KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Acheni uchonganishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamuonya Boss wake asiwe na double standard😅😅😅Kwenye hii video fupi sana hapa chini Rais Samia anaonekana kutoridhishwa na mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini na kutoa maagizo kadhaa kwa IGP.
Miongoni mwa maagizo aliyotoa Rais kwenda kwa IGP ni pamoja na IGP kuhakikisha kuwa anazuia vifo vya mahabusu,kuzuia matumizi ya nguvu kupindukia kwa raia na kadhalika.
Lakini kama video hii inavyoonekana, IGP aliibuka baadae kupinga maagizo yale,kuyabeza,kumfokea Rais na kumkejeli.
Haya yote yanaibua maswali muhimu sana kwa watanzania.Je,Taifa lina Rais mwenye mamlaka?Kuna watu nchini wameamua kuwa Marais?Rais tulienae ni Rais dhaifu sana?Kuna kundi Serikalini linampinga Rais?Kwa nini Rais hafukuzi hawa wateule wake wanaomdharau?Ni nini hatima ya Taifa hili kama mambo yataendelea kuwa hivi?
Lakini pia katika mazishi ya Polisi waliouawa na Bwana Hamza tulimsikia IGP akitoa kauli za ajabu,zenye utata mwingi,zisizo za kisheria,za kugandamiza na kadhalika.
IGP alisikika akilaumu ndugu wa marehemu kana kwamba ndugu hawa walishirikiana na Bwana Hamza katika kufanya uhalifu ule.Lakini pia IGP alisikika akiwaambia wananchi kuwa wakizubaa zubaa watakuwa wanachezea risasi za Polisi na kadhalika.
My take:
Haya yote yanathibitisha kuwa Taifa lipo chini ya mgogoro mkubwa wa viongozi wasio na uwezo wala hekima za kuongoza na muda wowote ule kuanzia sasa hivi Taifa litatumbukia katika migogoro ya kisiasa,kiuchumi na kijamii.
Kwa maoni yangu haya ni matokeo ya kuongozwa na chama kilichopora chaguzi na ambacho hakina kibali cha wananchi kwani kupora chaguzi husababisha watu wenye uwezo wa kuongoza kuwekwa kando katika kuliongoza Taifa.
View attachment 1914139
too late. Aendelee tu amalize muda wake.Natabiri mabadiliko ya Uongozi kwenye jeshi la Polisi soon. Sirro out.
Hakuna tatizo kuwa na ill intention as along uko based on facts.Wajinga hufurahia kuanguka kwa mwingine
Wenye busara siku zote hufikiri
Hii post ina ill-intention
Hawa ndio wamewaingiza madarakani kuanzia Diwani wa kata hadi Rais Acha wawe na kibriUnaona kabisa kuwa lina kiburi linavyojibu! Loh, kweli linamdharau, Jiwe asingelimjibu hivi/au kutoa comment ya hivi (kama siyo kumjibu).
LINAJIAMINI AU KWA RIDHAA YAKE WAMEPANGA AJIBU HIVYO
Siro anajua muda wake wa kustaafu umewadia hatapoteza kitu.Tatizo ni " language" !
Daah.....Sirro amerukwa na akili, kiongozi wa Polisi hawezi kuropoka namna ile
Rais kasema jeshi la polisi linatumia nguvu, IGP anasema "tumeambiwa tunatumia nguvu sana"IGP alikuwa anaongelea wanaharakati na sio kauli ya raisi, aliyecrop hiyo video ana ill intention
Alisema hivyo siku moja baada ya kauli ya raisWatz bhana... IGP alikuwa anawaambia wananchi kuwa mara zote huwasema polisi.
Illogical reasoningMkuu uza duka, hizi siasa zimeshakushinda.
Mtu akiahakua IGP hata akiondolewa itakuwa ni hasara tu kwa walipa kodi maana anahudumiwa na kulindwa mpaka kifo huku wakihudumia IGP atakayekuwa kazini.
Hapa ndipo penye tatizo kati ya wanasiasa na wananchi.
Na ndio maana wanasiasa hata NEC wakisema uchaguzi urudiwe sasa hivi bila kujali gharama ndio furaha yenu ilimradi tu mpate madaraka.
Ye na mabeo ndo wanaingiza clutch na gear mama kakalia siti tu mfano wa derevaSirro amerukwa na akili, kiongozi wa Polisi hawezi kuropoka namna ile
Kwa akili yako unaona maiti ikisikia maumivu wakati wa kuchomwa moto,viongozi watumie hekima muda wote ndiyo maana tunaingia gharama kubwa kuwahudumia wapate utulivu wa akili.Wasaga sumu nyie, inaonekana ndio mliomtuma Hamza akawaue polisi. By the way, kama ningekuwepo Rais mwili wa Hamza ungechomwa moto na kutekezwa kabisaa.
IGP anakaidi amri ya rais na anaendelea kupeta tu tunakwenda wapi? Mama tumia akili yako kabla mambo hayajakushinda.Kwenye hii video fupi sana hapa chini Rais Samia anaonekana kutoridhishwa na mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini na kutoa maagizo kadhaa kwa IGP.
