Igizo fupi la wananchi uuzwaji wa bandari kwa DP World

Wanaakili sana hawa watu.

Aondoke yeye aje PUTIN.

nchi hii..
 
Hamna hoja mmebakia kuunda unda vitu vya hovyo kupotosha umma.

#Mama yupo kazini kwaajili ya MAENDELEO YA TANZANIA.
 
Sasa hayo majinga hata yanajua chochote zaidi ya kuwa wanatumiwa na wakwamishaji wa mipango mizuri ya maendeleo yanayoletwa na Raisetu. Hata hivyo wameshashindwa kilichobaki ni utekelezaji tu. hao wapumbavu wasubiri matokeo ili waje kuona aibu
 
@NALIA NGWENA muige okw .....Ni mtu. Was michezo Ila pia anafatilia Jambo la msingi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…