"IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?

"IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?

Sijawahi kukupa like mkuu ila leo nimeitoa.kongole sana kwa bandiko hili la jumapili ya leo.

Nadhani Leo umeenda kifasihi zaidi ya uandishi.shida kubwa iliyopo kwa viongozi wetu ni kuendekeza tamaa na maslahi yao binafsi ndicho kilichotokea tangu mwanzo wa mchakato wa hiyo MoU,kuja IGA na inaenda HGA sasa.

Kwa akili za kawaida tu mtu mwenye akili timamu ukisoma hizo article za hiyo IGA unapata picha halisi ya viongozi tulionao kuwa ni sio vilaza tu Bali ni matutusa ya kupitiliza.

Serikali Haina watu wenye weledi ndio maana hawana hoja Wala utetezi wa kueleweka kuhusu hili la hao waarabu.
Mtu anaulizwa pungufu la mkataba yeye anataja faida zake utamuelewa huyo?
Serikali ina wanasheria vilaza tu na ndio maana wazee wakina mtikila waliyajua haya na wakawa wanashinda kesi dhidi ya serikali tu.

Wanasheria wajitokeze kesi zifunguliwe nyingi sisi raia hata kuchanga pesa tuko tayari hatutachoka ili hii serikali ya CCM tuipige chini wanashindwa kuheshimu wananchi wao hawa na wanajua hatuna Cha kuwafanya.

Mungu Yuko nasi na hili ndio jambo naona kaanza kutupa mwangaza wa kutokea.
 
Nchi inaongozwa na wale maadui nyerere aliowata, wajinga ,maskini na maradhi

UDSM nchio chuo pekeeee kuzalisha maprofesa wajinga kuwahi tokea tanzania hii,

Mtu anajijta profesa wa uchumi, critical thinking & reasoning kwake ni tatizo.
Mimi nadhani hawa maprofesa wana weledi mzuri tu. Njaa zao zinawafanya wajikombe kwa mtawala awweze kuteulwa.Wanategea mweye mamlaka ya uteuzi anataka nini, wanapitia humo humo
 
If possible, ungetoa tu huzo alama za kuuliza. Maana ni ukweli ulio wazi; tuna bunge kibogoyo na lililojaa vilaza, serikali yetu ni ya ajabu, tuna wanasheria vilaza, tunatawaliwa/ongzwa na watu wasio na sifa ya kuitwa watawala/viongozi, nk.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe!.

Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "IGA ya DPW I
imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!. Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, Mhe. Mbunge kilaza mmoja, akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, Spika ikambidi kuniita Dodoma mbele ya kamati, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza ndio maana natoa angalizo kabla.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Wakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba kwa tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa!.

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!.

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, na Prof. Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, ikakutwa ina matatizo lukuki, halafu wanatuletea wanasheria vilaza tuu waliofeli LST, hivyo wala sio mawakili, kutuongozea majadiliano ya hii IGA, wanaibuka na kusema hii IGA ni nzuri na haina matatizo yoyote!, kweli?!.

Kule nyuma niliwahi kuuliza
sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakili, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria Vilaza ni Watu Wabaya Sana", ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!.

