Naomba nitumie videos PMdah nimetoka kuziona mda huu..hakika hii ni zaidi ya sodoma na gomora
imagine hawa wanakua marafiki wa watoto zako wa kiume[emoji17], kwa style hii wanaume tutazidi kubaki wachache sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu dunia imeisha yan siku ungejua yanayofanyika vyuoni kwa siri amna atakaemwangalia mwenzake usoni na amna mzazi atampeleka mwanae uko bila uangalizi maalumu na videos zipo nyingi mkuu hazijawa released,, tuvumilie bado kitambo kidogo bwana yesu aludi anyakue walio wake. Ameen
jana niliona watu wanadiscuss kuwa sura yake wameitoaYule shenanigans akili hana
Naskia kuna mwanasheria anaewasponseMi nilizicheki hivo video nikahisi kama napatwa na maseke kichwani nikaanza kuona wenge nikazifuta vijana wenyewe hawa hapa wanapakuwana vibaya vibaya.Ishu ni kwamba wote wametoka mikoani ila sifa mbaya zinalikumba jiji la dar.View attachment 2023415
nimezifuta mkuu..Pm iko wazi mkuu .tusaidiane kuangalia
Haya mambo sio ya kucheka ni kuhuzunika hasa ukiwa mzazi au ndugu familia yeyeto inaweza ikakumbwa na jinamizi hili.Mi nilizicheki hivo video nikahisi kama napatwa na maseke kichwani nikaanza kuona wenge nikazifuta vijana wenyewe hawa hapa wanapakuwana vibaya vibaya.Ishu ni kwamba wote wametoka mikoani ila sifa mbaya zinalikumba jiji la dar.View attachment 2023415
Hata Mimi baada ya kuziona tu nimezifuta mana ni uchafu mkubwanimezifuta mkuu..
Akili ndogo sana hii.Mmeona mikanda ya video ya vijana wa ifm walojirekodi?Ukisikia sodoma ndo hii sasa Hichi chuo kina matatizo gani?..
kama imeisha kwanini huyo bwana yesu asiikomboe na uwezo anao au ameenda wapiMkuu dunia imeisha yan siku ungejua yanayofanyika vyuoni kwa siri amna atakaemwangalia mwenzake usoni na amna mzazi atampeleka mwanae uko bila uangalizi maalumu na videos zipo nyingi mkuu hazijawa released,, tuvumilie bado kitambo kidogo bwana yesu aludi anyakue walio wake. Ameen
Tujue zikoje ili tutoe tathmini
Huyo dogo wako ana matatizo, kwasababu ifm pale hairuhusiwi kusuka, tena kuna dress code kabisa paleDah kuna dogo yupo pale mwaka jana alianza kusuka, mama mzazi inasemekana akawa anahisi kashapoteza.
Ila ulimwengu huu umekuwa uwanja wa vita sanaaa