DOKEZO IGP ingilia kati kuhusu huyu Tapeli wa Dodoma Egron Rweyemamu aka Jenerali Mwamwega

DOKEZO IGP ingilia kati kuhusu huyu Tapeli wa Dodoma Egron Rweyemamu aka Jenerali Mwamwega

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari, naomba nitoe taarifa kwa JWTZ ya kwamba Kuna mtu anajiita Generali Charles Mwamwega na kudanganya watu yeye ni makubwa jeshini na anafanya kazi kwenye ofisi ya Rais wa Zanzibar Ikulu. Ukienda pale ikulu Zanzibar hayupo mtu Kama huyo na ukienda kwenye data base ya JWTZ Hilo jina halipo kabisa, ukiachana na cheo Cha uongo Cha Generali ambacho ni kimoja tu kwa CDF.

Mpaka Sasa ameshatapeli watu wengi lakini hachukuliwi hatua yeyote. Maana Mimi najua Generali wa JWTZ ni mmoja inakuaje wawepo majenerali wawili?. Pia huyu Generali anatumia jina la Waziri Mkuu kuibia watu Magari pale bandarini. JWTZ ingilieni kati raia wanalizwa, wasaidieni.

Ushahidi na vithibitisho ninavyo, Kama JWTZ watakuwa tayari nitawapa ushirikiano Wani PM. Nipo tayari kutoa ushirikiano.
Kiongozi mbona unaenda mbali sana huyo kamripoti kwa MP utakaye muona maana hiyo ndo kazi yao kudeal na wanajeshi wenzao MP watamshughulikia
 
Habari, naomba nitoe taarifa kwa JWTZ ya kwamba Kuna mtu anajiita Generali Charles Mwamwega na kudanganya watu yeye ni makubwa jeshini na anafanya kazi kwenye ofisi ya Rais wa Zanzibar Ikulu. Ukienda pale ikulu Zanzibar hayupo mtu Kama huyo na ukienda kwenye data base ya JWTZ Hilo jina halipo kabisa, ukiachana na cheo Cha uongo Cha Generali ambacho ni kimoja tu kwa CDF.

Mpaka Sasa ameshatapeli watu wengi lakini hachukuliwi hatua yeyote. Maana Mimi najua Generali wa JWTZ ni mmoja inakuaje wawepo majenerali wawili?. Pia huyu Generali anatumia jina la Waziri Mkuu kuibia watu Magari pale bandarini. JWTZ ingilieni kati raia wanalizwa, wasaidieni.

Ushahidi na vithibitisho ninavyo, Kama JWTZ watakuwa tayari nitawapa ushirikiano Wani PM. Nipo tayari kutoa ushirikiano.
Pole sana Mkuu!
Japo Magenerali wako Wengi Sana Jeshini ILA Chief ni Mmoja tu CDF..

Kinachotakiwa Nena pale NGOME wasilisha Ushahidi wako wapelekee MP (Millitary Police) au MIO (Millitary Intelligence Office) washughulike na Huyo jamaa hakatizi atakamwatwa..

Kama ushahidi wote unao na Unaamini unajitosheleza Nenda upeleke Ushaihidi huo..

Au Sehemu Nyingine unaweza kuwasilisha Ushahidi huo Kambi ya Twalipo Watakusaidia
 
Kutapelewa ni matokeo ya kushindwa kutumia akili vizuri, watu wanatapeliwa na watu kwa kutumia neno la mungu, wanatapeliwa na waganga wa kienyeji wanatapeliwa na wanasiasa. Hao matapeli mbona husemi wachukuliwe hatua au huyo anaetumia jina la jenerali ana nini mpaka ashughulikiwe na hao wengine wasishughuliwe.
 
Kutapelewa ni matokeo ya kushindwa kutumia akili vizuri, watu wanatapeliwa na watu kwa kutumia neno la mungu, wanatapeliwa na waganga wa kienyeji wanatapeliwa na wanasiasa. Hao matapeli mbona husemi wachukuliwe hatua au huyo anaetumia jina la jenerali ana nini mpaka ashughulikiwe na hao wengine wasishughuliwe.
JF hawataki niweke ushahidi. Nina ushahidi mwingi.
 
Majenerali wako wengi sio mmoja,wanapishana tu ngazi.

Lakini hakuna utaratibu huo jeshini wa kushikwa mkono na jenerali kutoka ofisi ya rais.
Huyo anajiita Generali Yani cheo baada ya Luteni Generali. Maana anadai mwaka Jana alikuwa Luteni Generali ila akapandishwa cheo kuwa Generali.
 
Back
Top Bottom