  1. Naomba nianze na Serikali yetu inajua kabisa kuwa Bandari ina falls kwenye sheria hii iliwazaje kuruhusu hii IGA yenye vipengele vinavyokwenda kinyume cha sheria zetu?.
  2. Sheria ikiishapitishwa ni ipo, kupitisha jambo lolote linanalokwenda kinyume cha sheria iliyopo, jambo hilo ni illegality, hivyo hii IGA hapo ilipo it's illegal!.
  3. Jambo ambalo lingepaswa kufanyika ni kwa serikali yetu kubadili kwanza sheria zetu kisha ndio kuipitisha hii IGA!.
  4. Kwenye hii IGA, serikali yetu imeingia makubaliano na Dubai, ambayo sio sovereign, kukitokea mgogoro wa kushitaki kimataifa, Tanzania tunaweza kushitakiwa kwa international instruments, kwasababu Tanzania ni member wa Geneva Convention, lakini kama DPW ndio watatukosea, Tanzania tutawashitaki wapi wakati Dubai sio member wa Geneva Convention, member kule ni UAE!. Kwenye ile IGA, hakuna popote UAE, imetoa Power of Attorney kwa Dubai!, hivyo Tanzania kama nchi, tumeingia mkataba na an entity which has no capacity to contract a treaty!. DPW wangesainiana tuu na TPA na kumalizana juu kwa juu!.
  5. Ile 2017 wakati tunapitisha sheria hii, mimi niliuliza humu humu kuwa Tanzania tutaweza?.
  6. Sasa nije kwa Bunge letu Tukufu, kwanye mikataba ya kimataifa, international treaties, the role of Bunge ni kuridhia tuu, yaani ratification, kui ratify ili kui domesticate kuwa sehemu ya sheria zetu.
  7. Hiki ndicho Bunge letu Tukufu limekifanya kwenye hii IGA!. Sasa uliita Bunge letu hili ni Bunge la vilaza, utakuwa unalionea?.
  8. Lilichofanya Bunge letu ni ku rubber stamp tuu hii IGA!, ukiliita Bunge letu Tukufu ni Bunge rubber stamp utakuwa unalionea?!.
  9. Kwa mujibu wa sheria hii, the role of Bunge sio ratification na ku rubber stamp, the role of Bunge ni ku revives na kutoa mapendekezo!.
  10. Kabla waheshimiwa wabunge wetu kujadili mkataba huu, sisi washauri wa bure tuliwashauri kabla!. Kwa vile walifanya kinyume, tuna haki ya kuwabalasa!.
  11. Hii sio mara ya kwanza kwa Bunge letu kupitisha vitu vya ajabu ajabu kitutusa!. Kwenye ule mgogoro wa CAG, Prof.Assad, Bunge letu lilipitisha Azimio batili, nikawaambia Azimio lile ni batili, Bunge wakakomaa wakapitisha kwa mbwembwe!.
  12. Baada ya kupitisha nikawaeleza kuwa ni lazima waipokee ripoti ya CAG wasipoipokea Bunge linavunjwa!.
  13. Ndipo lile Azimio lao batili wakaliondoa kimya kimya na wakaipokea Ripoti ya CAG kimya kimya!. Sasa Bunge la aina hii ukiliita Bunge full of vilazaz kwa lugha ya rafiki yangu Le Mutuz (RIP) Bunge la mbululaz!, tutakuwa tunawaonea waheshimiwa wabunge wetu?.
  14. Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.
  15. Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala
Hitimisho
Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Kuhusu bunge letu kitu kinacho waathiri hata leo hii waonekane kama Vilaza niutamaduni waliojijengea, utamaduni wa ndiooo! Hata pale paspositahili kuunga hoja mkono

Matokeo yake wameunga hoja mkono yakupitisha dubwana bila kujuwa
Kuwa kunawakati dubwana hilo hata wao linaweza kuwatafuna tena bila huruma!
Nandio maana leo hii hata wale walio lipitisha hili dubwana wanashangaa
Nivipi walipigwa upofu wa akili hata wakashindwa kuitafsiri IGA! yaani hata tuliyo wategemea wauondeo huu mshangao naopia wanashangaaa🤔
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe!.

Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "IGA ya DPW I
imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!. Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, Mhe. Mbunge kilaza mmoja, akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, Spika ikambidi kuniita Dodoma mbele ya kamati, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza ndio maana natoa angalizo kabla.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Wakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba kwa tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa!.

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!.

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, na Prof. Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, ikakutwa ina matatizo lukuki, halafu wanatuletea wanasheria vilaza tuu waliofeli LST, hivyo wala sio mawakili, kutuongozea majadiliano ya hii IGA, wanaibuka na kusema hii IGA ni nzuri na haina matatizo yoyote!, kweli?!.

Kule nyuma niliwahi kuuliza
sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakili, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria Vilaza ni Watu Wabaya Sana", ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!.

