Bora umeandika hii comment. Huyu mchungaji wa Dodoma kuna madudu atakuwa anafanya. Na hapa kuna mambo yanayomkaanga mchungaji hayajaandikwa. Mojawapo ni kutaka kutoa mzigo bandarini kwa njia ya mkato, ndipo akakutana na tapeli huyu wa kihaya.Duh ndio yule mchungaji dodoma,kapigwa tukio