DOKEZO IGP ingilia kati kuhusu huyu Tapeli wa Dodoma Egron Rweyemamu aka Jenerali Mwamwega

DOKEZO IGP ingilia kati kuhusu huyu Tapeli wa Dodoma Egron Rweyemamu aka Jenerali Mwamwega

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mleta mada, weka wazi, mhanga alikua anatuma hizo hela zote kwa ajili gani?

Cc: PCCB

Yani hao matapeli Wana mtandao mpana. Sasa walimdanganya kwamba Waziri Mkuu atamsadidi kutoa gari bandarini, na yeye kwa ujinga akatuma pesa kwenye namba ya hiyo ya Waziri Mkuu wa mchongo. Ndipo hapo walipobadilika na kuja kivingine Kama mapolisi na kudai ya kwamba ana kesi ya uhujumu Uchumi mpaka Leo wanakula pesa kiulaini.
 
Inasikitisha Sana, kwa Ikulu kukaa kimya muda wote.
 
Tulia Mkuu, hili jambo lipo hapa JF muda Sana. Search Generali Mwamwega utapona posts ni nyingi. Halafu hili suala limefika mpaka kwa RCO wa Temeke na wapelelezi wengine ila wanakimbia na kuwaacha wahanga wanahangaika.

Shida yangu ni kwamba Ikulu ikanushe ili Hawa wanaotapeliwa wasije wakawa wengi ikaja kuleta shida huko mbeleni na taarifa rasmi ya Ikulu ikitoka Sasa hao wanaotapeliwa wakiendelea kutapeliwa itakuwa kuu yao wenyewe.

Tumepiga kelele hapa kuanzia kwa IGP, RPC Dodoma.
Sina hakika km wahanga waliripoti utapeli huu polisi..uliona RB? au ni vile tu mtu anasema tumesharipoti polisi..
Polisi hawawezi kukanusha jambo halijafikishwa kwao..! Hata ikulu lazima waulize polisi kabla ya kukanusha km wapo watu wameleta jambo hili kwao..lkn kupitia taarifa za miamala polisi wanaweza kuuliza kampuni za simu kujiridhisha km kweli miamala inayotajwa ipo na inasoma majina gani ya mtumaji na mpokeaji..ni mambo ya uvumi na ujinga ndio maana polisi hawana muda kuhangaika na wajinga..ni ajabu mmekazana kuleta jambo hili hapa wakati ujinga uko wazi kabisa.
 
Yani hao matapeli Wana mtandao mpana. Sasa walimdanganya kwamba Waziri Mkuu atamsadidi kutoa gari bandarini, na yeye kwa ujinga akatuma pesa kwenye namba ya hiyo ya Waziri Mkuu wa mchongo. Ndipo hapo walipobadilika na kuja kivingine Kama mapolisi na kudai ya kwamba ana kesi ya uhujumu Uchumi mpaka Leo wanakula pesa kiulaini.
Una uhakika? Namba za simu sasa hivi ni biometric.. anayechukua pesa akizituma kwani hawezi kumpata ili polisi wamuhoji? Utapewaje kesi wakati miamala ipo na mhusika mpokeaji yupo..utakuwa mpumbavu wa mwisho kuandikishwa kesi ya uhujumu uchumi ukakubali..na jela ndiko unastahili ili ujue gharama ya kuwa mjinga..ukitetea ujinga unakuwa mjinga zaidi ya mjinga unayemtetea.
 
IGP tunakuomba uingilie kati kuhusu huyu Tapeli anajiita Generali Mwamwega ingawa jina lake halisi anaitwa Egron au Osward Rweyemamu. Huyu jamaa anatapeli kupitia kampuni fake ya ujenzi inaitwa one to focus, mpaka uje ushtuke alishakuingiza mjini . Huyu Jenerali Mwamwega anadai yeye ni Jenerali wa jeshi na kwamba anafanya kazi Ikulu Zanzibar.

Utapeli wake unafanyika Kama ifautavyo.

1. Kwanza anatumia kampuni ya ujenzi Kama njia ya kupata watu wa kuwatapeli. Kwa hivyo yeye anatapeli tu wateja wa Hiyo kampuni ambayo haipo popote. Hiyo kampuni uchwara ya ujenzi ambayo hata haijasajiliwa, inaitwa one to focus ipo Dodoma na Dar. kwenye hiyo kampuni huyo Generali Mwamwega ndio mmiliki, halafu fundi mkuu ni huyo Egron Rweyemamu. Anajiita Eng Mac. Wanachofanya wanamsoma mteja anahusika na Nini halafu wanamtengenezea mchezo. Ingawa huyo Jenerali na Eng Mac ni mtu mmoja.

2. Pili. Wanatumia majina ya Viongozi kuibia watu. Huyu Jenerali Mwamwega anatumia jina la Waziri Mkuu na jina la Rais wa Zanzibar kuibia watu. Utajiuliza anatumiaje majina ya Viongozi. Huyo Jenerali Mwamwega anakifaa Cha kutwist sauti ya viongozi. So anaweza kukuambia kesho Waziri Mkuu atakupigia saa Saba mchana umweleze tatizo lako. Na kweli kesho yake saa Saba mchana Waziri Mkuu anakupigia, kwa sauti hii hii ya Mh Majaliwa. Hapo wengi humuamini na kuingia kingi. Na ameliza wengi Sana mpaka huruma.