  1. Naomba nianze na Serikali yetu inajua kabisa kuwa Bandari ina falls kwenye sheria hii iliwazaje kuruhusu hii IGA yenye vipengele vinavyokwenda kinyume cha sheria zetu?.
  2. Sheria ikiishapitishwa ni ipo, kupitisha jambo lolote linanalokwenda kinyume cha sheria iliyopo, jambo hilo ni illegality, hivyo hii IGA hapo ilipo it's illegal!.
  3. Jambo ambalo lingepaswa kufanyika ni kwa serikali yetu kubadili kwanza sheria zetu kisha ndio kuipitisha hii IGA!.
  4. Kwenye hii IGA, serikali yetu imeingia makubaliano na Dubai, ambayo sio sovereign, kukitokea mgogoro wa kushitaki kimataifa, Tanzania tunaweza kushitakiwa kwa international instruments, kwasababu Tanzania ni member wa Geneva Convention, lakini kama DPW ndio watatukosea, Tanzania tutawashitaki wapi wakati Dubai sio member wa Geneva Convention, member kule ni UAE!. Kwenye ile IGA, hakuna popote UAE, imetoa Power of Attorney kwa Dubai!, hivyo Tanzania kama nchi, tumeingia mkataba na an entity which has no capacity to contract a treaty!. DPW wangesainiana tuu na TPA na kumalizana juu kwa juu!.
  5. Ile 2017 wakati tunapitisha sheria hii, mimi niliuliza humu humu kuwa Tanzania tutaweza?.
  6. Sasa nije kwa Bunge letu Tukufu, kwanye mikataba ya kimataifa, international treaties, the role of Bunge ni kuridhia tuu, yaani ratification, kui ratify ili kui domesticate kuwa sehemu ya sheria zetu.
  7. Hiki ndicho Bunge letu Tukufu limekifanya kwenye hii IGA!. Sasa uliita Bunge letu hili ni Bunge la vilaza, utakuwa unalionea?.
  8. Lilichofanya Bunge letu ni ku rubber stamp tuu hii IGA!, ukiliita Bunge letu Tukufu ni Bunge rubber stamp utakuwa unalionea?!.
  9. Kwa mujibu wa sheria hii, the role of Bunge sio ratification na ku rubber stamp, the role of Bunge ni ku revives na kutoa mapendekezo!.
  10. Kabla waheshimiwa wabunge wetu kujadili mkataba huu, sisi washauri wa bure tuliwashauri kabla!. Kwa vile walifanya kinyume, tuna haki ya kuwabalasa!.
  11. Hii sio mara ya kwanza kwa Bunge letu kupitisha vitu vya ajabu ajabu kitutusa!. Kwenye ule mgogoro wa CAG, Prof.Assad, Bunge letu lilipitisha Azimio batili, nikawaambia Azimio lile ni batili, Bunge wakakomaa wakapitisha kwa mbwembwe!.
  12. Baada ya kupitisha nikawaeleza kuwa ni lazima waipokee ripoti ya CAG wasipoipokea Bunge linavunjwa!.
  13. Ndipo lile Azimio lao batili wakaliondoa kimya kimya na wakaipokea Ripoti ya CAG kimya kimya!. Sasa Bunge la aina hii ukiliita Bunge full of vilazaz kwa lugha ya rafiki yangu Le Mutuz (RIP) Bunge la mbululaz!, tutakuwa tunawaonea waheshimiwa wabunge wetu?.
  14. Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.
  15. Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala
Hitimisho
Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Ila Paskali wewe Mungu amekubariki sana kwenye eneo la kuandika. Achilia mbali kuwa taaluma yako
 
Serikali kama inasikia wachukue huu ushauri serious; wapeleke watu kusoma business law haraka sana.

Kama agreement nyepesi kama hii isiyo na consideration wanasheria inawasumbua. Siku wakiwekewea full commercial agreement mtu kakopa sijui wapi mtaji wenyewe, kuna interest za mikopo, interest za inflation, FV ya hela yake, muda wa kurudisha, muda wa kuvuna, changes in external circumstances zinazo athari biashara, changes zinazoathiri interest rate ya mkopo, utakutana na weighted average costs of capital, sensitivity analysis and so on.

Huko kwenye ‘consideration’ kama una uelewa wa ‘advanced financial management’ mjomba utatandikwa utie akili na jamaa watavuna kwa miaka mingi sana huku unawaangalia; ukivunja mkataba mnakutana arbitration.

Kama wanasheria wanashindwa kuelewa njia moja wapo ya ku circumvent sheria zako ni ‘exclusion clause’ na zipo hapo kwenye IGA, kwanza hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza Tanzania na kukubali hiyo sheria ya 2017 it doesn’t protect their investment nadhani ndio sababu ya kuibadili.

Pelekani watu kusoma maswala ya mikataba ya kibiashara hao watu hakuna Tanzania na unapata picha kwanini nchi imekuwa ikishindwa kesi ata za kushinda.

