IGP kupinga agizo la Rais, kumfokea na kumkejeli Rais -- hii ni sawa?

IGP kupinga agizo la Rais, kumfokea na kumkejeli Rais -- hii ni sawa?

Unaona kabisa kuwa lina kiburi linavyojibu! Loh, kweli linamdharau, Jiwe asingelimjibu hivi/au kutoa comment ya hivi (kama siyo kumjibu).
LINAJIAMINI AU KWA RIDHAA YAKE WAMEPANGA AJIBU HIVYO
Lazima awe na kiburi. Bila polisi CCM isingekuwa madarakani. Amewasaidia hata kutengeneza tamthilia ya ugaidi kumuangamiza Mbowe. Kilangila.
 
Kwenye hii video fupi sana hapa chini Rais Samia anaonekana kutoridhishwa na mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini na kutoa maagizo kadhaa kwa IGP.

Miongoni mwa maagizo aliyotoa Rais kwenda kwa IGP ni pamoja na IGP kuhakikisha kuwa anazuia vifo vya mahabusu,kuzuia matumizi ya nguvu kupindukia kwa raia na kadhalika.

Lakini kama video hii inavyoonekana, IGP aliibuka baadae kupinga maagizo yale,kuyabeza,kumfokea Rais na kumkejeli.

Haya yote yanaibua maswali muhimu sana kwa watanzania.Je,Taifa lina Rais mwenye mamlaka?Kuna watu nchini wameamua kuwa Marais?Rais tulienae ni Rais dhaifu sana?Kuna kundi Serikalini linampinga Rais?Kwa nini Rais hafukuzi hawa wateule wake wanaomdharau?Ni nini hatima ya Taifa hili kama mambo yataendelea kuwa hivi?

Lakini pia katika mazishi ya Polisi waliouawa na Bwana Hamza tulimsikia IGP akitoa kauli za ajabu,zenye utata mwingi,zisizo za kisheria,za kugandamiza na kadhalika.

IGP alisikika akilaumu ndugu wa marehemu kana kwamba ndugu hawa walishirikiana na Bwana Hamza katika kufanya uhalifu ule.Lakini pia IGP alisikika akiwaambia wananchi kuwa wakizubaa zubaa watakuwa wanachezea risasi za Polisi na kadhalika.

My take:
Haya yote yanathibitisha kuwa Taifa lipo chini ya mgogoro mkubwa wa viongozi wasio na uwezo wala hekima za kuongoza na muda wowote ule kuanzia sasa hivi Taifa litatumbukia katika migogoro ya kisiasa,kiuchumi na kijamii.

Kwa maoni yangu haya ni matokeo ya kuongozwa na chama kilichopora chaguzi na ambacho hakina kibali cha wananchi kwani kupora chaguzi husababisha watu wenye uwezo wa kuongoza kuwekwa kando katika kuliongoza Taifa.
View attachment 1914139
Umeandika utopolo tupu! Mtabaki hivyo hivyo. Nakushauri leo Jumapili nenda kamsalimie Gaidi Mbowe Segerea kwanza.
 
Wajinga hufurahia kuanguka kwa mwingine,
Wenye busara siku zote hufikiri

Hii post ina ill-intention
ni kweli kabisa kwangu mm sijaona kosa la Siro
Siro amezungumzia upole wa maaskari mpaka wanavamiwa kibandani na silaha wanazo
Waandamanaji wa Nchi hii wanataka waandamane ti mradi fujo wakishinikiza Katiba wakati tunayo, wameshaona sasa kizuizi ni Siro
Rais anapowalaumu Polisi kwa kigezo cha kuharaisha upelelezi hajui kuwa una DPP ambaye yupo Wizara ya Sheria ya Palamagamba Kabudi
hii video ipo mbali sana Bw Behaviourist
 
Gaidi wewe!
Gaidi katokea CCM😂😂😂
kGayQ.jpg
An8VB.jpg
M2myW.jpg
 
Hivi ni kwanini Samia Suluhu anaogopa sana kuandika PDF ya kumpumzisha Sirro hili hali anafanya matendo kinyume na maagizo ya ofisi ya Rais??

Kutochukua hatua kwa rais juu ya mwenendo wa Sirro kunatia mashaka makubwa.
 
Kwenye hii video fupi sana hapa chini Rais Samia anaonekana kutoridhishwa na mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini na kutoa maagizo kadhaa kwa IGP.

Miongoni mwa maagizo aliyotoa Rais kwenda kwa IGP ni pamoja na IGP kuhakikisha kuwa anazuia vifo vya mahabusu,kuzuia matumizi ya nguvu kupindukia kwa raia na kadhalika.

Lakini kama video hii inavyoonekana, IGP aliibuka baadae kupinga maagizo yale,kuyabeza,kumfokea Rais na kumkejeli.

Haya yote yanaibua maswali muhimu sana kwa watanzania.Je,Taifa lina Rais mwenye mamlaka?Kuna watu nchini wameamua kuwa Marais?Rais tulienae ni Rais dhaifu sana?Kuna kundi Serikalini linampinga Rais?Kwa nini Rais hafukuzi hawa wateule wake wanaomdharau?Ni nini hatima ya Taifa hili kama mambo yataendelea kuwa hivi?

Lakini pia katika mazishi ya Polisi waliouawa na Bwana Hamza tulimsikia IGP akitoa kauli za ajabu,zenye utata mwingi,zisizo za kisheria,za kugandamiza na kadhalika.

IGP alisikika akilaumu ndugu wa marehemu kana kwamba ndugu hawa walishirikiana na Bwana Hamza katika kufanya uhalifu ule.Lakini pia IGP alisikika akiwaambia wananchi kuwa wakizubaa zubaa watakuwa wanachezea risasi za Polisi na kadhalika.

My take:
Haya yote yanathibitisha kuwa Taifa lipo chini ya mgogoro mkubwa wa viongozi wasio na uwezo wala hekima za kuongoza na muda wowote ule kuanzia sasa hivi Taifa litatumbukia katika migogoro ya kisiasa,kiuchumi na kijamii.

Kwa maoni yangu haya ni matokeo ya kuongozwa na chama kilichopora chaguzi na ambacho hakina kibali cha wananchi kwani kupora chaguzi husababisha watu wenye uwezo wa kuongoza kuwekwa kando katika kuliongoza Taifa.
View attachment 1914139
Huyu Sirro (Zero brain) ni garbage. Hajui anachokifanya.
 
hawa wakiparurana ni furaha kwetu maana wamesaidizana sana kuwadhulumu na kuwatendea mabaya raia
 
Hatuna Polisi ..mtu wa kawaida Kama Hamza kawauwa Kama kuku fikiria waje well trained soldiers si watauwa kikosi kizima[emoji23][emoji23][emoji23]
Polisi walianza kupambana na wahalifu/magaidi mwaka huu tangu mpate uhuru. [emoji28]

IGP kazia papo hapo [emoji1787]
 
Back
Top Bottom