Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

japo ni jukumu zito ulonipa mie pamoja na boss wangu tutahakikisha tunafanya kazi kama mlivyokusudia.
 
Yaaaaap my akanana! Umepatia kila kitu bila shaka mambo yatakwenda safi!
Alaf Filipo unaonaje awe mlizi?

 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahahahaha
aiseee Mamndenyi usije ukaweka mkuyati kwenye chakula!

Kwa kunipa kamati ya chakula una maana nitoe huduma high table au nisimamie maakuli?
nitahakikisha maharusi hasa bw harusi amepata lishe yakutosha ili usije ukaibuka na
malalamiko ya ukosefu wa nguvu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
kwa sura yangu, ulinzi nitasimamia barabara na kwa umakini wa hali ya juu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…