Hiyo IGA aina shida yoyote.
 
huu ni mjadala mpana sana, wewe umechambua upande wa kisheria lakini Kuna pande nyingine ingawa zinagusa pande zote. Kuna sheria za manunuzi je zimefatwa kama kutangaza zabuni na kushindanisha makampuni tofauti?
Tuje kwenye katiba yetu, tuna mamlaka ya bandari ya muungano lakini tumeambiwa haigusi bandari za Zanzibar. Kama mamlaka ya bandari yanaishia bara kwanini wizara ipewe wazanzibar kuongoza? Kwanini mikataba isimamiwe na kusainiwa na wazanzibar bila kuhusisha bandari za upande mwingine wa Muungano kama kweli Zina faida kama wanavyosema.
Kingine tumeungana na watu wabinafsi ambao Chao Chao na Cha kwetu Cha wote.
Walikataa na kuondoa swala la gesi na mafuta kuwa la muungano baada ya kuhisi kuwa Wana hivyo kuwaza rais akitokea bara hataweza kulinda maslahi Yao ;lakini Samia alipoingia madarakani mkataba wa kwanza kusaini ulikuwa na serikali ya Kenya wa kujenga Bomba la gesi. kwanini na sisi tusiwe na mashaka na wao kusaini mikataba inayohusu rasilimali zetu.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe!.

Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "Hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!". Swali ni Je Bunge letu nalo, lucha kushehenezwa na wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia, licha ya kuwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, nayo ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya ajabu hivi ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted or detected na ika sail through?!.

Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, Mhe. Mbunge kilaza mmoja, akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, akanishitaki kwa Spika, nikaitwa Dodoma kuhojiwa mbele ya kamati fulani!, nikaitika wito, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale!, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza popote ndio maana natoa angalizo hili mapema kabisa, hapa sijatoa statement yoyote ni nimeuliza tuu maswali!.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Wakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba kwa tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa!.

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!.

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, na Prof. Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, ikakutwa ina matatizo lukuki, halafu wanatuletea wanasheria vilaza tuu waliofeli LST, hivyo wala sio mawakili, kutuongozea majadiliano ya hii IGA, wanaibuka na kusema hii IGA ni nzuri na haina matatizo yoyote!, kweli?!.

Kule nyuma niliwahi kuuliza
sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakili, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria Vilaza ni Watu Wabaya Sana", ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!.

  1. Naomba nianze na Serikali yetu inajua kabisa kuwa Bandari ina falls kwenye sheria hii iliwazaje kuruhusu hii IGA yenye vipengele vinavyokwenda kinyume cha sheria zetu?.
  2. Sheria ikiishapitishwa ni ipo, kupitisha jambo lolote linanalokwenda kinyume cha sheria iliyopo, jambo hilo ni illegality, hivyo hii IGA hapo ilipo it's illegal!.
  3. Jambo ambalo lingepaswa kufanyika ni kwa serikali yetu kubadili kwanza sheria zetu kisha ndio kuipitisha hii IGA!.
  4. Kwenye hii IGA, serikali yetu imeingia makubaliano na Dubai, ambayo sio sovereign, kukitokea mgogoro wa kushitaki kimataifa, Tanzania tunaweza kushitakiwa kwa international instruments, kwasababu Tanzania ni member wa Geneva Convention, lakini kama DPW ndio watatukosea, Tanzania tutawashitaki wapi wakati Dubai sio member wa Geneva Convention, member kule ni UAE!. Kwenye ile IGA, hakuna popote UAE, imetoa Power of Attorney kwa Dubai!, hivyo Tanzania kama nchi, tumeingia mkataba na an entity which has no capacity to contract a treaty!. DPW wangesainiana tuu na TPA na kumalizana juu kwa juu!.
  5. Ile 2017 wakati tunapitisha sheria hii, mimi niliuliza humu humu kuwa Tanzania tutaweza?.
  6. Sasa nije kwa Bunge letu Tukufu, kwanye mikataba ya kimataifa, international treaties, the role of Bunge ni kuridhia tuu, yaani ratification, kui ratify ili kui domesticate kuwa sehemu ya sheria zetu.
  7. Hiki ndicho Bunge letu Tukufu limekifanya kwenye hii IGA!. Sasa uliita Bunge letu hili ni Bunge la vilaza, utakuwa unalionea?.
  8. Lilichofanya Bunge letu ni ku rubber stamp tuu hii IGA!, ukiliita Bunge letu Tukufu ni Bunge rubber stamp utakuwa unalionea?!.
  9. Kwa mujibu wa sheria hii, the role of Bunge sio ratification na ku rubber stamp, the role of Bunge ni ku revives na kutoa mapendekezo!.
  10. Kabla waheshimiwa wabunge wetu kujadili mkataba huu, sisi washauri wa bure tuliwashauri kabla!. Kwa vile walifanya kinyume, tuna haki ya kuwabalasa!.
  11. Hii sio mara ya kwanza kwa Bunge letu kupitisha vitu vya ajabu ajabu kitutusa!. Kwenye ule mgogoro wa CAG, Prof.Assad, Bunge letu lilipitisha Azimio batili, nikawaambia Azimio lile ni batili, Bunge wakakomaa wakapitisha kwa mbwembwe!.
  12. Baada ya kupitisha nikawaeleza kuwa ni lazima waipokee ripoti ya CAG wasipoipokea Bunge linavunjwa!.
  13. Ndipo lile Azimio lao batili wakaliondoa kimya kimya na wakaipokea Ripoti ya CAG kimya kimya!. Sasa Bunge la aina hii ukiliita Bunge full of vilazaz kwa lugha ya rafiki yangu Le Mutuz (RIP) Bunge la mbululaz!, tutakuwa tunawaonea waheshimiwa wabunge wetu?.
  14. Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.
  15. Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala
Hitimisho
Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Mkuu sio vilasa ni rushwa, walichokifanya wanajua.
 