Miongoni mwa maagizo aliyotoa Rais kwenda kwa IGP ni pamoja na IGP kuhakikisha kuwa anazuia vifo vya mahabusu,kuzuia matumizi ya nguvu kupindukia kwa raia na kadhalika.
Lakini kama video hii inavyoonekana, IGP aliibuka baadae kupinga maagizo yale,kuyabeza,kumfokea Rais na kumkejeli.
Haya yote yanaibua maswali muhimu sana kwa watanzania.Je,Taifa lina Rais mwenye mamlaka?Kuna watu nchini wameamua kuwa Marais?Rais tulienae ni Rais dhaifu sana?Kuna kundi Serikalini linampinga Rais?Kwa nini Rais hafukuzi hawa wateule wake wanaomdharau?Ni nini hatima ya Taifa hili kama mambo yataendelea kuwa hivi?
Lakini pia katika mazishi ya Polisi waliouawa na Bwana Hamza tulimsikia IGP akitoa kauli za ajabu,zenye utata mwingi,zisizo za kisheria,za kugandamiza na kadhalika.
IGP alisikika akilaumu ndugu wa marehemu kana kwamba ndugu hawa walishirikiana na Bwana Hamza katika kufanya uhalifu ule.Lakini pia IGP alisikika akiwaambia wananchi kuwa wakizubaa zubaa watakuwa wanachezea risasi za Polisi na kadhalika.
My take:
Haya yote yanathibitisha kuwa Taifa lipo chini ya mgogoro mkubwa wa viongozi wasio na uwezo wala hekima za kuongoza na muda wowote ule kuanzia sasa hivi Taifa litatumbukia katika migogoro ya kisiasa,kiuchumi na kijamii.
Kwa maoni yangu haya ni matokeo ya kuongozwa na chama kilichopora chaguzi na ambacho hakina kibali cha wananchi kwani kupora chaguzi husababisha watu wenye uwezo wa kuongoza kuwekwa kando katika kuliongoza Taifa.
View attachment 1914139
Bado mnashindwa kuelewa kuwa hao wote ni kitu kimoja.IGP anakaidi amri ya rais na anaendelea kupeta tu tunakwenda wapi? Mama tumia akili yako kabla mambo hayajakushinda.
Tatizo haieleweki kwa nini wapinzani walijiaminisha kwamba samia ni mtu wao ndani ya ccm ie kama vile 5th column. Kwamba akishika urais basi wamechukua nchi. Niwakumbushe tu... Nchi inaongozwa na serikali ya ccm. Haiwezeka mama samia akaendesha nchi kama wapinzani wanavyotaka. Akijaribu kufanya hivyo bila shaka ataingia matatani. Kwa hivyo kufikiri kuna watu wanamkwamisha samia ni namna ileile ya wapinzani kuendesha mambo yao kwa kutegemea uongo na ulaghai.Kwenye hii video fupi sana hapa chini Rais Samia anaonekana kutoridhishwa na mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini na kutoa maagizo kadhaa kwa IGP.
Miongoni mwa maagizo aliyotoa Rais kwenda kwa IGP ni pamoja na IGP kuhakikisha kuwa anazuia vifo vya mahabusu,kuzuia matumizi ya nguvu kupindukia kwa raia na kadhalika.
Lakini kama video hii inavyoonekana, IGP aliibuka baadae kupinga maagizo yale,kuyabeza,kumfokea Rais na kumkejeli.
Haya yote yanaibua maswali muhimu sana kwa watanzania.Je,Taifa lina Rais mwenye mamlaka?Kuna watu nchini wameamua kuwa Marais?Rais tulienae ni Rais dhaifu sana?Kuna kundi Serikalini linampinga Rais?Kwa nini Rais hafukuzi hawa wateule wake wanaomdharau?Ni nini hatima ya Taifa hili kama mambo yataendelea kuwa hivi?
Lakini pia katika mazishi ya Polisi waliouawa na Bwana Hamza tulimsikia IGP akitoa kauli za ajabu,zenye utata mwingi,zisizo za kisheria,za kugandamiza na kadhalika.
IGP alisikika akilaumu ndugu wa marehemu kana kwamba ndugu hawa walishirikiana na Bwana Hamza katika kufanya uhalifu ule.Lakini pia IGP alisikika akiwaambia wananchi kuwa wakizubaa zubaa watakuwa wanachezea risasi za Polisi na kadhalika.
My take:
Haya yote yanathibitisha kuwa Taifa lipo chini ya mgogoro mkubwa wa viongozi wasio na uwezo wala hekima za kuongoza na muda wowote ule kuanzia sasa hivi Taifa litatumbukia katika migogoro ya kisiasa,kiuchumi na kijamii.
Kwa maoni yangu haya ni matokeo ya kuongozwa na chama kilichopora chaguzi na ambacho hakina kibali cha wananchi kwani kupora chaguzi husababisha watu wenye uwezo wa kuongoza kuwekwa kando katika kuliongoza Taifa.
View attachment 1914139