IGP kupinga agizo la Rais, kumfokea na kumkejeli Rais -- hii ni sawa?

IGP kupinga agizo la Rais, kumfokea na kumkejeli Rais -- hii ni sawa?

Wasaga sumu nyie, inaonekana ndio mliomtuma Hamza akawaue polisi. By the way, kama ningekuwepo Rais mwili wa Hamza ungechomwa moto na kutekezwa kabisaa.
."Chinua Achebe once said " Chase the Fox first, before you warn your hen going on Bushes "...Polisi mara nyingi wamelalamikiwa kuonea raia wakati mwingine hata kupoka Haki za Raia. Polisi lazima wajiulize nini chanzo cha Mambo haya.
Kama Jeshi la polisi halitabadili mfumo wa utendaji kuna hatar mbele kukawa na Ulipaji visasi wa Raia..Hili Jina Police Force ni jina la fedheha juu ya binadamu na Ubinadam.
"Advice "U should chase the Fox first before you warn your hen wandering on Bushes!!
 
Vijana wa Chadema ni vijana wa hovyo na wapumbavu sana, Alichokiagiza mh Raisi na alichokiwa akikiongea IGP havina uhusiano hata kidogo,

Chadema mmejivisha ushetani kwa chuki na kuchukia watu bila sababu!

Wapuuzi watupu
 
Yaani hapa mimi nimebaki nacheka tu nikikumbuka jinsi Sirro alivyokuwa akitetemeka mbele ya Bashite, Mkuu wa Mkoa Dsm. Bashite alikuwa anaweza kumfokea Sirro kama mtoto mdogo na Sirro akaufyata na kuishia kupiga saluti. Lakini leo hii huyo huyo Sirro eti ana jeuri na ujasiri wa kumkomalia Rais! Kwa kweli dunia ni ya ajabu.
 
Hizi ni chuki za chadema kwasababu wamebanwa nitashangaa rais akiingia mkenge kuwasikiliza wahuni
 
Kwenye hii video fupi sana hapa chini Rais Samia anaonekana kutoridhishwa na mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini na kutoa maagizo kadhaa kwa IGP.

Miongoni mwa maagizo aliyotoa Rais kwenda kwa IGP ni pamoja na IGP kuhakikisha kuwa anazuia vifo vya mahabusu,kuzuia matumizi ya nguvu kupindukia kwa raia na kadhalika.

Lakini kama video hii inavyoonekana, IGP aliibuka baadae kupinga maagizo yale,kuyabeza,kumfokea Rais na kumkejeli.

Haya yote yanaibua maswali muhimu sana kwa watanzania.Je,Taifa lina Rais mwenye mamlaka?Kuna watu nchini wameamua kuwa Marais?Rais tulienae ni Rais dhaifu sana?Kuna kundi Serikalini linampinga Rais?Kwa nini Rais hafukuzi hawa wateule wake wanaomdharau?Ni nini hatima ya Taifa hili kama mambo yataendelea kuwa hivi?

Lakini pia katika mazishi ya Polisi waliouawa na Bwana Hamza tulimsikia IGP akitoa kauli za ajabu,zenye utata mwingi,zisizo za kisheria,za kugandamiza na kadhalika.

IGP alisikika akilaumu ndugu wa marehemu kana kwamba ndugu hawa walishirikiana na Bwana Hamza katika kufanya uhalifu ule.Lakini pia IGP alisikika akiwaambia wananchi kuwa wakizubaa zubaa watakuwa wanachezea risasi za Polisi na kadhalika.

My take:
Haya yote yanathibitisha kuwa Taifa lipo chini ya mgogoro mkubwa wa viongozi wasio na uwezo wala hekima za kuongoza na muda wowote ule kuanzia sasa hivi Taifa litatumbukia katika migogoro ya kisiasa,kiuchumi na kijamii.

Kwa maoni yangu haya ni matokeo ya kuongozwa na chama kilichopora chaguzi na ambacho hakina kibali cha wananchi kwani kupora chaguzi husababisha watu wenye uwezo wa kuongoza kuwekwa kando katika kuliongoza Taifa.

View attachment 1914139
Kwani hilo linalofokewa halina akili? Kama halijielewi litajibeba!
 
Acha kutunga uongo ndugu.Hizo tunahita unafanya siasa za kwenye mitalo.Wote tuna akili na tunaona.Huo upuuzi mpelekee mama yako
Kwenye hii video fupi sana hapa chini Rais Samia anaonekana kutoridhishwa na mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini na kutoa maagizo kadhaa kwa IGP.

Miongoni mwa maagizo aliyotoa Rais kwenda kwa IGP ni pamoja na IGP kuhakikisha kuwa anazuia vifo vya mahabusu,kuzuia matumizi ya nguvu kupindukia kwa raia na kadhalika.

Lakini kama video hii inavyoonekana, IGP aliibuka baadae kupinga maagizo yale,kuyabeza,kumfokea Rais na kumkejeli.