Serikali kama inasikia wachukue huu ushauri huu serious; wapeleke watu kusoma business law haraka sana.

Kama agreement nyepesi kama hii isiyo na consideration wanasheria inawasumbua. Siku wakiwekewea full commercial agreement mtu kakopa sijui wapi mtaji wenyewe, kuna interest za mikopo, interest za inflation, FV ya hela yake, muda wa kurudisha, muda wa kuvuna, changes in external circumstances zinazo athari biashara, changes zinazoathiri interest rate ya mkopo, utakutana na weighted average costs of capital, sensitivity analysis and so on.

Huko kwenye ‘consideration’ kama una uelewa wa ‘advanced financial management’ mjomba utatandikwa utie akili na jamaa watavuna kwa miaka mingi sana huku unawaangalia; ukivunja mkataba mnakutana arbitration.

Kama wanasheria wanashindwa kuelewa njia moja wapo ya ku circumvent sheria zako ni ‘exclusion clause’ na zipo hapo kwenye IGA, kwanza hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza Tanzania na kukubali hiyo sheria ya 2017 it doesn’t protect their investment nadhani ndio sababu ya kuibadili.

Pelekani watu kusoma maswala ya mikataba ya kibiashara hao watu hakuna Tanzania na unapata picha kwanini nchi imekuwa ikishindwa kesi ata za kushinda.

Hiyo IGA aina shida yoyote.
wenzetu timu ya , majadiliano inahusisha watu wa gani tofauti lakini sisi tunabeba wanasheria Tena wasio wabobevu? timu yetu ilitakiwa kuwa na wataamu wa fedha na uchumi, wanasheria wabobevu wa mambo ya ardhi, investment na wabobevu wa mambo ya Kodi.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe!.

Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "Hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!". Swali ni Je Bunge letu nalo, lucha kushehenezwa na wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia, licha ya kuwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, nayo ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya ajabu hivi ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted or detected na ika sail through?!.

Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, Mhe. Mbunge kilaza mmoja, akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, akanishitaki kwa Spika, nikaitwa Dodoma kuhojiwa mbele ya kamati fulani!, nikaitika wito, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale!, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza popote ndio maana natoa angalizo hili mapema kabisa, hapa sijatoa statement yoyote ni nimeuliza tuu maswali!.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Wakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba kwa tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa!.

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!.

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, na Prof. Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, ikakutwa ina matatizo lukuki, halafu wanatuletea wanasheria vilaza tuu waliofeli LST, hivyo wala sio mawakili, kutuongozea majadiliano ya hii IGA, wanaibuka na kusema hii IGA ni nzuri na haina matatizo yoyote!, kweli?!.

Kule nyuma niliwahi kuuliza
sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakili, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria Vilaza ni Watu Wabaya Sana", ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!.

