"IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?

Wewe umeona huwezi kuteuliwa tena umewageuka ma CCM wenzio ...angalizo Sipika ameagiza ma Chifu wawaloge Tuu.
 
Nchi inaongozwa na wale maadui nyerere aliowata, wajinga ,maskini na maradhi

UDSM nchio chuo pekeeee kuzalisha maprofesa wajinga kuwahi tokea tanzania hii,

Mtu anajijta profesa wa uchumi, critical thinking & reasoning kwake ni tatizo.
we hiyo critical thinking hata unajua maana yake. Hivi mpumbavu km wewe unaweza kumtahini profesa? We ni km ngedere tu umejaa wivu kwasababu huna uwezo wa kufikia level hizo utabaki kuzisikia kwa watu
 
Mkuu mtu hawezi kueleweka hadi amekufa ndiyo maana waswahili waksema hujafa hujaumbika
 
Paskal,
Uelewa wetu wa IGA ni zero kwa wale wanaopinga na wanao kubali sawia IGA ya DP World. Bahati mbaya zaidi hawataki kukubali, nashukuru wewe umekubali. Mtu mmoja kaelekeza watu waasome wanazuoni hawa ila kwa uvivu hakuna aliyeelekeza macho huko.
 

Attachments

Una hoja murua kabisa!
 
Bunge la Hovyo kabisa kuwahi kutokea ni kazi ya Mikono ya Mwendakuzimu Jiwe.
Jiwe atalaaniwa Vizazi na Vizazi Kwa kuunda hili Bunge lililosheheni Ma Mbumbumbu ambao walikuwa wanaenda Kubadili Katiba na Kumfanya Jiwe awe Raisi wa Milele / Sultani
 
Majibu ya hoja zenu anayo Padri Slaa. Tafuta clips zake
 
Bunge la Hovyo kabisa kuwahi kutokea ni kazi ya Mikono ya Mwendakuzimu Jiwe.
Jiwe atalaaniwa Vizazi na Vizazi Kwa kuunda hili Bunge lililosheheni Ma Mbumbumbu ambao walikuwa wanaenda Kubadili Katiba na Kumfanya Jiwe awe Raisi wa Milele / Sultani
Ni la hovyo tu kwa vile Mbowe, Lema, Sugu na Msigwa et al hawamo; wangekuwemo wangesema haya haya yasiyo na misingi wa vifungu vya sheria vya kuyabeba ?
Mfano wamesema Dubai haina hadhi ya nchi na wamejibiwa na serikali kuwa ibara ya 116 ya katiba ya UAE inawapa hiyo nafasi. Hata TLS wamesema hawana ufahamu wa hili - ajabu.
 
Mbali ni bidhaa fake, lakini pia tu fake human beings na wengi wanapatikana katika ile Banana Republic barani Afrika.
 
Paskali
msikilizehuyui mdau
 

Working with intergovernmental agreements – the Canadian and Australian experience​


Kenneth Wiltshire
First published: September 1980

https://doi.org/10.1111/j.1754-7121.1980.tb00307.x
Citations: 7
Read the full text

PDF

TOOLS

SHARE

Abstract​

Abstract. Intergovernmental agreements represent one of the most significant yet least known or understood elements in the transformation of the Westminster system of government in the fédérations of Canada and Australia. They have come into being for a variety of reasons and to serve many purposes but their proliferation has been gradual, constant and silent. The central problem is the question of who is to be held accountable for the création and implementation of these agreements, to whom, and in what manner. For die most part such agreements are designed away from public scrutiny by the executive and implemented for fixed periods of time by methods which escape any searching analysis or debate in municipal, provincial, or national parliaments. Public servants are intimately involved in this process. This paper examines the reasons why intergovernmental agreements come into being, their nature and purpose, and the problems they have caused in the two countries. A number of solutions are suggested to overcome these problems before the situation becomes completely out of control.
 
We jamaa huwa hueleweki msimamo wako ni upi , nakushauri uwe unachukua mda kidog wa kutafakar kabla ya kuandika chochote, we s majuzi juzi ulikuwa chawa wa huu mkataba Leo tena unapiga U_turn
Ukigundua unakosea, ni hekima kujirekebisha.
 
Mbowe anasema atafanya mikutano ya hadhara 70, na Lissu isiyo na idadi kwa lengo gani mkuu kama wnaelewa na wananchi wnawaelewa? Kwa level ya CHADEMA mikutano 70 PLUS Mitandao ni nguvu kubwa TENA iliyopitiliza
 
Kwahiyo unawaamini wale wanasheria vilaza wa Serikali?
 
Kwahiyo serikali imeshindwa kupambana na wapigaji wa Bandari? Je, kama imeshindwa kupambana na wapigaji wa ndani wa nje itaweza?
 
Kwahiyo serikali imeshindwa kupambana na wapigaji wa Bandari? Je, kama imeshindwa kupambana na wapigaji wa ndani wa nje itaweza?
Siasa nyingi nchi hii na kila mtu anadhani anao uwezo wa kuiongoza. Kuweka mikakati ya kuongeza ufanisi haina maana kwamba CCM wanashindwa kuongoza nchi.

Mikakati ya mabadiliko ndio iliyoibadilisha Singapore kutoka ilipokuwa miaka hiyo ya 60 mpaka ilipofika leo hii.

Uingereza, Marekani na nchi nyinginezo nyingi tu wamemchukua DPW ili awekeze katika bandari zao, sio wajinga. Ni watu wenye uelewa wanafanya nini kuliko sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…