IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

Kwakweli hili suala la katibu jeshi la Polisi mmeshindwa kutenda haki kabisa

Mmeamua kumlinda masanja kwa kua kawapa mkwanja mrefu mkafunika kombe nyie mlaaniwe kabisa

Tanzania hatuna jeshi la polisi lenye weledi, ishu ndogo tu ya masanja na katibu wameshindwa kutenda haki wataweza nini

Yule kijana hakujiuwa kama tulivyoaminishwa kulikua na hila za shetani zilizofanywa na binadam kumtoa uhai ionekane kajiua

Mimi sijawahi kuona jeshi lisilo na haki kama hili jeshi la polisi hawa jamaa hawajui kutenda haki kabisa

Hivi ingewezekana vipi katibu azikwe tu bila uchunguzi bila kujuwa kama kweli alijiua kweli?Kwamba vipesa vya masanja ndo vimewafunga mkashindwa kutenda haki kwa wafiwa?

Tuna jeshi la polisi au tuna aibu ya taifa?Shame!!
 
IMG-20221010-WA0058.jpg
 
dah wajomba hamtaki mada ipoe. ikianaza kusepa inarudishwa.. 😂😂😂 mtakaua kale kadada kwa pressure ya mtandao.
 
Hakuna ushahidi wa argument yako lakini pia ile sababu ya kujiua mwamba jeshi la police wamekuja na sababu ya kizembe sana.
 
Ahsante kwa uzi mzur mkuu, umewaza kama mimi..

This is not a suicidal but a carefully planned assassination...either ni issue za pesa au siri .. hata kama ni mapenz lakn nobody with monkey brain can do as such..... wahuni wengi wanajisibisha na rulling party duniani kote ili kufanya uhuni.. to make them the untouchables..

IGP wambura kaz kwako boss
Tumia neno Homicide hapo
 
Kwakweli hili suala la katibu jeshi la Polisi mmeshindwa kutenda haki kabisa

Mmeamua kumlinda masanja kwa kua kawapa mkwanja mrefu mkafunika kombe nyie mlaaniwe kabisa

Tanzania hatuna jeshi la polisi lenye weledi, ishu ndogo tu ya masanja na katibu wameshindwa kutenda haki wataweza nini

Yule kijana hakujiuwa kama tulivyoaminishwa kulikua na hila za shetani zilizofanywa na binadam kumtoa uhai ionekane kajiua

Mimi sijawahi kuona jeshi lisilo na haki kama hili jeshi la polisi hawa jamaa hawajui kutenda haki kabisa

Hivi ingewezekana vipi katibu azikwe tu bila uchunguzi bila kujuwa kama kweli alijiua kweli?Kwamba vipesa vya masanja ndo vimewafunga mkashindwa kutenda haki kwa wafiwa?

Tuna jeshi la polisi au tuna aibu ya taifa?Shame!!
Na hizi ndizo miongoni mwa tuzo za zina'a,hata vitabu vitukufu vinatuasa.
Iwe kauwawa na yeye mwenyewe au na watu wengine,kapata tuzo stahki.Tena kuna video zaonyesha aki ishamiri LIWATI,kama ndivyo kwanini tuumizwe na adui wa mwenyezi MUNGU?
 
Salaam Wakuu

Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.

Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.

Mtashangaa Matokeo yake.

Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.

Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.

Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?

Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?

Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.

angekuwa shekhe ndio akachunguzwa lakini mchungaji hachungizwi
 
Mi nafikiri huu uchungu ulio nao,Anza na watu wa ccm,mwambie huyo Wambura,waliompiga risasi Lisu wapo wapi?waliomuua Mawazo wapo wapi?Azory Gwanda yupo wapi?muulize pia wale waliouliwa Kule msoma kisa ni majambazi,ushahidi upo wapi?polisi wanaua kila siku,hujapiga kelele,usilete uchungu wa kinafki,watu kama nyie sio kwamba mnauchungu na huyo katibu,uchungu utoke wapi wakati maisha yenu tu ni machungu balaaa,
Unaona Gere kijana ana ukwasi mrefu sasa mnataka aporomoke kwa kisa hiki

ukiona msg zs azory au katiba mpya ujue manyumbu chadema
 
Back
Top Bottom