DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Linapokuja suala la mke wa mtu nakua na heshima sanaNo labda kama umebadilika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linapokuja suala la mke wa mtu nakua na heshima sanaNo labda kama umebadilika
Si wanawake wala wanaume,, tena nafuu wanawake,Mtihani dada
Mwanamke wa kunyaduliwa ata hongwa lawalawa tuh na kunasa, so mwanaume hakuna haja ya kujisifu sana eti unahudumiaYeah,Kuna ukweli hapo
Je ushauri alioutoa unafaa au haufai?Wewe umeoa /umeolewa yaani single mothers ndoa zimewashinda then mnatoa ushauri
Mwanamke kuombaomba ni tabia ya kimalaya.Ndoa za kwenye tamthilia na video za music zisituharibu......ndoa si kurushiana mito tu na magumu pia yapo.Mwanaume ukishindwa wajibika Kwa familia yako jiandae kuchitiwa au kuachika.....Kwa mwanamke vivyo hivyo umeolewa Kaa kifamilia,usista duh tupia kule.... wajibika ...itumikie ndoa ipasavyo.....tuache uvivu maana house gal nae ana Mwili anachoka pia.....ila wanaume wajibikeni basi,wake zenu wanaomba kweli vocha Kwa vijana., mwishowe wanawapea.
NB: Comments zote napokea.ila kumbukeni kurushiana mito mwisho uchumba.
Kama kuna mahali huwa sipendi kusikia ni mtu kuchit sababu ya kutotimiziwa mahitaji ( kama sio unyumba)Ndoa za kwenye tamthilia na video za music zisituharibu......ndoa si kurushiana mito tu na magumu pia yapo.Mwanaume ukishindwa wajibika Kwa familia yako jiandae kuchitiwa au kuachika.....Kwa mwanamke vivyo hivyo umeolewa Kaa kifamilia,usista duh tupia kule.... wajibika ...itumikie ndoa ipasavyo.....tuache uvivu maana house gal nae ana Mwili anachoka pia.....ila wanaume wajibikeni basi,wake zenu wanaomba kweli vocha Kwa vijana., mwishowe wanawapea.
NB: Comments zote napokea.ila kumbukeni kurushiana mito mwisho uchumba.
Samahani dada uko mkoa gani?Acha tu bro....afu jamaa anajisifu kabisa...eti wake za watu ndo michepuko yetu sikuhiz
[emoji2960]
Hello[emoji2960]
Huduma gani? To yeyeYeah wapo....lakini wanawake wengi hawahudumiwi ndani ya ndoa