Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuaje hili ?Angekuwepo Magufuli tusingefika hapa.
Huu ni ukweli mchungu ambao wapinzani hamtaki kuusikia.
KANU ILIANZA KIFO CHAKE KAMA CCM ILIVYOANZA KUUZA KILA KITU.View attachment 2689428
Wananchi wa kawaida wamefanya igizo fupi.
Wametumia mfano rahisi ili watu wagumu waelewe jinsi bandari inavyouzwa.
Kula chuma hicho.
My Take
Hiyo haki jinai ni sarakasi tu. Wananchi mna wajibu wa kuwalinda hao wananchi badala ya kusubiri Serikali iwalinde
Hata nyumbani kwake kumemshindaHii spirit ya Mbeya ikihamia mikoa mingine, mwisho wa siku Samia ataishia kujifungia ndani, ndio atajua kuongoza nchi sio lelemama.
Hiyo haki jinai ni sarakasi tu. Wananchi mna wajibu wa kuwalinda hao wananchi badala ya kusubiri Serikali iwalinde[emoji419][emoji375]View attachment 2689428
Wananchi wa kawaida wamefanya igizo fupi.
Wametumia mfano rahisi ili watu wagumu waelewe jinsi bandari inavyouzwa.
Kula chuma hicho.
My Take
Hiyo haki jinai ni sarakasi tu. Wananchi mna wajibu wa kuwalinda hao wananchi badala ya kusubiri Serikali iwalinde
Unaikumbuka OIC?Mtamaliza nyimbo zote!
Mtaigiza maigizo yote!
Mtamaliza matusi yooote..........mama ataendelea kupiga kazi kwa ajili ya taifa lake pendwa la Tanzania kama ilivyopangwa!
Haki ya nani huu uthubutu mzaramo hana [emoji23]View attachment 2689428
Wananchi wa kawaida wamefanya igizo fupi.
Wametumia mfano rahisi ili watu wagumu waelewe jinsi bandari inavyouzwa.
Kula chuma hicho.
My Take
Hiyo haki jinai ni sarakasi tu. Wananchi mna wajibu wa kuwalinda hao wananchi badala ya kusubiri Serikali iwalinde
Oh, kumbe shida yenu ndipo ilipo 'hapo'?!!!! Mnaficha nini sasa?!!!! Safari hii ni tofauti........na ikiwa hivyo basi waondoke wooote!Unaikumbuka OIC?
Enzi ya Yule mzee wa awamu ya Pili?
Kelele zilipigwa na tuliondoka huko sasa kelele hizi tutaondaka ccm hadi Muungano.
Trust me!!
Kabisa lipi ndio liliandika masharti ya hyo IGA?.Kwa Jicho jingine utaona ni vita ya kanisa na musikiti
Mbona watu wa kanisa mmegomea sana hii mpaka vikundi vya kanisa vinaigiza maigizo?
Nachosema mimi tazama makundi mawili yanayokinzana utaona kuna dini mbili hutaki basiKabisa lipi ndio liliandika masharti ya hyo IGA?.
It's not our interest. Mm naona kundi linalohoji madhaifu ya mkataba Kwa point of laws na kundi lingine likisifia mkataba Kwa hoja za maneno yasiyo na legal references na ndio ambalo linafikia kuongelea udini, jinsia nk huku mambo hayo hayapo ktk karatasi tulizo sainishwa na DP WORLD. Nakushauri nawe jikite ktk vipengele vya mkataba husika ktk kutoa opinions zako.Nachosema mimi tazama makundi mawili yanayokinzana utaona kuna dini mbili hutaki basi
Mbeya Kwenye siasa huwa hatuna unafikiHii spirit ya Mbeya ikihamia mikoa mingine, mwisho wa siku Samia ataishia kujifungia ndani, ndio atajua kuongoza nchi sio lelemama.
Haihusiani na mada ila naomba nkuulize nyoko kwa kinyaki ni nini et?Mbeya Kwenye siasa huwa hatuna unafiki
Tupewe maua yetu.
Ni MamaHaihusiani na mada ila naomba nkuulize nyoko kwa kinyaki ni nini et?