Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yah!muonekano wako unafaa kabisa kua flower,usijali karibu sana Arabela!
ahsante sana jaman
Ruttashobolwa yuko wap? Mbona cjaskia kauli yake? Halafu naomba nafasi yangu ichukuliwe na mtu mwngne.. Majukumu yamenitinga.
Ruttashobolwa yuko wap? Mbona cjaskia kauli yake? Halafu naomba nafasi yangu ichukuliwe na mtu mwngne.. Majukumu yamenitinga.
MWENYEKITI WA KAMATI:BABA V,MSAIDIZI WAKE MZABZAB!
KATIBU WA KAMATI: JUDGEMENT.MSAIDIZI WAKE NI DONN!
MTUNZA FEDHA: NDUKI,MSAIDIZI WAKE NI SLAVE!
MAJUKUMU:
MAPAMBO: Dena amsi &cacico
CHAKULA: Mamndenyi &Mwali
VINYWAJI: Nduki,Arushaone,Noahism,na Chilli
USAFIRI: Boflo,Nicas Mtei,Kaka kiiza,the secretary na The boss
STAREHE NA UPAPARAZI: Erickb52 na bishanga(kukusanya habari na matukio yatakayojiri)
FLOOR MANAGER: Asprin
flower girls:
- preta
-cielo
-smile
-arabela
-nicole
-paloma
-smile
hawa watakua mbele ya maharusi wakiongozwa na dada wa bi harus FIRST LADY na CHAMINGLADY!
imebidi kupanga mijukumu kabisa maana tuna muda mchache kufikia shughuli yenyewe,vipingamizi vilikua vingi!
KIPIPI utakua na jukuma la kuendesha maharusi!
EXCELLENT,KILITIME,GAZETI,CHARDAMS,CHIMBUVU na MTAMBUZI mtaendesha magari yatakayokuepo ya kubeba wazazi,ndugu,jamaa na marafiki!
mambo mengine kamati watamalizia:
asanteni na karibuni sana!
Kwa kunipa kamati ya chakula una maana nitoe huduma high table au nisimamie maakuli?
nitahakikisha maharusi hasa bw harusi amepata lishe yakutosha ili usije ukaibuka na
malalamiko ya ukosefu wa nguvu.
Na mimi ntawasaidia mapambiokamati ya maombi mimi Smiling Saint na Bujibuji
Kamati ya vinywaji si ntakufa na Captain Morgan na John Mtembezi?? Jamani mimi hapana hii kamati naeza jikuta namwaga radhi mbele ya mashem zangu cacico Mamndenyi charminglady Arabela na Kipipi?
Ntakua kwenye kamati ya usafiri ili nikomoe hako ka starlet ka Marry Hunbig
Worry out Nicas Mtei! Mambo yote nimeacha ashughulikie akanana wangu passion lady afanye kila kitu maana ana weza!
watoe hofu bby wangu maana walishaanza kunighasi,na nicas mtei chagua mtu umuachie majukumu