Haya yote yanaibua maswali muhimu sana kwa watanzania.Je,Taifa lina Rais mwenye mamlaka?Kuna watu nchini wameamua kuwa Marais?Rais tulienae ni Rais dhaifu sana?Kuna kundi Serikalini linampinga Rais?Kwa nini Rais hafukuzi hawa wateule wake wanaomdharau?Ni nini hatima ya Taifa hili kama mambo yataendelea kuwa hivi?

Lakini pia katika mazishi ya Polisi waliouawa na Bwana Hamza tulimsikia IGP akitoa kauli za ajabu,zenye utata mwingi,zisizo za kisheria,za kugandamiza na kadhalika.

IGP alisikika akilaumu ndugu wa marehemu kana kwamba ndugu hawa walishirikiana na Bwana Hamza katika kufanya uhalifu ule.Lakini pia IGP alisikika akiwaambia wananchi kuwa wakizubaa zubaa watakuwa wanachezea risasi za Polisi na kadhalika.

My take:
Haya yote yanathibitisha kuwa Taifa lipo chini ya mgogoro mkubwa wa viongozi wasio na uwezo wala hekima za kuongoza na muda wowote ule kuanzia sasa hivi Taifa litatumbukia katika migogoro ya kisiasa,kiuchumi na kijamii.

Kwa maoni yangu haya ni matokeo ya kuongozwa na chama kilichopora chaguzi na ambacho hakina kibali cha wananchi kwani kupora chaguzi husababisha watu wenye uwezo wa kuongoza kuwekwa kando katika kuliongoza Taifa.

View attachment 1914139
 
Watz acheni kuwa wambeya. Angalia na mazingira ya Kazi; huyo siyo mwanasiasa wa kupindisha maneno na kukubembeleza unavyotaka. Huyo ukijichanganya anakutungua ndiyo Kazi zao! Nilivyoenda zenji nilishangaa kuona askari wapole hadi wanakusaidia kubeba Mzigo! Nachotaka kusema kuchonga sana hakutafanya jeshi liogope eti lifanyekazi kwa ulegevu.
 
Kwenye hii video fupi sana hapa chini Rais Samia anaonekana kutoridhishwa na mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini na kutoa maagizo kadhaa kwa IGP.

Miongoni mwa maagizo aliyotoa Rais kwenda kwa IGP ni pamoja na IGP kuhakikisha kuwa anazuia vifo vya mahabusu,kuzuia matumizi ya nguvu kupindukia kwa raia na kadhalika.

Lakini kama video hii inavyoonekana, IGP aliibuka baadae kupinga maagizo yale,kuyabeza,kumfokea Rais na kumkejeli.

Haya yote yanaibua maswali muhimu sana kwa watanzania.Je,Taifa lina Rais mwenye mamlaka?Kuna watu nchini wameamua kuwa Marais?Rais tulienae ni Rais dhaifu sana?Kuna kundi Serikalini linampinga Rais?Kwa nini Rais hafukuzi hawa wateule wake wanaomdharau?Ni nini hatima ya Taifa hili kama mambo yataendelea kuwa hivi?

Lakini pia katika mazishi ya Polisi waliouawa na Bwana Hamza tulimsikia IGP akitoa kauli za ajabu,zenye utata mwingi,zisizo za kisheria,za kugandamiza na kadhalika.

IGP alisikika akilaumu ndugu wa marehemu kana kwamba ndugu hawa walishirikiana na Bwana Hamza katika kufanya uhalifu ule.Lakini pia IGP alisikika akiwaambia wananchi kuwa wakizubaa zubaa watakuwa wanachezea risasi za Polisi na kadhalika.

My take:
Haya yote yanathibitisha kuwa Taifa lipo chini ya mgogoro mkubwa wa viongozi wasio na uwezo wala hekima za kuongoza na muda wowote ule kuanzia sasa hivi Taifa litatumbukia katika migogoro ya kisiasa,kiuchumi na kijamii.

Kwa maoni yangu haya ni matokeo ya kuongozwa na chama kilichopora chaguzi na ambacho hakina kibali cha wananchi kwani kupora chaguzi husababisha watu wenye uwezo wa kuongoza kuwekwa kando katika kuliongoza Taifa.

View attachment 1914139
Siro achezeshwa gwaride kama mwanasesere, kama ilivyokuwa enzi zile za Joyce wowo, huyu aliwekwa hapo kupokea amri baada ya IGP Mangu aliyekuwa anajitambua kukataa upuuzi
 
Watz bhana... IGP alikuwa anawaambia wananchi kuwa mara zote huwasema polisi.
Polisi wakitenda Haki kwa Watanzania wote bila kujali itikadi za vyama.Wanatakiwa kujiepusha na shughuli zinazohatarisha usalama wa raia na Mali zao. Wananchi Kuwasema Polisi ni kuwakosoa na wanatakiwa wajirekebishe na siyo kuanzisha mabishano yasiyojenga.
Maboresho(Reform) ya Jeshi letu la POLICE na kulirejeshea hadhi na misingi yake ni jambo lisiloepukika.
Njia nzuri zaidi ya kusahihisha haya yote ni Katiba.
 
Kama hiv
cefe401ea9988595c904d6da606f2621.jpg
 
Back
Top Bottom