3. Tatu, Akishakuunganisha na hao Viongozi uchwara anahack simu yako. Kwa hivyo mipango yako yote anakuwa anaijua hivyo anakuwa anakutengenezea plan ya kukutapeli kupitia hacking. So Kama unataka kuagiza gari atajua, Kama unataka kununua kiwanja atajua tu. So yeye atakuwa anakupigia simu Kama kukudadisi ili atengeneze Dili la kukupiga.

4. Nne. Wanakubambikizia kesi. Kwa hivyo wanaweza kukutengenezea kesi ya uongo kama madawa ya kulevya au utakatishaji fedha au mauaji halafu wataitumia hiyo kesi kukufilisi mpaka mwisho na wakishaona huna pesa, wanavunja mkataba wa ujenzi na kukuambia watakubaliana na SUMA JKT wamalize ujenzi hapo wamekuacha mweupe kabisa.

O788216770 MWINYI HASSAN
Hiyo ndio namba wanayotumia kudanganya ni namba ya Rais wa Zanzibar. Hivyo mtu akituma pesa kwa jenerali Mwamwega na kuona hilo jina la Airtel Money limekuja Mwinyi Hassan anaamini ni kweli anafanya kazi Ikulu Zanzibar.

MC EGLON RWEYEMAMU EQUITY BANK ACC No 3010111780864
Hiyo ni namba ya akaunti ya MC Eglon ambayo pia inatumika kulipia pesa za wizi.

Mc Eglon Rweyemamu 0766447244
Hii ni namba ya MC Eglon Rweyemamu. Huyu ndio mtuhumiwa mkuu. Ndio anajifanya Generali Mwamwega.

Hivyo tunakuomba IGP ingilia kati, huyu tapeli amelishika jeshi hawafurukuti kwake. Hagusiki na Wala ukipeleka malalamiko Wala hawashughuliki. So ni kwamba jamaa ana mtandao mkubwa na ni kazi kuumaliza. Wanakudanganya mpaka mwisho.
Tumpige kurujuani ngoja niongee na Mzee Magoma.
 
Dah hii kitu imefika Tanzania ,hongera sana nafurahia kuwepo watu Kama nyie Niliowahi waza Ila nikafeli baadhi ya vitu .
Niko tayari kuwa mfanyakazi wako ninayo mengi hasa hapa kijijini njoo tufanye kazi .,Nimefurahi kiasi Cha kutamani nije PM Ila ndiyo vile Pm yangu uwa haukubali kutuma Wala kupokea ,hongera kaka
Kuhusu wateja Kuna jinsi ya kunipata. Hiyo naomba ibaki Siri mpaka mtuhumiwa akamatwe na kupelekwa polisi.
 
Ni aibu mtu kutumia Jina la JWTZ kutapeli watu na bado hakamatwi.
 
Na nyny hamuelimik tu kila siku munatapeliwa kitoto munasumbua serikali tu ina mambo meng ya kufanya.
Ila nchi yetu ina wajinga wengi sana sidhani kama serikali inaweza kuyafuatilia matukio yote ya kitapeli.
Wakati huu tunajadili hapa kuna watu wanampelekea hela kiboko ya wachawi na mwamposa baadae wataanza kuiita serikali iwasaidie wasitapeliwe😀😀😀😀😀
 
IGP saidia raia wako na huyu tapeli Egron Rweyemamu.
 
Waziri Mkuu saidia raia wako na Hawa matapeli wanaitumia jina la Ofisi yako.
 
Kwakweli serikali yetu inanuka Rushwa na uonevu. Mtu mmoja amewaweka polisi wetu kwenye mfuko. Inasikitisha.
 
Watanzania wase
Habari, naomba nitoe taarifa kwa JWTZ ya kwamba Kuna mtu anajiita Generali Charles Mwamwega na kudanganya watu yeye ni makubwa jeshini na anafanya kazi kwenye ofisi ya Rais wa Zanzibar Ikulu. Ukienda pale ikulu Zanzibar hayupo mtu Kama huyo na ukienda kwenye data base ya JWTZ Hilo jina halipo kabisa, ukiachana na cheo Cha uongo Cha Generali ambacho ni kimoja tu kwa CDF.

Mpaka Sasa ameshatapeli watu wengi lakini hachukuliwi hatua yeyote. Maana Mimi najua Generali wa JWTZ ni mmoja inakuaje wawepo majenerali wawili?. Pia huyu Generali anatumia jina la Waziri Mkuu kuibia watu Magari pale bandarini. JWTZ ingilieni kati raia wanalizwa, wasaidieni.
Watanzania wapumbavu sana yaani mtu mmoja tu asiye na Dola anawahenyesha hivi?
 
Back
Top Bottom