Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok!basi mjulishe maana mm tutagombana bure!
Afu wewe unaweza dodoshea viagra kwa bahati nzuri kwenye chakula cha bwana harusi, ninavyokufahamu...!!, sikuamini amini ujue...
Hahahahahahahahahahahaha
aiseee Mamndenyi usije ukaweka mkuyati kwenye chakula!
Kamati ya vinywaji si ntakufa na Captain Morgan na John Mtembezi?? Jamani mimi hapana hii kamati naeza jikuta namwaga radhi mbele ya mashem zangu cacico Mamndenyi charminglady Arabela na Kipipi?
Ntakua kwenye kamati ya usafiri ili nikomoe hako ka starlet ka Marry Hunbig
Vocal la nguvu...haijawahi kutokeaZion Daughter ntafurahi nikikusikia ukiimba!
Ruttashobolwa ni kuhakikisha hiyo siku kanana wako ataisimulia hadi mwisho wa maisha yake
kwa maana itakuwa bandika bandua hadi kuche.
Hahahahahahahahahahaha
cc passion lady
Ruttashobolwa umefanya vizuri kumpa nakala kanana wako ili
ajue huo moto wake
tena sijaona kamati ya afya na matibabu hapo juu.