IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

Tuseme kweli ilikuwa planned ameuliwa...
Iweje barua aliyoiacha imchafue mke wa jamaa?
Yaani wapange halafu mke achafuliwe kiasi hicho na hakuna ukweli wowote. Hebu nifungue akili...
Kama kweli ilikuwa planned kwenye case kama hii, watu Huwa wanawekeza uwezo wao wa juu zaidi kwenye akili zao, ilikuwa rahisi mno kumchafua yoyote just kuficha makorokoro. Akili mtu wangu
 
Mimi ukiniambia mwanaume kajiua sababu ya mchepuko, tena mchepuko unaomzidi umri, mchepuano ambao unaona kabisa mtongozaji ni mwanamke, nitakataa mpaka kesho kutwa.

Yule dogo hawezi kujiua sababu ya mke wa Masanja kamwee.

Something is wrong somewhere.

Hapo ndo unapokosea. Mwanadamu hajawahi tabirika.
 
Kama kweli ilikuwa planned kwenye case kama hii, watu Huwa wanawekeza uwezo wao wa juu zaidi kwenye akili zao, ilikuwa rahisi mno kumchafua yoyote just kuficha makorokoro. Akili mtu wangu
Haya ngoja tuone mwisho wake.
 
Salaam Wakuu

Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.

Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.

Mtashangaa Matokeo yake.

Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.

Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.

Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?

Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?

Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.
Aiseeee !!!
 
Kweli kwaundani kabisa kabisa hili nalo liangaliwe dogo ameondoka mapema sana
 
Ndiyo ashajitundika,itapita hiyo
Masanj atateua katibu mwingine
Kwenye NGO yake,kazi zitaendelea

Ova
 
Makahaba hamuwaoni hadi mchezo na wake za watu wanaume wapumbavu waendelee kupungua tu duniani
 
Alivyopotezwa Ben Saanane ,Azory Gwanda na wengine wengi enzi za mwendakuzimu mngekuwa mmeshadadia hivi hakika ungekuwa imeshajulikana ni Nani walifanya uhuni ule
 
Salaam Wakuu

Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.

Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.

Mtashangaa Matokeo yake.

Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.

Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.

Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?

Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?

Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.
Bhamulaa....
 
Salaam Wakuu

Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.

Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.

Mtashangaa Matokeo yake.

Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.

Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.

Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?

Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?

Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.
Umeongea ukweli kabisa mkuu; hili jeshi la polisi la CCM (poliCCM) linataka kutuletea hekaya za Abunwasi wakati maisha ya ndugu zetu yakiteketea bila huruma. Maelezo yaliyotolewa na poliCCM kuhusu kifo cha katibu is a disgrace. Inawezekanaje hawa washenzy warahisishe kifo cha ndugu yetu kiasi hiki? Inauma sana.
 
Salaam Wakuu

Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.

Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.

Mtashangaa Matokeo yake.

Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.

Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.

Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?

Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?

Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.
Polisi ipi? Hii hii ya akina nani hawa!
Of course with a very simple logic huyu kijana atakuwa 'amekomitwisha' suicide kuficha ushahidi. Katibu wa Kanisa? Na inaonekana ni best friend wa Masanja, tajiri mwenye Kanisa.
Kwa Nchi ilivyo sasa, siyo rahisi kihivyo polisi kuifanyia uchunguzi wa kina. Masanja ana pesa, na, palipo udhia wewe weka rupia tu. It's very sad indeed.
Kwa Nchi za wenzetu kesi kama hizi Polisi huzichunguza hadi mambo yanawekwa bayana na Jeshi linajijengea jina, kuaminika, na, umaarufu; lakini hapa kwetu, mmh! Masanja atakamuliwa hadi lote almradi watu wajenge maghorofa na kununua magari ya kifahari.
 
Hakuna mtu mwenye akili chafu aaue mgoni wake kisha amchafue mkewe wake.
Hio barua tu tayari ni kasfa bila kujali alikuwa anakula au la
Tuseme kweli ilikuwa planned ameuliwa...
Iweje barua aliyoiacha imchafue mke wa jamaa?
Yaani wapange halafu mke achafuliwe kiasi hicho na hakuna ukweli wowote. Hebu nifungue akili...
Sasa nyie mbona mnajijibu wenyewe!

Si amechafua mke ili msiamini kwamba ni yeye, yaani mimi namchafua mke wangu, ili muamini kwamba kama ni mimi nisingemchafua, nadhani nimeeleweka.
 
Polisi ipi? Hii hii ya akina nani hawa!
Of course with a very simple logic huyu kijana atakuwa 'amekomitwisha' suicide kuficha ushahidi. Katibu wa Kanisa? Na inaonekana ni best friend wa Masanja, tajiri mwenye Kanisa.
Kwa Nchi ilivyo sasa, siyo rahisi kihivyo polisi kuifanyia uchunguzi wa kina. Masanja ana pesa, na, palipo udhia wewe weka rupia tu. It's very sad indeed.
Kwa Nchi za wenzetu kesi kama hizi Polisi huzichunguza hadi mambo yanawekwa bayana na Jeshi linajijengea jina, kuaminika, na, umaarufu; lakini hapa kwetu, mmh! Masanja atakamuliwa hadi lote almradi watu wajenge maghorofa na kununua magari ya kifahari.
Acha dharau basi jamaa, "polisi ya akina nani hawa!"?
 
Bado nasisitiza Polisi kawe ahamishwe na uchunguzi ufanyike
Kituo kidogo kama Kawe hakiwezi kufukia kesi iliyovuta hisia za wengi kiasi kile maana vyombo vingi vinachunguza. Hili linaweza kuja kurudi kwa sura nyingine in future!
 
Back
Top Bottom