo siku hizi?
Ni mapenzi ya kitoto kwa kweli
Shida ya wengi wanaoanguka kwenye hii sekta ni kutokana na kutumia hisia zaidi kuliko akili.Nakupa 🌷yako .....we learn from mistakes
Kinachowafelisha watu ni kurudia njia zile zile zilizowaangusha badala ya kukaa chini,kutafakari na kurekebisha makosa ya mahusiano ya nyuma
We ni mkurya eeh?hivi ushajuaga utamu ule muda unaombwa msamaha unavyojifaragua Sasa mama mtu ,..Achana na sauti nzito ikuambie taratibu bby am sorry ooohMwanaume wa kuombaomba misamaha hatumtakii…. Kila kitu ninekosea wapi nisamehe tunaonaga ni kelele….kuna vikosa vidogovidogo hupaswi kutamka nisamehe na hata ukiomb usiwe unaulizauliza umenisamehee mwanaume una kazaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Atakuwa mmeru au mkibosho pia😂We ni mkurya eeh?hivi ushajuaga utamu ule muda unaombwa msamaha unavyojifaragua Sasa mama mtu ,..Achana na sauti nzito ikuambie taratibu bby am sorry oooh
Em tusemni ukweli,ivi mwanaume hakutafuti siku mbili ,akituma labda n kisms kimoja Cha usiku mwema, hajui kutoa ata ela ya vocha ,hajui Wala hajali lolote kuhusu wewe na yupo busy still anasema anakupenda, huo n upendo? Mawasiliano yananguvu mno aiseeAnha,sawa mkuu
Aisee wamepinda sana😁😁😁Atakuwa mmeru au mkibosho pia😂
Hivyo jau jau tuAhhhh we unawezana na mabaharia wenzako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vitoto vitakupa stress urudi utotoni[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Usichokijua ni kwamba mtu kukufuatilia ni matokeo ya signals ambazo umekuwa ukiziproject kwake. Mimi binafsi kuna nyakati nilikuwa mfuatiliaji mzuri sana ila ni baada ya kupigwa tukio na mpenzi wangu wa kwanza.Kwa mtazamo wangu, watu wanaopenda kuwafatilia wenzao Kwa kila kitu na kila muda awe mwanamke au mwanaume ni watu ambao naona Kama Wana matatizo ya akili.
Kiufupi sio watu wazuri wa kuwa nao kwenye mahusiano, haya matukio ya kuchinjana na kuuwana Kwa wapenzi ni moja ya matokeo ya kutopeana nafasi.
Mtu unafatiliwa asubuh unapotoka kulala Hadi usiku unapoingia kulala Aisee!
Ninachojua Kama binadamu Kuna wakati utahitaji uwe peke yako, ufanye Mambo yako vizuri na uyatafakari Kwa kina. Na Wala hakuna ulalazima wa hayo Mambo yako umwambie mkeo au mumeo.
Kupeana nafasi kunaboresha mahusiano Kwa watu wanaojitambua kinyume na Hapo ni majanga.
Jibu mujarabuKuwa bachelor hakuna atakae kufuatilia
Haiwezekani[emoji18]
Kama kubadilishana natanguliza form ya maombi. Naahidi kuwa chawa mzuri penzini🤣Huyu CAG nakupea tu mbona😁😁😁
Usichokijua ni kwamba mtu kukufuatilia ni matokeo ya signals ambazo umekuwa ukiziproject kwake. Mimi binafsi kuna nyakati nilikuwa mfuatiliaji mzuri sana ila ni baada ya kupigwa tukio na mpenzi wangu wa kwanza.
Nilikuwa sensitive sana na kuwa unrest kwa mwenendo wa wapenzi waliofuata kipindi ambacho walikuwa wakibadili response. Mfano kupunguza mawasiliano ghafla, kutokujali lazma utajiuliza kuna kitu hakipo sawa lazma ufuatilie. Mwisho unakuja kugundua kuna mtu kashaanza kujipachika kwenye penzi lenu.
Katika hali hiyo kufuatiliwa lazma na anayefuatiliwa hatapenda sababu atakuwa anaona kero au anabanwa banwa sababu ana mambo ya ajabu anafanya na hataki ajulikane.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamani,Je ninae badilishana nae Yuko tayari kubadilishiwa?Kama kubadilishana natanguliza form ya maombi. Naahidi kuwa chawa mzuri penzini🤣
Sio busara kuyaanika ila kifupi serious kadhaa ila casual yanazidi.Mpaka sasa umepitia mahusiano mangapi?