Lazima awe na kiburi. Bila polisi CCM isingekuwa madarakani. Amewasaidia hata kutengeneza tamthilia ya ugaidi kumuangamiza Mbowe. Kilangila.Unaona kabisa kuwa lina kiburi linavyojibu! Loh, kweli linamdharau, Jiwe asingelimjibu hivi/au kutoa comment ya hivi (kama siyo kumjibu).
LINAJIAMINI AU KWA RIDHAA YAKE WAMEPANGA AJIBU HIVYO
Umeandika utopolo tupu! Mtabaki hivyo hivyo. Nakushauri leo Jumapili nenda kamsalimie Gaidi Mbowe Segerea kwanza.Kwenye hii video fupi sana hapa chini Rais Samia anaonekana kutoridhishwa na mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini na kutoa maagizo kadhaa kwa IGP.
Miongoni mwa maagizo aliyotoa Rais kwenda kwa IGP ni pamoja na IGP kuhakikisha kuwa anazuia vifo vya mahabusu,kuzuia matumizi ya nguvu kupindukia kwa raia na kadhalika.
Lakini kama video hii inavyoonekana, IGP aliibuka baadae kupinga maagizo yale,kuyabeza,kumfokea Rais na kumkejeli.
Haya yote yanaibua maswali muhimu sana kwa watanzania.Je,Taifa lina Rais mwenye mamlaka?Kuna watu nchini wameamua kuwa Marais?Rais tulienae ni Rais dhaifu sana?Kuna kundi Serikalini linampinga Rais?Kwa nini Rais hafukuzi hawa wateule wake wanaomdharau?Ni nini hatima ya Taifa hili kama mambo yataendelea kuwa hivi?
Lakini pia katika mazishi ya Polisi waliouawa na Bwana Hamza tulimsikia IGP akitoa kauli za ajabu,zenye utata mwingi,zisizo za kisheria,za kugandamiza na kadhalika.
IGP alisikika akilaumu ndugu wa marehemu kana kwamba ndugu hawa walishirikiana na Bwana Hamza katika kufanya uhalifu ule.Lakini pia IGP alisikika akiwaambia wananchi kuwa wakizubaa zubaa watakuwa wanachezea risasi za Polisi na kadhalika.
My take:
Haya yote yanathibitisha kuwa Taifa lipo chini ya mgogoro mkubwa wa viongozi wasio na uwezo wala hekima za kuongoza na muda wowote ule kuanzia sasa hivi Taifa litatumbukia katika migogoro ya kisiasa,kiuchumi na kijamii.
Kwa maoni yangu haya ni matokeo ya kuongozwa na chama kilichopora chaguzi na ambacho hakina kibali cha wananchi kwani kupora chaguzi husababisha watu wenye uwezo wa kuongoza kuwekwa kando katika kuliongoza Taifa.
View attachment 1914139
ni kweli kabisa kwangu mm sijaona kosa la SiroWajinga hufurahia kuanguka kwa mwingine,
Wenye busara siku zote hufikiri
Hii post ina ill-intention
Wewe nenda kuzimu ukamsalimie mwendakuzimu yule wa Chato.Umbwa wewe!Umeandika utopolo tupu! Mtabaki hivyo hivyo. Nakushauri leo Jumapili nenda kamsalimie Gaidi Mbowe Segerea kwanza.
Gaidi wewe!Wewe nenda kuzimu ukamsalimie mwendakuzimu yule wa Chato.Umbwa wewe!
Soon anaenda kulea wajukuu na kufuga bata.IGP Sirro shikilia papo hapo.
"Manyang'au yanaruka na kukanyagana, yote yanasimama yanaruka kinyama"
Hii sio ishara nzuri kwa kweli.Bibie hatoshi, tuna hasara kama Taifa… tukubali TUMEPIGWA.
Mkuu umekula ban mpaka umeamua kujiwekea ban yako ya kudumu😂😂😂Ana chura?
Hana ubavu wa kupampana na 'mleta' KURA wake.Inashangaza sana kuona Samia anamuogopa Sirro hadi anamtunishia misuli jukwaani namna hii.
Jitu jinga hili, hivi hujishtukii?Wewe nenda kuzimu ukamsalimie mwendakuzimu yule wa Chato.Umbwa wewe!
Huyu Sirro (Zero brain) ni garbage. Hajui anachokifanya.Kwenye hii video fupi sana hapa chini Rais Samia anaonekana kutoridhishwa na mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini na kutoa maagizo kadhaa kwa IGP.
Miongoni mwa maagizo aliyotoa Rais kwenda kwa IGP ni pamoja na IGP kuhakikisha kuwa anazuia vifo vya mahabusu,kuzuia matumizi ya nguvu kupindukia kwa raia na kadhalika.
Lakini kama video hii inavyoonekana, IGP aliibuka baadae kupinga maagizo yale,kuyabeza,kumfokea Rais na kumkejeli.
Haya yote yanaibua maswali muhimu sana kwa watanzania.Je,Taifa lina Rais mwenye mamlaka?Kuna watu nchini wameamua kuwa Marais?Rais tulienae ni Rais dhaifu sana?Kuna kundi Serikalini linampinga Rais?Kwa nini Rais hafukuzi hawa wateule wake wanaomdharau?Ni nini hatima ya Taifa hili kama mambo yataendelea kuwa hivi?
Lakini pia katika mazishi ya Polisi waliouawa na Bwana Hamza tulimsikia IGP akitoa kauli za ajabu,zenye utata mwingi,zisizo za kisheria,za kugandamiza na kadhalika.
IGP alisikika akilaumu ndugu wa marehemu kana kwamba ndugu hawa walishirikiana na Bwana Hamza katika kufanya uhalifu ule.Lakini pia IGP alisikika akiwaambia wananchi kuwa wakizubaa zubaa watakuwa wanachezea risasi za Polisi na kadhalika.
My take:
Haya yote yanathibitisha kuwa Taifa lipo chini ya mgogoro mkubwa wa viongozi wasio na uwezo wala hekima za kuongoza na muda wowote ule kuanzia sasa hivi Taifa litatumbukia katika migogoro ya kisiasa,kiuchumi na kijamii.
Kwa maoni yangu haya ni matokeo ya kuongozwa na chama kilichopora chaguzi na ambacho hakina kibali cha wananchi kwani kupora chaguzi husababisha watu wenye uwezo wa kuongoza kuwekwa kando katika kuliongoza Taifa.
View attachment 1914139
Polisi walianza kupambana na wahalifu/magaidi mwaka huu tangu mpate uhuru. [emoji28]Hatuna Polisi ..mtu wa kawaida Kama Hamza kawauwa Kama kuku fikiria waje well trained soldiers si watauwa kikosi kizima[emoji23][emoji23][emoji23]
Ungekuwa umemzika maana hata baadhi ya wahindi hufanya hivyoWasaga sumu nyie, inaonekana ndio mliomtuma Hamza akawaue polisi. By the way, kama ningekuwepo Rais mwili wa Hamza ungechomwa moto na kutekezwa kabisaa.
Acha kusingizia kulewa na vitu vya kijinga mkuu...Itakuwa kalewa si bure