  1. Naomba nianze na Serikali yetu inajua kabisa kuwa Bandari ina falls kwenye sheria hii iliwazaje kuruhusu hii IGA yenye vipengele vinavyokwenda kinyume cha sheria zetu?.
  2. Sheria ikiishapitishwa ni ipo, kupitisha jambo lolote linanalokwenda kinyume cha sheria iliyopo, jambo hilo ni illegality, hivyo hii IGA hapo ilipo it's illegal!.
  3. Jambo ambalo lingepaswa kufanyika ni kwa serikali yetu kubadili kwanza sheria zetu kisha ndio kuipitisha hii IGA!.
  4. Kwenye hii IGA, serikali yetu imeingia makubaliano na Dubai, ambayo sio sovereign, kukitokea mgogoro wa kushitaki kimataifa, Tanzania tunaweza kushitakiwa kwa international instruments, kwasababu Tanzania ni member wa Geneva Convention, lakini kama DPW ndio watatukosea, Tanzania tutawashitaki wapi wakati Dubai sio member wa Geneva Convention, member kule ni UAE!. Kwenye ile IGA, hakuna popote UAE, imetoa Power of Attorney kwa Dubai!, hivyo Tanzania kama nchi, tumeingia mkataba na an entity which has no capacity to contract a treaty!. DPW wangesainiana tuu na TPA na kumalizana juu kwa juu!.
  5. Ile 2017 wakati tunapitisha sheria hii, mimi niliuliza humu humu kuwa Tanzania tutaweza?.
  6. Sasa nije kwa Bunge letu Tukufu, kwanye mikataba ya kimataifa, international treaties, the role of Bunge ni kuridhia tuu, yaani ratification, kui ratify ili kui domesticate kuwa sehemu ya sheria zetu.
  7. Hiki ndicho Bunge letu Tukufu limekifanya kwenye hii IGA!. Sasa uliita Bunge letu hili ni Bunge la vilaza, utakuwa unalionea?.
  8. Lilichofanya Bunge letu ni ku rubber stamp tuu hii IGA!, ukiliita Bunge letu Tukufu ni Bunge rubber stamp utakuwa unalionea?!.
  9. Kwa mujibu wa sheria hii, the role of Bunge sio ratification na ku rubber stamp, the role of Bunge ni ku revives na kutoa mapendekezo!.
  10. Kabla waheshimiwa wabunge wetu kujadili mkataba huu, sisi washauri wa bure tuliwashauri kabla!. Kwa vile walifanya kinyume, tuna haki ya kuwabalasa!.
  11. Hii sio mara ya kwanza kwa Bunge letu kupitisha vitu vya ajabu ajabu kitutusa!. Kwenye ule mgogoro wa CAG, Prof.Assad, Bunge letu lilipitisha Azimio batili, nikawaambia Azimio lile ni batili, Bunge wakakomaa wakapitisha kwa mbwembwe!.
  12. Baada ya kupitisha nikawaeleza kuwa ni lazima waipokee ripoti ya CAG wasipoipokea Bunge linavunjwa!.
  13. Ndipo lile Azimio lao batili wakaliondoa kimya kimya na wakaipokea Ripoti ya CAG kimya kimya!. Sasa Bunge la aina hii ukiliita Bunge full of vilazaz kwa lugha ya rafiki yangu Le Mutuz (RIP) Bunge la mbululaz!, tutakuwa tunawaonea waheshimiwa wabunge wetu?.
  14. Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.
  15. Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala
Hitimisho
Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Kiongozi wa bunge anasema watu wanaokosoa huo mkataba hawajawahi hata kupitisha fulana bandarini, ìnaonekana wewe ni miongoni mwao

Mwanasheria wa wizara anasema Proff. Shivji anaposema Tanzania tuna wajibu na DPW wana haki kwenye huu mkataba ni kwasababu ameshindwa kuelewa sijui wenyewe mnaita "birateral" na "hosting" anajua mwenyewe. Yaani kwa lugha rahisi anasema Shivji anaongea jambo asilolijua. Anataka kutwambia Prof. Shivji naye amekua muimba ngonjera tu kama kina Kibajaji hana anachoongea cha maana

Hamza Johari, mwenyekiti aliyesimamia mchakato mzima wa mkataba huo yeye anasema hiyo IGA mnayopigia kelele si lolote si chochote kama TPA na DPW watashindwana kwenye terms zao za kuanza biashara sijui upangishaji na hiyo IGA itakuwa imeishia hapo hapo na DPW hatutaiona tena na hatutadaiwa chochote!

