IGP kwenye suala la Lissu chutama, umatusononesha sana Watanzania kwa kumshambulia mhanga kwa maneno badala ya kutafuta wahalifu

Mwambieni arudi Tanzania Jiwe keshakufa na aache uwongo. We endeleaaa kumeza njugu zako tu.
 
Nakubaliana na wewe.
Simon Sirro anatakiwa achutame sana, na wala asijidanganye kuwa CCM itatawala milele.
Wakati Tundu Lissu anapigwa risasi nyingi nyingi, Kamera ya CCTV nyumbani kwa Waziri Kalemani ilikuwepo na tunaambiwa iling'olewa kesho yake.
Sirro anasemaje kuhusu hilo?
Waandishi wa Habari wetu Tanzania nao wanalo tatizo kubwa la kujitayarisha kufanya mahojiano.
Mwandishi alitakiwa aliulize hili ili tusikie Sirro anavyojiuma ulimi.
 
Hii kauli ni kauli ya ajabu sana, very insensitive, illogical na imebeba ukatili wa hali ya juu
 
Acha mawazo
Kufa kwaja na Mama yako anaanza Julia now
acha mawazo utapata magonjwa makubwa yasiyo na tiba alafu tulia uwandike kinacho eleweka kwani kuna kitu umekalia kinakutekenya
 
Kwa nn humlaumu Lisu abaye aliitwa na IGP kwa ajili ya mahojiano juu ya tukio lake lkn yeye kwa maksudi akapuuza??!!!
IGP alitumia busara zaidi sio kwamba alishindwa kutumia nguvu kumlazimisha Lisu, lkn aliona isiwe tabu, siku Lisu mwenyewe akijisikia atatoa ushirikiano.
ifike mahali tufahamu pia kuwa hata IGP ni binaaadamu kama ulivyo wewe, anaweza kukasirika pindi utakapo muonyesha dharau, hakuna anaye penda kudharauliwa.
Sasa unamuonyesha dharau IGP halafu tena unamtaka achunguze tukio lako, ahh!! jamani!!! hata aibu hatuna?!
hata mm ukinidharau nakupuuzia tu.
Lisu na Dereva wake ni wahanga wa tukio la kushambuliwa hivyo baada ya kunusurika na baada ya kuitwa mara kadhaa na IGP walipaswa watii wito na kutoa ushirikiano na sio vinginevyo.
Hata wewe leo hii ukiibiwa lazima utoe ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kufanikisha mambo mengine ya kisheria.
Lisu ni shahidi namba moja na dereva wake ni shahidi namba mbili, ni watu muhimu sana ktk kufanikisha upelelezi, hata mm huwa najiuliza kwa nn Lisu na dereva wake walikataa kwenda polisi kutoa maelezo?
 
mtu alikataa kutoa ushirikiano halafu akatoroka ulitaka asaidiweje yaani suala lake anatakiwa atoe maelezo ili polisi wachukue hatua yeye kakimbia haleti ushirikiano asaidiweje ni unafiki tu huo
 
mtu alikataa kutoa ushirikiano halafu akatoroka ulitaka asaidiweje yaani suala lake anatakiwa atoe maelezo ili polisi wachukue hatua yeye kakimbia haleti ushirikiano asaidiweje ni unafiki tu huo

Isaidiwe Jamhuri, kosa la jinai ni kosa dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
 
Kwahiyo we unatakaje?

Alafu tabia ya kipumbavu ya kusema sisi watanzania tuliumia sana unakosea ina manisha umenijumuisha na mimi.Ukwel ni kuwa sikuumia kabisa angekufa tu.Jiseme nafsi yako.
Kuna mtu alikifa badaya yake.
Vipi hapo
 
Yeye na makonda ndio walimpiga Lisu shaba.
Mnategemea aseme nini
 
Kwani Lissu hakuripoti kwa afande Mroto Dodoma ?! Ni siku aliofuatilia maendeleo ya kesi, hiyo na gari lake . Mroto akasema hawana cha kusema na kama ni gari asubiri kwanza lifanyiwe maandalizi !!. Sasa ulitaka aripoti mara ngapi ?! Ikiwa pale ndiko alikoshambuliwa !!
 
Well said.

Kama Lissu kavunja sheria kwa kutoripoti zipo njia za kisheria za kudeal naye kwa kosa hilo, lakini hii haiondoi wajibu wa jeshi la Polisi kuchunguza jinai ile ya Risasi 16 kutaka kuutoa uhai wake!.
 
Siro, kwa reaction yako uliyoionesha juzi, any reasonable man, conclusion atakayofikia Ni kuwa kuna irresistible inference kuwa ulihusika katika Jambo hili la kumpiga Lisu risasi in one way or another.
Halafu ukijua hivyo?
 
Binadamu anaweza mengi hasa kuumiza mguu ambao upo upande wa dereva na kuacha mguu ulio upande wa dirisha! Pia kuhakikisha risasi haipigi kichwa au other vital organs. Ndio hivyo, na pia kupeleka dereva nje asiweze kutoa ushahidi. Hivi wewe hayo hikuyafikilia!
 
Kwahiyo we unatakaje?

Alafu tabia ya kipumbavu ya kusema sisi watanzania tuliumia sana unakosea ina manisha umenijumuisha na mimi.Ukwel ni kuwa sikuumia kabisa angekufa tu.Jiseme nafsi yako.

 
Ww sio mtanzania
Kwahiyo we unatakaje?

Alafu tabia ya kipumbavu ya kusema sisi watanzania tuliumia sana unakosea ina manisha umenijumuisha na mimi.Ukwel ni kuwa sikuumia kabisa angekufa tu.Jiseme nafsi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…