Sasa hapa mjiulize, kama hivyo ndivyo ilivyo kulikuwa na sababu gani ya kujihusisha na hiyo IGA yao. Kwanini wasingewaacha TPA na DPW wamalizane kivyao serikali ifanye monitaring tu. Sasa wewe endelea kumtafuta kilaza ni nani

Wakati nyie mnasema Bandari zote zitakuwa chini ya DPW Bwana Johari yeye anasema ni bandari moja tu ya Dsm na hata hiyo ni kwa asilimia nane tu! Tena wataalamu wa bandari ya Mtwala wanalaumu kuachwa. Yaani kiongozi aliyeongoza mjadala anawashangaa nyie hiyo "exclussivity" ya bandari zote za bahari na maziwa mnayosema imewekwa wapi kwenye hilo andiko? Yeye hakumbuki kama kwenye mjadala aliouongoza hilo swala limo na anawashangaa kweli kweli nyie pamoja na Bwana Chongolo, "nahodha" wa CCM kwa kueneza uongo.

Rais anasema wàkati nyie mnabishana huku jirani zenu wamekimbilia huko huko ili wa-take advantage ya malumbano yenu na bendera yao imebandikwa kwenye jumba lile lile bendera yenu na sura yake vilipobandikwa. Yaani Rais hajui kuwa lile ni tukio la 2019 na letu ni la 2022 hivyo anawasihi muache malumbano badala yake muikimbilie fursa

Sasa wewe endelea kuhoji nani kilaza tu, mapendekezo ya tume ya haki jinai ndio kwanza yamewasilishwa jana hayajaanza kutekelezwa usije ukisumbua familia yako na watu wanaokutegemea
 
Nakuunga mkono [emoji817] taifa lina wanasheria either ni vilaza au wala rushwa? Hakuna mtu mmbaya kama mwanasheria mlarushwa! Yaani unakuta IGA imeandika waziwazi kuwa si uuzwaji wa bandari tu bali na SGR imeuzwa (transport corridor) itakuwa mali ya DP World??? Wanasheria vilaza! Sijui kama kidato cha nne walipata div 4 au 0!
 
Halafu badala ya kujibu hoja kwa hoja wa vipengele wao wanajibu kisiasa tu...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
HOJA NZITO HIVI ZINAJIBIWA NA CHAWA, SHOGA, CHOKO, KIBAJAJI!
 
wenzetu timu ya , majadiliano inahusisha watu wa gani tofauti lakini sisi tunabeba wanasheria Tena wasio wabobevu? timu yetu ilitakiwa kuwa na wataamu wa fedha na uchumi, wanasheria wabobevu wa mambo ya ardhi, investment na wabobevu wa mambo ya Kodi.
Huko bado, hayo yanafanyika kwenye project agreements. Ndio maana ata kwenye hiyo IGA wanakueleza mikataba hiyo itakuwa siri baada ya kukubaliana.

Ndio tuelewe hiyo IGA aina maajabu yoyote out of the ordinary as far as treaties go. Sasa kama yaliomo humo wanasheria wetu yanawasumbua huko kwenye mikataba ya uwekezaji watakutana na scenarios za ‘probability analysis’ ya mrejesho wa investment on different projection scenarios. Kama uyaelewi hayo mambo investment inayorudisha hela yake kwa miaka 10 unaweza kuwekewa mazingira ikageuka 20 years.

Kwa team ile aliyoenda nayo waziri juzi sijaona mtu pale wa kuingia mikataba ya concession agreements, walau Kakoko ulikuwa ukimsikiliza unaona anauelewa mpana wa maswala ya investment. Hope team iliyokuwa chini yake bado ipo bandarini au serikalini.

Iyo IGA sio lolote, sinema hipo kwenye mikataba inayofuata.
 
Mkuu Pascal Mayalla , Bams , The Boss , Lord denning , Petro E. Mselewa , Mama Amon , voicer , Mshana Jr

Huyo 'agent' wa Dubai kwenye IGA... "to act individually'' inamaanisha nini kisheria?

Doc2.jpg


-Kaveli-
 
Back
Top Bottom